Jenerali
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC): Tukivamiwa, tutawasha moto wa Jahannam dhidi ya wavamizi
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Meja Jenerali Mohammad Pakpour, katika mazungumzo na Qasim al-A’araji, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq, amesema kuwa: “Katika vita vya siku 12, tulishambulia kwa nguvu na usahihi mkubwa na tuliharibu malengo yote yaliyolengwa.”
-
Meja Jenerali Musawi: Jeshi la Ukombozi litatoa jibu lililo juu ya fikra za waonevu (waovu)
Rais wa Makao Makuu ya Majeshi ya Ulinzi wa Iran amesema: Tunawapa uhakika wananchi wa Iran wenye heshima na ushujaa kuwa, vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu kwa kutegemea uwezo wao, ubunifu na mshangao wa kimkakati, viko tayari kukabiliana na vitisho vyovyote vya madhalimu na waonevu wa dunia kwa majibu ya wakati muafaka, makali, ya kujutia na yaliyo zaidi ya fikra zao.
-
Spika Mike Johnson Asisitiza Kuzuia Vurugu za Kisiasa Kufuatia Kifo cha Charlie Kirk
Shambulio dhidi ya Qatar lisingeweza kutokea bila kupata idhini kutoka Washington.
-
Kamanda wa Jeshi la Iran (IRGC) Aonya: "Tutarejelea mapigano (vita) kwa kuanzia katika nukta ile tulipoishia - Hatutamuacha Adui Mchokozi!"
Jenerali Pakpour alisisitiza kuwa majeshi ya Iran yako katika hali ya juu ya utayari na mshikamano kamili kurudia mashambulizi dhidi ya adui, akibainisha kuwa: “Waisraeli wameuona moto wa kuzimu waliokuwa wameahidiwa kwa macho yao wenyewe katika siku za mwisho za vita.”
-
Kamanda wa Iran wa Vikosi vya Jeshi la Ardhini: Usalama kamili upo kwenye mipaka
Kudumisha utayari wa mapigano kwa ajili ya kuhifadhi na kutetea itikadi, watu, dini na nchi ni misheni ya kudumu ya vikosi vya kijeshi vya Iran, na vikosi vya jeshi la ardhini kamwe havipuuzi misheni hii takatifu hata kwa sekunde moja.
-
Rais wa Baraza la Wawakilishi la Iran Awasilisha Zawadi ya Familia ya Shahidi Soleimani kwa Rais Maduro wakati wa Ziara Caracas
Rais wa Bunge | Baraza la wawakilishi la Iran akutana na Rais Maduro Caracas, na kumkabidhi sanamu ya Jenerali Shahidi Qasem Soleimani, iliyotumwa na familia ya Shahidi Soleimani kama zawadi.
-
"Kutoka 'Juhudi Zisizoisha' hadi kwenye 'Diplomasia ya Muqawamah'; Wiki ya Kuwapa Heshima Mashahidi wa Huduma"
"Saeed Ohadi, Mkuu wa Kamati ya Maadhimisho ya Kumkumbuka Shahidi Ayatollah Sayyid Ebrahim Raisi na Mashujaa wengine wa Huduma, ameeleza kwa kina ratiba ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza ya mashahidi wa huduma."
-
Mwenyekiti wa Baraza la Ulamaa wa Pakistan: Mahali pa mwisho pa mradi wa "Israeli Kubwa" ni Makka na Madina
Mkuu wa Baraza la Ulamaa wa Pakistan alionya kwamba mradi wa "Israeli Kubwa" unatafuta udhibiti wa mwisho juu ya Madina na Makka.