dhidi
-
Vitisho vya Trump dhidi ya Iran Vinatokana na Kukata Tamaa: IRGC
IRGC imesema vitisho vya Rais wa Marekani Donald Trump dhidi ya Iran vinatokana na kukata tamaa baada ya kushindwa kuishinikiza Iran, ikisisitiza utii wake kwa Kiongozi wa Mapinduzi Ayatollah Ali Khamenei na kuendelea kulinda taifa la Iran na kuimarisha njia ya Shahidi Qassem Soleimani katika Mhimili wa Upinzani.
-
Sayyid Abdul_Qadir Alusi: Shahidi Soleimani na Shahidi Al-Muhandis walikuwa ngome imara ya Umma dhidi ya mradi wa kuuangamiza Uislamu
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Ribat Muhammadi nchini Iraq, akizungumzia nafasi ya mashahidi wa muqawama, alisisitiza kuwa Shahidi Luteni Jenerali Haj Qasem Soleimani na Shahidi shujaa Abu Mahdi Al-Muhandis walisimama katika wakati muafaka na kwenye hatua nyeti ya historia ili kuzuia miradi iliyolenga kuuangamiza Umma wa Muhammad (s.a.w.w).
-
Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel anatarajiwa katika kikao chake na Rais wa Marekani
Kuwasilisha chaguo mbalimbali za mashambulizi mapya yanayoweza kufanywa na Israel dhidi ya Iran, pamoja na kujadiliana kuhusu hali tofauti za kijeshi na athari zake kwa usalama wa kikanda.
-
Kuanzia Ulaya hadi Marekani; wimbi jipya na lililopangwa la kudhalilisha Qur’ani chini ya kivuli cha uliberali wa Magharibi
Tukio la kuhujumiwa na kudhalilishwa Qur’an Tukufu huko Stockholm, pamoja na mlolongo wa matusi na dharau zilizotokea Ulaya na Marekani, linafichua uhalisia ambao ndani yake chuki dhidi ya Uislamu imegeuzwa kuwa chombo cha kisiasa mikononi mwa mikondo ya mrengo wa kulia uliokithiri na washirika wao wa Kizayuni.
-
Imam wa Sala ya Ijumaa wa Baghdad:
"Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa mashinikizo ya nje"
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad: Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa shinikizo za nje
-
Gazeti la Guardian limeandika:
Uingereza dhidi ya Ubinadamu / Kuajiri mamluki wa Colombia nchini Uingereza kwa ajili ya vita nchini Sudan
Serikali ya Uingereza hivi karibuni imeweka taratibu kali zaidi za kuchunguza uhalali wa wakurugenzi wa makampuni, imeweka vikwazo dhidi ya viongozi wa RSF, na imerudia wito wake wa kusitishwa mara moja kwa uhalifu, kulindwa kwa raia, na kuhakikisha upatikanaji wa misaada ya kibinadamu nchini Sudan.
-
Uingereza iko mbioni kupitisha ufafanuzi rasmi wa “chuki dhidi ya Waislamu”
Kwa mujibu wa mtandao wa BBC, ufafanuzi huo umeandaliwa na Kikosi Kazi cha Islamophobia/Chuki dhidi ya Waislamu, na tayari umewasilishwa serikalini, huku sasa ukiwekwa katika mchakato wa mashauriano na wadau mbalimbali. Serikali ya Uingereza iliunda kikosi kazi hicho mwezi Februari mwaka huu, na pendekezo lake la mwisho liliwasilishwa mwezi Oktoba.
-
Ushindi wa Jukwaa la Upinzani (Muqawama) ni Kudhihirika kwa Utabiri wa Qur’an
Kushindwa kwa Israel na Marekani katika mapambano ya hivi karibuni kunatokana na uongozi wa busara wa Ayatullah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Umoja wa Waislamu na kuunga mkono Iran kama mstari wa mbele wa kulinda Quds ni jambo la lazima
Mwanafikra mashuhuri wa Algeria amesisitiza kuwa umoja wa Waislamu, kuacha misimamo ya chuki za kimadhehebu na kuunga mkono Iran kama ngome ya mbele ya kulinda Quds (Msikiti wa Al-Aqsa) na Umma wa Kiislamu ni jambo la lazima, na kwamba mataifa pamoja na wanazuoni wa Kiislamu wanapaswa kusimama bega kwa bega na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanja za vyombo vya habari, siasa, utamaduni na usalama.
-
Irani Dhidi ya Magharibi: Kutoka Uzoefu wa Kihistoria Hadi Mapambano ya Kistaarabu ya Leo
Mkutano “Sisi na Magharibi katika Mitazamo na Fikra za Ayatullah Al-Udhma Sayyid Ali Khamenei” wafanyika Tehran.
-
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran:
“Vikosi vya ulinzi vya Iran vimewashinda majeshi ya NATO katika vita vya siku 12”
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran amesema: “Katika vita vya kujihami vya siku 12, tulisimama dhidi ya Marekani, utawala wa Kizayuni na jumla ya majeshi ya NATO. Kwa hakika, tuliwashinda wote wa NATO, jambo ambalo halijawahi kutokea.”
-
Afisa wa Kizayuni anaonya juu ya kupanda kwa gharama ya kupanua vita vya Gaza
Afisa mmoja katika Baraza la Mawaziri la Israel alitahadharisha kuwa, kupanuka kwa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza kutasababisha hasara ya ziada ya zaidi ya dola bilioni 7.5 katika uchumi wa utawala huohuo ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025.
-
UNIFIL: Israel iache mara moja uvamizi dhidi ya Lebanon
UNIFIL imeitaka jeshi la Israel kusitisha mara moja mashambulizi ya anga dhidi ya Lebanon na kuondoka kabisa kutoka katika ardhi ya Lebanon.