Awali mwendesha mashtaka wa Misri hiyo aliagiza Essam El Arian akamatwe tangu mwezi Julai baada ya Rais Mohammad Morsi ambaye pia alikuwa ni mwanachama wa Justice and Freedom kuondolewa madarakani.
inasadikiwa kuwa Kukamatwa kwa kada huyo ni moja ya hatua ya serikali iliyopo madarakani kudhibiti hatakati zinazoendeshwa na kundi hilo lenye itikadi kali za kiislamu
.