Masuala
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) kufuatia kifo cha Ayatollah Sayyid Ali Akbar Mousavi Yazdi
Kufuatia kifo cha Ayatollah Sayyid Ali Akbar Mousavi Yazdi, mkuu wa ofisi ya masuala ya kifedha ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) alitoa ujumbe wa rambirambi.
-
Ujumbe wa rambirambi wa Ayatollah Faqihi kwa mnasaba wa kufariki kwa Ayatollah Mousavi Yazdi
Ayatollah Mohsen Faqihi ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mkuu wa Ofisi ya Masuala ya Mali (Wujuhat) ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi.
-
Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Hasan al-Askari (AS)
Mojawapo ya malengo ya Mitume na Maimam (amani iwe juu yao), ni kusimamisha uadilifu na usawa katika jamii. Kwa mujibu wa Qur'an na hadithi za Maimamu, jamii haiwezi kusimama bila ya uongozi wa Imam Mwadilifu atakayeongoza masuala ya kidini na kijamii. Imam ni mlinzi wa sheria na mwongoza watu kuelekea haki na mafanikio.
-
Ayatollah Rajabi:
Dhamira kuu ya Taasisi ya Imam Khomeini (rehmatullahi alayh) ni kuzalisha sayansi za binadamu za Kiislamu
Mwenyekiti wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Majlis Khobregan Rahbari) alisema kuwa Taasisi ya Imam Khomeini (rehmatullahi alayh) ina lengo kuu la kuzingatia nyanja kadhaa muhimu. Aliongeza kuwa taasisi hii inalenga sana masuala ya kielimu, maadili, pamoja na uelewa wa kijamii na kisiasa.
-
Takriban Milioni 16 Washiriki Ziara ya “Jamandegan Arubaini” Iran
Ibara ya "Jamandegan Arubaini” inahusu wale walioshindwa kwenda ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (as) katika Ardhi ya Karbala, lakini wanasherehekea tukio hilo kwa kufanya ibada na mikutano ya Maadhimisho ya Arubaini ya Imam (as) tokea mahali pale walipo.