india
-
Onyo kuhusu dhihaka ya mauaji ya Gaza kama chombo cha kueneza chuki dhidi ya Waislamu nchini India
Ripoti zinaonyesha kuwa vuguvugu la mrengo wa kulia wa Kihindu nchini India linatumia vibaya alama na desturi za kidini za Uhindu kama silaha ya vita vya kisaikolojia na maonyesho ya nguvu dhidi ya Waislamu, na hivyo kubadilisha mazingira ya kitamaduni ya nchi hiyo kuwa uwanja wa chuki iliyoratibiwa.
-
Waabudia Ng'ombe dhidi ya Wauzaji wa nyama ya Ng'ombe:
Mashambulizi ya wapiganaji wa Kihindu dhidi ya duka la Waislamu katika Jimbo la Maharashtra
Baadhi ya wanachama wa kundi la msitari wa “Bajrang Dal” katika Jimbo la Maharashtra, India, walivamia duka la nyama la Waislamu huku wakipiga kelele za dhihirisho la chuki dhidi ya Uislamu na wakilaumu wafuatiliaji wa mauzo ya nyama ya ng’ombe.
-
Kulaaniwa Vikali Shambulio Dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa India katika Mkutano wa Maandamano Mjini Lucknow
Hujjatul-Islam Muhammad Miyan Abidi Qummi: "Lengo kuu la mashambulio kama haya,” alisema, “ni kudhoofisha harakati ya ulinzi wa wakfu na kunyamazisha sauti ya wanaotetea haki.”
-
Shambulio dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Shia wa India
Shambulio hili lilitokea wakati wa kiongozi akiongoza maandamano ya kupinga ujenzi haramu kwenye ardhi ya wakfu ya Karbala Abbas-Bagh, na katika uwepo wa maafisa wa Polisi.
-
Pakistan Yatambuliwa Rasmi kama Mlinzi wa al-Haramain al-Sharifain
Rais wa Shirikisho la Vyuo vya Kiislamu vya Shia nchini Pakistan, Ayatullah Hafidh Sayyid Riaz Hussain Najafi, amelipongeza makubaliano ya ulinzi kati ya Saudi Arabia na Pakistan akiyataja kuwa hatua chanya na yenye kuleta matumaini.
-
Mumbai - India: "Tuna Bahati ya Kuzaliwa Katika Wakati Wako"
Kauli hii katika kumsifu na kumsapoti Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, inatukumbusha kauli maarufu na mashuhuri ya Imam Khomeini (RA) aliposema: "Vita dhidi yetu ni baraka kwetu".
-
Zaidi ya watu 200 Wamepoteza Maisha Katika Ajali Mbaya ya Ndege ya Abiria ya Air India, Mjini Ahmedabad
Ndege hiyo ilitangaza hali ya dharura muda mfupi baada ya kupaa, lakini mawasiliano yakakatika haraka.Picha zilizotumwa mtandaoni zinaonyesha moshi mkubwa ukifuka kutoka eneo la ajali.
-
Ayatollah Khamenei: Umoja wa Mataifa ya Kiislamu Ndiyo Njia Pekee ya Kudumisha Usalama wa Umma
Msimamo wa Pakistan kuhusu suala la Palestina umekuwa wa kupongezwa sana. Wakati daima kumekuwa na vishawishi kwa nchi za Kiislamu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, Pakistan haijawahi kushawishika na vishawishi hivyo.
-
Balozi wa Taliban nchini Qatar: Emirate ya Kiislamu ni ukweli wa Afghanistan / Iran na India hawaiweki Taliban tena chini ya ushawishi wa Pakistan
Suhail Shahin, balozi wa Taliban nchini Qatar, katika mazungumzo na kituo cha Al Jazeera amesema kwamba Iran na India walidhani Taliban ni tegemezi wa Pakistan, lakini sasa wamegundua kuwa fikra hiyo si ya kweli.
-
Upanuzi wa kampeni ya kususia bidhaa za Israel: Kutoka New Delhi hadi maeneo mbalimbali ya India
Waandaji wa kampeni hii wamesema kuwa lengo ni kuonyesha upinzani wao dhidi ya uhalifu unaoendelea wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina na kushinikiza kwamba baadhi ya chapa za kimataifa zinashiriki kifedha kwa ajili ya kuunga mkono utawala huu.
-
India na Pakistan Wakubaliana Kuwarudisha Wanajeshi katika Mipaka ya Awali Kabla ya Mvutano wa Kijeshi
New Delhi na Islamabad Wakubaliana Kuwarejesha Wanajeshi wao katika Nafasi za Kabla ya Mapigano. India na Pakistan wamefikia makubaliano ya kijeshi ya kurejesha vikosi vyao katika mojawapo ya maeneo ya mpaka yaliyokuwa na mvutano, hali ambayo ilizidi kuwa mbaya baada ya shambulio la kigaidi la tarehe 22 Aprili huko Kashmir. Makubaliano haya yamefikiwa baada ya kuongezeka kwa mivutano na mashambulizi ya kuvukiana mipaka, na yanakusudia kupunguza hali ya hatari ya kijeshi kati ya nchi hizo mbili. Kwa mujibu wa taarifa rasmi, urejeshaji wa wanajeshi kwenye nafasi za awali unatarajiwa kukamilika kufikia mwisho wa mwezi Mei.
-
Watu 5 Wauawa Katika Shambulio la Mizinga la Jeshi la India katika eneo la Kashmir
Watu 5 Wasio Wanajeshi, Wakiwemo Mtoto Mmoja, Wauawa Katika Shambulio la Mizinga la Jeshi la India Katika Eneo la Kashmir Linalodhibitiwa na Pakistan.