Katika mwendelezo wa operesheni za kijeshi za utawala wa Israel ndani ya ardhi ya Syria, doria kadhaa za jeshi la Israel zimeingia katika vijiji vya mkoa wa Quneitra na kufanya ukaguzi wa nyumba za wananchi.
Marajii Wakuu wa Taqlid katika Ulimwengu wa Kishia, Ayatollah: Sistani, Makarem Shirazi, Nouri Hamedani, Javadi Amoli, Sobhani na Shabiri Zanjani wameshutumu katika taarifa tofauti matamshi ya udhalilishaji ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.