Matukio
-
Maulana Sheikh Hemed Jalala Aendelea kuimarisha Umoja wa Waislamu Kupitia Ziara ya Kidini Nchini Tanzania
Katika moja ya sehemu za ziara yake, Maulana Sheikh Hemed Jalala alitembelea Mkoa wa Kigoma, ambapo alipokelewa kwa mapokezi mazuri kutoka kwa waumini na viongozi wa dini wa eneo hilo. Moja ya matukio muhimu katika ziara hiyo ni kukutana kwake na Sheikh wa Mkoa wa Kigoma (BAKWATA), Samahat Sheikh Hassan Kiburwa, katika ofisi za BAKWATA Mkoa wa Kigoma, ambapo viongozi hao wawili walifanya mazungumzo ya kina kuhusu maendeleo ya Uislamu, umoja wa Waislamu, na namna bora ya kuimarisha harakati za kidini nchini.
-
Sardar Amirian:
Kipaumbele cha Jumba la Makumbusho la Kitaifa la Mapinduzi ya Kiislamu na Vita Vitakatifu ni Kizazi Kipya / Tunakaribisha Mipango ya Wataalamu
Kipaumbele cha Jumba la Makumbusho la Kitaifa la Mapinduzi ya Kiislamu na Vita Vitakatifu ni Kizazi Kipya / Tunakaribisha Mipango ya Wataalamu.
-
Ayatollah Ramadhani:
Arubaini ni miongoni mwa matukio muhimu sana yanayotoa mazingira ya ustawi, ukomavu, na maandalizi ya pamoja kwa ajili ya kudhihiri Imam Mahdi(atfs)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Gharama ya kujisalimisha ni kupoteza utambulisho wa kitaifa, utambulisho wa kidini, utambulisho wa kibinafsi, na hata utu wa kibinadamu. Mwanadamu, hata akilipa gharama ya kusimama imara (kupinga), ni bora kuliko kulipa gharama ya kujisalimisha.
-
Ayatollah Makarim Shirazi: Baraza la Uratibu wa Matangazo Lina Nafasi Muhimu Katika Kulinda Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Ayatollah Makarim Shirazi amethibitisha kwamba Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu lina mchango mkubwa usio na mfano katika kuhifadhi mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.