11 Machi 2012 - 20:30

Wizara ya mambo ya nje nchini Bilgik imeeleza jitihada za Dekteta wa zamani wa Tunis kuomba hifadhi katika nchi hiyo.

Wizara ya mambo ya nje ya Bilgik imearifu viombo vya habari vya nchi hiyo, kunako jitihada za Raisi wa zamani wa Tunis kuomba hifadhi katika nchi himo.

Wizara hiyo amesema; Zainul Abidina yupo katika juhudi za kuomba hifadhi nchini nakuomba kuishi kaskazini mwa bilgik ambako badhi ya nduguzake wanaishi sehemu hizo.

Inasemekana Zainul Abidina 14/1/2011 katika mapimduzi ya wananchi wa Tunis yeye pamoja na mkewake alikimbilia nchini Saudia, na mpaka sasa viongozi wa Saudia wamekana kumrejesha mtuhumiwa huyo nchini Tunis