wanajeshi
-
Afisa wa Jeshi la Israel: Theluthi Moja ya Wanajeshi Wanakabiliwa na Matatizo ya Akili
Ripoti rasmi za utawala wa Kizayuni zinaonyesha kuongezeka kwa kiwango kisicho cha kawaida cha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanajeshi. Kwa mujibu wa Tamar Shimony, Naibu Mkuu wa Idara ya Urejeshaji (Rehabilitation) katika Wizara ya Vita ya Israel, zaidi ya wanajeshi 85,000 wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia.
-
Mwisho mchungu wa ushirikiano wa askari wa Afghanistan na serikali ya Marekani
Wanajeshi wa zamani wa Afghanistan ambao walikuwa wakishirikiana na shirika la ujasusi la Marekani, baada ya miaka mingi ya huduma, sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa wakiwa nchini Marekani.
-
Mgogoro usio wa kawaida katika Jeshi la Israel / Kupungua kwa kasi kwa hamasa ya wanajeshi kuendelea na utumishi
Jeshi la utawala wa Kizayuni linakabiliwa na mgogoro usio wa kawaida wa upungufu wa askari na kushuka kwa kiwango kikubwa cha hamasa ya wanajeshi kuendelea na utumishi.
-
Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn
Kijana mmoja Msyria ameuliwa shahid usiku wa harusi yake wakati akipambana na uvamizi wa jeshi la Israel katika mji wa Bayt Jinn, ulioko katika vitongoji vya kusini mwa Damascus.
-
Wanajeshi 11 wa Usalama wa Pakistan Wauawa Kwenye Mpaka wa Afghanistan
Baada ya shambulio la silaha karibu na mpaka wa Afghanistan, wanajeshi 11 wa Pakistan waliuawa.
-
Watu 55 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini Mashariki mwa Nigeria
Mmoja wa walionusurika, Malam Bukar, alisema: "Walivamia kijiji wakipiga mayowe na kuanza kuwashambulia watu kiholela. Tuliporudi asubuhi, miili ya watu ilikuwa imetapakaa kila mahali."
-
Misri Yaweka Maelfu ya Wanajeshi Sinai
Shirika la Redio na Televisheni la utawala wa Kizayuni limedai kwamba Misri, sambamba na kuongezeka kwa operesheni za kijeshi za Israel huko Gaza, imetuma maelfu ya wanajeshi na vifaa vya kijeshi katika eneo la kaskazini mwa Jangwa la Sinai lililoko mpakani na Ukanda wa Gaza na Israel.
-
Uvamiaji Mkubwa wa Vikosi vya Israel katika Vijiji vya Kusini mwa Syria
Katika mwendelezo wa operesheni za kijeshi za utawala wa Israel ndani ya ardhi ya Syria, doria kadhaa za jeshi la Israel zimeingia katika vijiji vya mkoa wa Quneitra na kufanya ukaguzi wa nyumba za wananchi.
-
Kamanda wa Jeshi la Iran (IRGC) Aonya: "Tutarejelea mapigano (vita) kwa kuanzia katika nukta ile tulipoishia - Hatutamuacha Adui Mchokozi!"
Jenerali Pakpour alisisitiza kuwa majeshi ya Iran yako katika hali ya juu ya utayari na mshikamano kamili kurudia mashambulizi dhidi ya adui, akibainisha kuwa: “Waisraeli wameuona moto wa kuzimu waliokuwa wameahidiwa kwa macho yao wenyewe katika siku za mwisho za vita.”
-
Kamanda wa Iran wa Vikosi vya Jeshi la Ardhini: Usalama kamili upo kwenye mipaka
Kudumisha utayari wa mapigano kwa ajili ya kuhifadhi na kutetea itikadi, watu, dini na nchi ni misheni ya kudumu ya vikosi vya kijeshi vya Iran, na vikosi vya jeshi la ardhini kamwe havipuuzi misheni hii takatifu hata kwa sekunde moja.
-
Mazoezi ya pamoja ya wanajeshi wa Marekani na QSD Kaskazini mwa Syria / Kupungua kwa uwepo wa kijeshi wa Marekani nchini Syria; maafisa 1,000 wanatoka
Ndege moja la kijeshi la Marekani lilianguka kwenye kambi ya "Kharab al-Jir" katika kaskazini mwa Syria na kuleta vifaa vya kijeshi ikiwemo silaha na mifumo ya ulinzi wa anga kwenye kambi hiyo. Wakati huo huo, wanajeshi wa Marekani wanafanya mazoezi ya pamoja na vikosi vya QSD kwenye kambi ya "Qasrak". Mabadiliko haya yanatokea huku mchakato wa kupunguza uwepo wa kijeshi wa Marekani nchini Syria ukiendelea, na inakadiriwa kuwa hadi mwezi Septemba, maafisa 1,000 wataondoka nchini humo.
-
Wall Street Journal: Wanajeshi wa Kizayuni wateka nyara raia wa Syria!
Ripoti za vyombo vya habari zinarejelea mienendo ya jeshi la Kizayuni Kusini mwa Syria na utekaji nyara raia wa nchi hii.