Kwa mujibu wa shirika la habari la ABNA kupitia Al-Maalouma, mbunge Mukhtar al-Turkmani amesisitiza kuwa vikosi vya Hashd al-Shaabi ni kama mdhamini wa usalama wa Iraq dhidi ya vitisho vya kigaidi. Aliongeza: "Vikosi hivi katika miaka ya hivi karibuni vamethibitisha kuwa ni nguvu ya kitaifa na vinatoa mhanga kulinda nchi. Wamefanikiwa kukabiliana na mashambulizi hatari zaidi ya kigaidi."
Al-Turkmani alisema kuwa kulinda na kuunga mkono vikosi hivi ni wajibu wa kitaifa kwani ni nguzo ya msingi ya mfumo wa usalama wa Iraq.
Your Comment