15 Septemba 2025 - 22:28
Video | Sherehe Adhimu na ya Hamasa kubwa ya Wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s) kwa Kuzaliwa kwa Mtume wa Rehema (saww) na Imam Sadiq (as) nchini Tanzania

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Kutoka Dar es Salaam - Tanzania, Sherehe adhimu ya mwaka wa 1,500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) pamoja na kuzaliwa kwa Imam Ja‘far al-Sadiq (a.s) imefanyika katika Chuo cha Kisayansi cha Hazrat Zainab (s.a) Kigamboni - Dar es Salaam, Tanzania, kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s). Shule hii yenye kutoa ilmu na maarifa matukufu ya kidini inafanya kazi chini ya usimamizi wa tawi la Jami‘at al-Mustafa (s) nchini Tanzania.

Video | Sherehe Adhimu na ya Hamasa kubwa ya Wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s) kwa Kuzaliwa kwa Mtume wa Rehema (saww) na Imam Sadiq (as) nchini Tanzania

Sherehe adhimu ya mwaka wa 1,500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) pamoja na kuzaliwa kwa Imam Ja‘far al-Sadiq (a.s) imefanyika katika Chuo cha Kisayansi cha Hazrat Zainab (s.a) Kigamboni - Dar es Salaam, Tanzania, kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s).

Video | Sherehe Adhimu na ya Hamasa kubwa ya Wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s) kwa Kuzaliwa kwa Mtume wa Rehema (saww) na Imam Sadiq (as) nchini Tanzania

Your Comment

You are replying to: .
captcha