Kauli
-
Mwitikio Mkubwa wa Kauli za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Duniani: “Kiongozi wa Iran amwambia Trump: Endelea Kuota!”
Ayatollah Khamenei, akimjibu Trump, amesema: “Uliota kuwa umeangamiza nguvu za nyuklia za Iran - basi endelea kuota!”
-
Beirut - Lebanon:
Jumuiya ya Wapiga Kambi 70,000 wa Imam Mahdi (A.J) Washiriki Mkutano Mkubwa Beirut, Wakiwakumbuka Mashujaa na Kusherehekea Miaka 40 ya Jumuiya Hiyo
Sherehe hii kubwa ilifanyika kwa kaulimbiu: “Inna alal-Ahd Ya Nasrallah”, ikionyesha umuhimu wa umoja na nguvu ya kizazi kipya cha Hezbollah Lebanon.
-
Jeshi la Iran Lathibitisha kuendelea kutoa Msaada wa Kimkakati kwa wana Harakati za Uhuru za kuyakomboa Mataifa yao dhidi ya Ukoloni na Ukandamizaji
Hatua hii ya Iran inaashiria msimamo wake thabiti katika kuhimiza uhuru na kuunga mkono harakati za kupinga ukandamizaji wa kigeni na ukoloni duniani kote.
-
Baghdad yamuita Balozi wa Uingereza kufuatia matamshi yake kuhusu Hashd al-Shaabi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imemuita balozi wa Uingereza mjini Baghdad kutokana na matamshi yake kuhusu nafasi ya Hashd al-Shaabi katika mfumo wa usalama wa Iraq, na imeonyesha majibu makali juu ya kauli hizo.