Mwanadamu
-
Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Mahdi (AS): Vijana Wakumbushwa Wajibu wa Kuijenga Jamii ya Uadilifu katika Kipindi cha Ghaiba
Katika mnasaba wa maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Mahdi (AS), Waislamu wa Shia na Sunni walikusanyika kujadili kuhusu Mwokozi wa Ulimwengu na wajibu wa Waumini katika kipindi cha Ghaiba. Khatibu Sheikh Suleimani Abdully aliwakumbusha vijana juu ya umuhimu wa kumcha Mwenyezi Mungu, kushukuru neema Zake na kujenga tabia njema ili kuandaa jamii yenye utu, uadilifu na iliyoepukana na dhulma na ufisadi.
-
Haya na Heshima: Kitu Kilichopotea Kinachoshirikiana Kati ya Tamaduni
Haya na Heshima ni dhana za kimataifa ambazo zinaonekana katika msingi wa mafundisho ya dini za Mbingu na tamaduni za binadamu. Thamani hizi hutoa mstari wa utatuzi kati ya ubinadamu na tabia za wanyama, zikibainisha kile kinachotofautisha mwanadamu kiroho, kimaadili na kijamii.
-
Sheikh Ahmad Haji Atoa Mafunzo Muhimu ya Kujenga Utu na Kukemea Dhulma katika Jamii | "Dhulma huondoa Baraka na Kuleta Majuto"
"Unaweza kumdhulumu mtu na ukalala usingizi mzito, lakini yule uliyemdhulumu halali kamwe. Anakumbuka dhulma yako kila siku na humlalamikia Mwenyezi Mungu dhidi yako. Na ikumbukwe kuwa macho ya Mwenyezi Mungu hayalali,” amesema Sheikh Ahmad Haji, akisisitiza hatari ya dua ya aliyedhulumiwa.
-
Darsa ya Akhlaq kwa Wanafunzi wa Hawza Imam Sadiq (a.s), Kigogo Post – Dar es Salaam, kuhusu: Kibri na Athari Zake kwa Mwanadamu
Kibri ni ugonjwa wa moyo unaoharibu uhusiano wa mwanadamu na Allah, watu, na hata nafsi yake. Kwa mwanafunzi wa Hawza, kibri ni hatari zaidi kwani huua baraka ya elimu na huzuia nuru ya maarifa kuingia moyoni. Njia ya wokovu ni unyenyekevu (tawadhu’), kwani Mwenyezi Mungu huwanyanyua walio wanyenyekevu na kuwashusha wenye kibri.
-
Sisi na wamagharibi kwa Mtazamo wa Imam Khamenei – Mkutano Uliofanyika Nchini Kenya +Picha
Pourmarjan: “Ayatollah Khamenei, kama mwanafiqhi na mwanafikra mashuhuri katika ulimwengu wa Kiislamu, na ambaye ametumia zaidi ya miaka sitini katika nyanja za kielimu, kidini, kitamaduni, na kisiasa, ametoa mitazamo sahihi na ya kimkakati kuhusu Magharibi. Uelewa wa fikra hizi ni muhimu sana kwa kizazi cha leo cha vijana na wasomi.”
-
Je, Raj‘a (kurejea kwa baadhi ya watu baada ya kifo kabla ya Kiyama):
Ni aina ya harakati ya kurudi nyuma na inayopingana na harakati ya kimaumbile (harakati ya kiasili ya kuendelea mbele) na mchakato wa ukamilifu?
Raj‘a, yaani kurejea kwa waumini waliokuwa wakamilifu kabisa na makafiri waliokuwa wabaya kabisa duniani katika kipindi cha kudhihiri kwa Imam Mahdi (a.s), ni ngazi miongoni mwa ngazi za Siku ya Kiyama, na imo katika njia ya ukamilifu wa mwanadamu.
-
Sheikh Ali Salman kutoka gerezani: “Kama ningekuwa huru, ningetamani kuwa pamoja na wapigania uhuru wa ‘Msafara wa Ustahimilivu (Sumud)msafara”
“Kile mnachokifanya katika msafara huu kinaheshimiwa katika dini zote, sheria zote na mila zote; ni ushahidi kuwa dhamiri ya kibinadamu bado haijafa. Harakati yenu ni fahari kwa wote sisi.”
-
“Ikiwa riziki imeamuliwa, kwa nini tunapaswa kufanya kazi?”
Mara nyingi huulizwa: “Ikiwa riziki ya kila mtu imehakikishwa na imepangwa na Mwenyezi Mungu, basi nafasi ya kazi, jitihada, na kupanga mipango ni ipi?” Je, imani kwa takdiri ya Mungu inamaanisha kuacha kutumia njia halisi na kusubiri pasipo kufanya lolote?
-
Madai ya Ukinzani kati ya Fitra ya Upweke wa Mungu (Tawhidi) na Uwepo wa Ushirikina na Miungu Mingi
Chanzo: Kituo cha Kitaifa cha Majibu ya Maswali ya Dini | Swali: Ikiwa Binadamu wote wana Fitra moja ya kumpwekesha Mungu na Manabii (as) daima wamekuwa wakiwaita watu katika ibada ya Kumuabudi Mwenyezi Mungu Mmoja, basi kwa nini katika historia, jamii nyingi kama Waarian wa kale au Wahindu walipata kuangukia kwenye ushirikina na ibada ya miungu mingi? Je, jambo hili si kinzani na madai ya kidini (juu ya Fitra ya Mwanadamu kuwa ya kumpwekesha Mwenyezu Mungu)?.
-
Mbinu za Mwisho za Shetani Katika Sekunde za Mwisho za Maisha
Katika sekunde za mwisho za kuaga dunia, shetani hachoki kujaribu kumdanganya mtu na ana matumaini ya kuharibu imani ya mtu kwa maisha yote katika wakati wa mwisho. Ikiwa mtu hana imani thabiti, kuna hatari kwamba atarudi nyuma kutoka kwa imani yake na kufa bila dini.