wanajeshi
-
Walioleta Kambi za Marekani Kuzunguka Iran Leo Wanalia: Kwa Nini Iran Inatushambulia?
Kwa miaka mingi, Iran iliwaonya majirani zake wa Kiarabu kuhusu hatari ya kuruhusu Marekani kujenga kambi za kijeshi katika ardhi zao, ikisema uwepo wa majeshi ya kigeni ungeweza kuzifanya nchi hizo kuwa sehemu ya vita dhidi ya Iran. Leo, baada ya kuanza kwa mapambano, kambi hizo zimegeuka kuwa maeneo ya mashambulizi, huku watawala wa Kiarabu wakijikuta wakikabiliwa na matokeo ya maamuzi waliyoyafanya hapo awali.
-
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran Wawashukuru Wananchi wa Jordan na Kutangaza Kulenga Ndege za Marekani Katika Uwanja wa Ndege wa Aqaba
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran wamewashukuru wananchi na wanajeshi wa Jordan kwa taarifa walizodai zilisaidia katika mashambulizi dhidi ya vituo vya Marekani, huku wakitangaza kulenga ndege za kijeshi za Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Aqaba.
-
IRGC yadai kushambulia vituo vya kimkakati vya Marekani nchini Jordan kwa makombora ya balestiki
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limedai kuwa katika awamu ya tatu ya wimbi la pili la Operesheni "Nasr-2" lililenga vituo vya kimkakati na maeneo ya wanajeshi wa Marekani katika kambi ya anga nchini Jordan kwa kutumia makombora ya balestiki.
-
IRGC yatangaza awamu ya pili ya Operesheni "Nasr 2"; yadokeza kushambulia vituo vya mawasiliano na makazi ya wanajeshi wa Marekani Bahrain
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limedai kuwa katika awamu ya pili ya Operesheni "Nasr 2" lililenga maghala ya silaha, kituo cha mawasiliano ya satelaiti na jengo la makazi ya wanajeshi wa Marekani katika Kambi ya Al-Juffair nchini Bahrain.
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa: Adui Hana Njia Nyingine Isipokuwa Kukubali Kushindwa na Kusalimu Amri
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (as) yamesema wananchi wa Iran na vikosi vyao vya ulinzi, kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na chini ya uongozi wa Amiri Jeshi Mkuu, vimethibitisha kuwa Marekani na Israel hawana njia nyingine isipokuwa kukiri kushindwa na kusalimu amri mbele ya uthabiti wa taifa la Iran.
-
Ripoti ya Channel 13: Israel Yaendelea Kupata Hasara Lebanon Bila Lengo la Wazi la Kijeshi
Televisheni ya Channel 13 ya Israel imeripoti kuwa jeshi la Israel linaendelea kupata hasara dhidi ya Hezbollah nchini Lebanon, huku changamoto za kijiografia na mgogoro wa kisiasa vikizidisha hali ngumu ya operesheni hiyo.
-
Mexico Bado Katika Ghasia; Wanajeshi 25 wa Walinzi wa Taifa Wauawa
Machafuko nchini Mexico yanaendelea kufuatia kifo cha kiongozi wa moja ya karteli hatari, huku wanajeshi 25 wa Walinzi wa Taifa wakiripotiwa kuuawa katika wimbi la vurugu.
-
Afisa wa Jeshi la Israel: Theluthi Moja ya Wanajeshi Wanakabiliwa na Matatizo ya Akili
Ripoti rasmi za utawala wa Kizayuni zinaonyesha kuongezeka kwa kiwango kisicho cha kawaida cha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanajeshi. Kwa mujibu wa Tamar Shimony, Naibu Mkuu wa Idara ya Urejeshaji (Rehabilitation) katika Wizara ya Vita ya Israel, zaidi ya wanajeshi 85,000 wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia.
-
Mwisho mchungu wa ushirikiano wa askari wa Afghanistan na serikali ya Marekani
Wanajeshi wa zamani wa Afghanistan ambao walikuwa wakishirikiana na shirika la ujasusi la Marekani, baada ya miaka mingi ya huduma, sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa wakiwa nchini Marekani.
-
Mgogoro usio wa kawaida katika Jeshi la Israel / Kupungua kwa kasi kwa hamasa ya wanajeshi kuendelea na utumishi
Jeshi la utawala wa Kizayuni linakabiliwa na mgogoro usio wa kawaida wa upungufu wa askari na kushuka kwa kiwango kikubwa cha hamasa ya wanajeshi kuendelea na utumishi.
-
Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn
Kijana mmoja Msyria ameuliwa shahid usiku wa harusi yake wakati akipambana na uvamizi wa jeshi la Israel katika mji wa Bayt Jinn, ulioko katika vitongoji vya kusini mwa Damascus.
-
Wanajeshi 11 wa Usalama wa Pakistan Wauawa Kwenye Mpaka wa Afghanistan
Baada ya shambulio la silaha karibu na mpaka wa Afghanistan, wanajeshi 11 wa Pakistan waliuawa.
-
Watu 55 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini Mashariki mwa Nigeria
Mmoja wa walionusurika, Malam Bukar, alisema: "Walivamia kijiji wakipiga mayowe na kuanza kuwashambulia watu kiholela. Tuliporudi asubuhi, miili ya watu ilikuwa imetapakaa kila mahali."
-
Misri Yaweka Maelfu ya Wanajeshi Sinai
Shirika la Redio na Televisheni la utawala wa Kizayuni limedai kwamba Misri, sambamba na kuongezeka kwa operesheni za kijeshi za Israel huko Gaza, imetuma maelfu ya wanajeshi na vifaa vya kijeshi katika eneo la kaskazini mwa Jangwa la Sinai lililoko mpakani na Ukanda wa Gaza na Israel.
-
Uvamiaji Mkubwa wa Vikosi vya Israel katika Vijiji vya Kusini mwa Syria
Katika mwendelezo wa operesheni za kijeshi za utawala wa Israel ndani ya ardhi ya Syria, doria kadhaa za jeshi la Israel zimeingia katika vijiji vya mkoa wa Quneitra na kufanya ukaguzi wa nyumba za wananchi.