Sanaa
-
Israel imefanya mashambulizi ya anga dhidi ya Sanaa (Mji Mkuu wa Yemen) na Mkoa wa Al-Jawf
Kwa mujibu wa wizara ya afya ya Yemen, mashambulizi ya Israeli yaliyoelekezwa Sanaa na Mkoa wa Al-Jawf yamesababisha watu wasiopungua 35 kuuawa na zaidi ya 130 kujeruhiwa.
-
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) na Sanaa ya Kuonyesha Mapenzi Ndani ya Familia
Familia katika mtazamo wa Mtume Mtukufu (s.a.w) si tu kitovu cha utulivu, bali ni uwanja wa kudhihirika kwa maadili ya kimungu. Yeye (s.a.w.w), kwa tabia yake tukufu na kwa kushikamana na mafundisho ya Qur'an kama vile: " - Semeni naye - kwa upole" (قَوْلًا لَّیِّنًا), na "Hakika wewe ni mwenye tabia njema kabisa" (إِنَّکَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِیمٍ), alionesha ustadi wa kipekee katika kuonyesha mapenzi kwa wake na watoto wake. Makala hii, ikitegemea vyanzo vya Kishia, inachunguza mwonekano wa upendo wa Mtume (s.a.w.w) ndani ya familia, na inatoa mafunzo ya kudumu kwa familia za leo.
-
Hafla ya Kuhitimisha tukio la 2 la Vyombo vya Habari, "Sisi ni Watoto wa Hussein(as), "imeanza kwenye Jumuiya Wasaidizi wa Hazrat Imam Mahdi (a.t.f.s)
Sehemu maalum ya tukio hilo ilizingatia kauli mbiu "Dunia Moja Katika Mikono ya Hussein (as)" kwa kusajili uwepo wa Mazuwari kutoka sehemu mbalimbali za dunia na maonesho ya Bendera za nchi katika matembezi ya Arubaini.
-
Israel imeushambulia tena Mji Mkuu wa Yemen, Sanaa / Milipuko 10 Mfululizo imetokea katika Mji wa Sanaa
Katika muktadha wa mzozo unaoongezeka kati ya Israel na vikosi vya kijeshi vya Yemen, jeshi la Israel limefanya mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Sanaa.
-
Matokeo Chanya ya Ziara ya JMAT-TAIFA Katika Wizara ya Habari, Sanaa na Michezo Kuhusu Matembezi ya Hiari ya Amani (MHA)
Kwa kutambua mchango huo, JMAT-TAIFA iliishukuru na inaendelea kuishukuru kwa dhati Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa ushirikiano wao madhubuti, na walisisitiza kuwa mshikamano huo utaendelea kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa jamii zote za Taifa pendwa la Tanzania
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu atoa rambirambi kufuatia kifo cha Msanii wa Kiirani Mahmoud Farshchian: "Ameacha nyuma kazi za sanaa zisizofutika"
"Msanii mashuhuri na maarufu, Bwana Mahmoud Farshchian, alikuwa nyota angavu katika anga ya sanaa ya Kiirani. Uaminifu wake na ucha Mungu wake vilimuwezesha kuutumia uwezo wake wa kipekee katika kuhudumia maarifa na mambo ya kidini, na ameacha nyuma kazi za sanaa zisizofutika. Rehema na radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake. Nawasilisha rambirambi za dhati kwa familia yake, marafiki zake, wanafunzi wake, na jamii ya wasanii nchini."
-
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli amesema kwamba “Kuunganisha Sanaa na Ushairi na Tauhidi ni ngao dhidi ya vitisho vya kigeni"
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli alisisitiza umuhimu wa kuunganisha sanaa na ushairi na Tauhidi (umoja wa kumpwekesha Mwenyezi Mungu), akisema kuwa iwapo mafundisho ya tauhidi yatahuishwa kwa sura yake halisi, basi jamii ya Kiislamu haitapotea wala kukumbwa na vitisho kutoka kwa maadui.
-
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Husseini Bushehri Kufuatia Kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian
Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian.
-
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" Lafanyika Katika Njia ya Arubaini
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" linaloongozwa na Mtayarishaji na Mkurugenzi Meisam Yusufi, litatekelezwa kama sehemu ya Maonyesho ya Tano ya Tamasha la Kimataifa la Tamthilia za Umma katika Njia ya Arubaini, linalojulikana kama "Riwaya za Wasafiri".