29 Machi 2025 - 01:59
Video | Imam Baqir (a.s): Amali inayopendwa sana na Mwenyezi Mungu ni ile yenye kudumu hata kama ni kidogo

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA -: Video ikimuonyesha Marhuma Ukhti Fatima Mwiru na sehemu ya Harakati zake za Kiislamu na Kijamii alizokuwa akizifanya na kuzipenda na kudumu katika kuzifanya hadi mwisho wa Uhai wake. Alipenda Wilayat ya Ahlul-Bayt (a.s) na alishikamana nayo daima dawamu, alishikamana na Wilayatul-Faqih, na alifuata na kutetea daima Madhehebu ya Haki ya Ablu-Bayt Rasulillah (s.a.w.w). Allah amfufue pamoja na Muhammad na Aali zake Muhammad (s.a.w.w).

Your Comment

You are replying to: .
captcha