Usiku
-
Kutoka Iftari hadi Suhoor: Jinsi Mwezi wa Ramadhani Unavyobadilisha Mzunguko wa Kiuchumi wa Miji
Katika mwezi wa Ramadhani, shughuli za kiuchumi hazibaki tu wakati wa mchana; usiku pia hubadilika kuwa kipindi cha shughuli nyingi za biashara na mwingiliano wa kijamii. Miji hukaa hai usiku kutokana na iftari, usiku wa ibada (Taraweeh), na mikutano ya kijamii, jambo linalochochea biashara za chakula, migahawa, maduka ya bidhaa za kidini, na masoko ya jioni. Aidha, mikutano ya kijamii na iftari za pamoja huimarisha mshikamano wa kijamii, huku pia zikichangia katika mzunguko wa fedha ndani ya jamii. Kwa kifupi, Ramadhani hubadilisha mzunguko wa kiuchumi wa miji kutoka mchana hadi usiku, na kuunda uchumi wa kipekee unaounganisha biashara na maisha ya kijamii.
-
Sala na Ibada za Usiku wa Nusu ya Sha'bani (15 Sha'bani)
Tukiwafahamu wanadamu vizuri, tutagundua kuwa wengi waliotuzunguka walitukosea kwa ujinga, si kwa uadui. Hivyo basi, katika usiku huu mtukufu, tusameheane, tusafishe nyoyo zetu, na tumrudia Mwenyezi Mungu kwa ikhlasi.
-
Ushambulizi wa wanajeshi wa Israeli dhidi ya nyumba za waliokuwa mateka waliotolewa huru katika Ukingo wa Magharibi
Vikosi vya kikoloni vilivamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi usiku wa jana na asubuhi ya leo, na kufanya ukaguzi wa nyumba za baadhi ya waliokuwa mateka waliotolewa huru.
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika hotuba ya televisheni kwa taifa la Iran:
''Umoja wa Kitaifa wa Iran ni ule ule wa Tarehe 13 Juni 2009; Wote wanawajibika''
Mheshimiwa Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, usiku huu katika hotuba ya televisheni akiwahutubia watu, aliueleza umoja na mshikamano wa kudumu wa taifa la Iran kuwa ni ngumi ya chuma juu ya kichwa cha adui.
-
Kiongozi wa Mapinduzi atazungumza na wananchi usiku wa leo
Sambamba na Wiki Takatifu ya Ulinzi (au Wiki ya Utetezi Mtukufu - Sacred Defence), Ayatollah Khamenei atazungumza na Wananchi wa Iran na Ulimwengu mzima Usiku wa leo akidadavua masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.
-
Ben Gvir: Kama Ningekuwa Waziri Mkuu, Ningemkamata Mahmoud Abbas Mara Moja
viongozi wa Israel wanadai kwamba hatua za kidiplomasia za Palestina katika taasisi za kimataifa kama Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa (ICC), Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ) na Umoja wa Mataifa, ni aina ya “ugaidi wa kimataifa.”
-
Watu 55 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini Mashariki mwa Nigeria
Mmoja wa walionusurika, Malam Bukar, alisema: "Walivamia kijiji wakipiga mayowe na kuanza kuwashambulia watu kiholela. Tuliporudi asubuhi, miili ya watu ilikuwa imetapakaa kila mahali."
-
ISIS (Daesh) Yathibitisha Kuhusika na Shambulio la Kujitoa Mhanga huko Quetta, Pakistan
Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) nchini Pakistan limetoa taarifa kupitia vyombo vyake vya habari, Amaq na Khilafah News, na kudai kuhusika na shambulio la kujitoa mhanga lililotokea usiku uliopita katika jiji la Quetta, makao makuu ya jimbo la Balochistan, Pakistan.
-
Imam Khomeini (r.a) – Ni Kiongozi wa Kidini au wa Kitaifa
Imam ni sehemu ya utambulisho wa kitaifa na miongoni mwa fahari za nchi yetu, na ana sifa na tofauti na viongozi wengine wa kitaifa ambazo zinaonyesha ubora wake juu ya wengine.