Jeshi la polisi la Kenya latangaza kukamata waganda 29 wakiwashakia kuwa wanataka kujiunga na kikundi kinacho pinga Serekali ya Somalia Msemaji wa jeshi la Polisi amesema: watu hao wamekamatwa Nairobi na wapo katika uchunguzi. Inasemekana kuwa watu hao walikuwa wanakusudia kujiunga na kikundi cha Ash Shabab katika kuipinga Serekali ya Somalia
19 Machi 2011 - 20:30
Msimbo wa Habari: 290913
eshi la polisi la Kenya latangaza kukamata waganda 29 wakiwashakia kuwa wanataka kujiunga na kikundi kinacho pinga Serekali ya Somalia