Mwanadamu
-
Je, Raj‘a (kurejea kwa baadhi ya watu baada ya kifo kabla ya Kiyama):
Ni aina ya harakati ya kurudi nyuma na inayopingana na harakati ya kimaumbile (harakati ya kiasili ya kuendelea mbele) na mchakato wa ukamilifu?
Raj‘a, yaani kurejea kwa waumini waliokuwa wakamilifu kabisa na makafiri waliokuwa wabaya kabisa duniani katika kipindi cha kudhihiri kwa Imam Mahdi (a.s), ni ngazi miongoni mwa ngazi za Siku ya Kiyama, na imo katika njia ya ukamilifu wa mwanadamu.
-
Sheikh Ali Salman kutoka gerezani: “Kama ningekuwa huru, ningetamani kuwa pamoja na wapigania uhuru wa ‘Msafara wa Ustahimilivu (Sumud)msafara”
“Kile mnachokifanya katika msafara huu kinaheshimiwa katika dini zote, sheria zote na mila zote; ni ushahidi kuwa dhamiri ya kibinadamu bado haijafa. Harakati yenu ni fahari kwa wote sisi.”
-
“Ikiwa riziki imeamuliwa, kwa nini tunapaswa kufanya kazi?”
Mara nyingi huulizwa: “Ikiwa riziki ya kila mtu imehakikishwa na imepangwa na Mwenyezi Mungu, basi nafasi ya kazi, jitihada, na kupanga mipango ni ipi?” Je, imani kwa takdiri ya Mungu inamaanisha kuacha kutumia njia halisi na kusubiri pasipo kufanya lolote?
-
Madai ya Ukinzani kati ya Fitra ya Upweke wa Mungu (Tawhidi) na Uwepo wa Ushirikina na Miungu Mingi
Chanzo: Kituo cha Kitaifa cha Majibu ya Maswali ya Dini | Swali: Ikiwa Binadamu wote wana Fitra moja ya kumpwekesha Mungu na Manabii (as) daima wamekuwa wakiwaita watu katika ibada ya Kumuabudi Mwenyezi Mungu Mmoja, basi kwa nini katika historia, jamii nyingi kama Waarian wa kale au Wahindu walipata kuangukia kwenye ushirikina na ibada ya miungu mingi? Je, jambo hili si kinzani na madai ya kidini (juu ya Fitra ya Mwanadamu kuwa ya kumpwekesha Mwenyezu Mungu)?.
-
Mbinu za Mwisho za Shetani Katika Sekunde za Mwisho za Maisha
Katika sekunde za mwisho za kuaga dunia, shetani hachoki kujaribu kumdanganya mtu na ana matumaini ya kuharibu imani ya mtu kwa maisha yote katika wakati wa mwisho. Ikiwa mtu hana imani thabiti, kuna hatari kwamba atarudi nyuma kutoka kwa imani yake na kufa bila dini.
-
Sheikh Abdul Ghani | "Kila hatua katika Maisha ya Mwislamu inapaswa kuzingatia lengo kuu, na Lengo kuu sio njaa wala mkate"
Uuzaji wa Heshima kwa Mabepari: Sheikh alilaani wazi wale wanaoisaliti Palestina na kuipendelea dunia kwa kubadilisha heshima yao kwa manufaa ya watawala dhalimu.
-
Hadithi ya Shetani na Mwanadamu:
"Siri ya Muda wa Shetani Kuishi: Kwa Nini Mwenyezi Mungu Alimpa Shetani Muda Mrefu wa Kuishi?
Tangu wakati huo ambapo Shetani aliasi na kukataa kumsujudia Adam (a.s), mzozo wa kihistoria kati yake na Mwanadamu ulianza; mzozo ambao unaendelea hadi leo hii. Lakini swali muhimu ni hili: Kwa nini Mwenyezi Mungu alimpa adui huyu katili (Shetani) muda mrefu wa kuendelea kuishi na kujaribu na kuwapoteza watoto wa Adam (Wanadamu)?!. Nakuletea Hadithi nzuri na yenye mazingitio ndani yake kuhusu Shetani na Mwanadamu, na utaijua sababu na siri ya Ruhusa ya Mwenyezi Mungu kwa Shetani ili aendelee kuishi kwa muda mrefu.
-
Nukta 7 na Muhimu za Tabia Njema, Zilizosheheni Hekima na Busara
"Mwenyezi Mungu ameumba Viumbe Tofauti tofauti, na kila kimoja amekipa sifa zake , Ni Tatizo sana unapo taka Sifa za Kuku awenazo Bata".