Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran amesema:
“Katika vita vya kujihami vya siku 12, tulisimama dhidi ya Marekani, utawala wa Kizayuni na jumla ya majeshi ya NATO. Kwa hakika, tuliwashinda wote wa NATO, jambo ambalo halijawahi kutokea.”
Afisa mmoja katika Baraza la Mawaziri la Israel alitahadharisha kuwa, kupanuka kwa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza kutasababisha hasara ya ziada ya zaidi ya dola bilioni 7.5 katika uchumi wa utawala huohuo ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025.