kijamii
-
Dkt. Larijani: Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa hazina kubwa kwa ulimwengu wa Kiislamu
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika ziara yake kwenye eneo la Dahieh Kusini mwa Beirut na kutembelea kaburi la Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, alimueleza kuwa ni hazina kubwa kwa ulimwengu wa Kiislamu na kusisitiza juu ya kuendeleza njia ya muqawama (upinzani wa haki).
-
Hapana kwa Hotuba za Chuki: Hadithi ya Unyanyasaji wa Kibaguzi nchini Uhispania Dhidi ya Wahamiaji wa Morocco
Shambulio dhidi ya mzee mmoja katika mji wa Torrepacheco katika eneo la Murcia nchini Uhispania limezusha wimbi la ghasia za kibaguzi, huku makundi ya mrengo wa kulia yakitumia tukio hilo kuchochea chuki dhidi ya wahamiaji wa Morocco. Ripoti hii inachunguza chimbuko la tukio, matokeo yake na juhudi zinazoendelea za kudhibiti mgogoro huo.
-
Naibu wa Vyombo vya Habari vya Harakati ya Nujaba ya Iraq katika mahojiano na ABNA:
"Mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran ni siri ya kushindwa kwa Netanyahu huko Gaza"
Dakta Hussein al-Moussawi amesema: Kufeli kwa fedheha kwa sera ya Netanyahu katika kupata ushindi wowote katika vita dhidi ya Ghaza, kushindwa kwake kudhibiti migogoro ya ndani na kujaribu kuukimbia utawala huo nje ya nchi ni sababu nyingine ya shambulio hilo dhidi ya Iran.
-
Sheikh Abdul Ghani Khatibu | Maisha bila Malengo, ni Maisha yasokuwa na maana
Tukumbuke, maisha haya ni safari. Safari bila ramani hupotea. Weka malengo yako, yashike kwa mikono miwili, na muombe Allah akukadirie kheri na mafanikio ndani yake.