makundi
-
Majibu Makali ya Muqawama wa Iraq kwa Mjumbe wa Trump / Silaha za Muqawama Zimeleta Kujitolea Kukubwa Zaidi Ikiwemo Kufukuza Wavamizi
"Makundi ya Muqawama ni sehemu ya roho ya wananchi wa Iraq, na roho hiyo haiwezi kutenganishwa nao kwa uamuzi au matakwa ya wageni".
-
Hamas: Hatuna nia ya kuendesha Gaza baada ya vita
Harakati ya Upinzani ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa haina nia ya kushiriki katika mipango ya utawala wa ukanda wa Gaza baada ya kuisha kwa mashambulizi ya utawala wa kikoloni, na imeitaka kuundwa kwa kamati ya usimamizi kwa makubaliano ya makundi yote ya Kipalestina.
-
Gavana wa Darfur: Mashambulizi ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya Al-Fashir ni mfano wa mauaji ya kimbari
Gavana wa eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, ameelezea mashambulizi ya hivi karibuni ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya mji wa Al-Fashir, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, kuwa “yanakaribia kiwango cha mauaji ya kimbari.”
-
Mwenyekiti wa Baraza la Sera za Maimamu wa Ijumaa nchini:
"Swala ya Ijumaa ni nguzo ya Umoja wa Kitaifa - Lazima iwafikie watu wa makundi yote"
Mwenyekiti wa Baraza la Sera za Maimamu wa Ijumaa nchini: "Swala ya Ijumaa inapaswa kuwa ya watu wote na kuakisi umoja wa kitaifa."Akiangazia umuhimu wa nafasi ya wananchi na ushirikishi mpana katika Swala ya Ijumaa, mwenyekiti huyo alisema: “Makamati ya Swala ya Ijumaa yanapaswa kwa ubunifu na upangaji madhubuti, kuweka mazingira yanayowezesha ushiriki wa watu wa makundi yote ya jamii — kuanzia wanafunzi wa vyuo vikuu, walimu na wasomi, hadi wafanyakazi wa viwandani na wakulima.” Aliongeza kuwa kwa njia hii, ibada hii ya kiroho na kisiasa itakuwa ni taswira kamili ya mshikamano na umoja wa kitaifa.
-
Makala Maalum | Amri ya Julani kwa vikosi vyake Kuondoka kutoka Suwayda Ilikuwa Inatarajiwa
Mzozo wa Suwayda: Hatari ya Mgawanyiko Mkubwa Syria Kati ya Makundi Yenye Uhusiano na Israel