MAKALA
-
Uharibifu wa Makaburi ya Jannat al-Baqi‘ - Historia na Umuhimu Wake
Uharibifu wa Jannat al-Baqii umeacha doa lisilofutika katika historia ya Uislamu. Makaburi…
-
Sherehe za Kuteua Viongozi wa Kidini katika Ukristo
Uteuzi wa kidini ni sherehe ya kupewa mamlaka ya kushika nafasi za kanisa kwa mtu, na hufanyika…
-
Muonekano wa Hali ya Kitamaduni na Kielimu ya Ardhi ya Gaza / Sehemu ya Kwanza: Kutoka kwa Familia za Kielimu na Kitamaduni Hadi Wairani Walioko Gaza
Ardhi ya Gaza, eneo lenye historia ya zaidi ya miaka elfu nne ya makazi ya binadamu, linatambulika…
-
Irada ya Mwanadamu; Ufunguzi wa Mafanikio na Furaha katika Mafundisho ya Qur’ani na Hadithi
Mtazamo wa Qur'an kuhusu Irada: Qur’ani Tukufu inamueleza mwanadamu kuwa kiumbe mwenye uhuru…
-
Hali ya Wasichana katika Uislamu: Upendo, Heshima na Haki
Wasichana katika Uislamu: Hadithi ya Upendo, Heshima na Thamani za Kimungu
Hali ya Wasichana (Mabinti) katika Uislamu inategemea usawa katika uumbaji na heshima ya kibinadamu,…
-
Majina ya wafuasi wa shetani na matendo yao (kazi zao)
Adui wetu wa wanadamu ni shetani; naye pia ana wafuasi wanaomsaidia. Wafuasi hao wana majina…
-
“Ikiwa riziki imeamuliwa, kwa nini tunapaswa kufanya kazi?”
Mara nyingi huulizwa: “Ikiwa riziki ya kila mtu imehakikishwa na imepangwa na Mwenyezi Mungu,…
-
Arubaini: Jukwaa la Haki, Amani na Uadilifu, na ni Taa ya Uongofu na Jahazi la Uokovu
Historia inaonyesha kuwa jukwaa hili lina mizizi imara katika imani, haki na uadilifu. Lilianza…
-
Tafsiri ya Surat Al_Baqarah, Aya ya 200-202 | Mushrikina walirithi Ibada ya Hijja kutoka kwa Nabii Ibrahim(as) lakini walitia uzushi mwingi ndani yake
Wanaotaka Starehe za Dunia, humuabudu Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Dunia. Hao ndio wale wasiokuwa…
-
Mbinu za Mwisho za Shetani Katika Sekunde za Mwisho za Maisha
Katika sekunde za mwisho za kuaga dunia, shetani hachoki kujaribu kumdanganya mtu na ana matumaini…
-
Nguvu ya Maamuzi Inashinda Haja na Matamanio ya Mwanadamu | Matamanio hukutaka uishi kwa sasa; Maamuzi hukutaka uishi kwa heshima
“Watu wengi wanataka kubadilika katika maisha yao na kuwa na maendeleo mazuri, lakini ni wachache…
-
"Kuna Wivu wa Husuda na Wivu Ghibta | Je, Tuwe na Wivu wa Aina ya Ghibta au Tusiwe nao?"
Husuda ni kutamani neema ya mtu mwingine itoweke, iwe neema hiyo itamfikia mwenye husuda au…
-
Siku ya Wakati Maalum:
Ni ipi Maana ya Kauli ya Mwenyezi Mungu aliposema kumwambia Shetani: "یوم الوقت المعلوم" “Siku ya Wakati Maalum"
katika ufahamu wa Shia (Wafuasi wa Ahlul-Bayt - a.s - ), "یوم الوقت المعلوم" ni Siku ya dhahiri…
-
Hadithi ya Shetani na Mwanadamu:
"Siri ya Muda wa Shetani Kuishi: Kwa Nini Mwenyezi Mungu Alimpa Shetani Muda Mrefu wa Kuishi?
Tangu wakati huo ambapo Shetani aliasi na kukataa kumsujudia Adam (a.s), mzozo wa kihistoria…
-
Vi[indi vya Tafsiri ya Qur’an Tukufu:
Tafsiri ya Aya ya Kwanza ya Surat Al-Maidah
Kwa kuwa "Hakika ya Waumini ni ndugu", basi Muislamu anatakiwa kuhakikisha kuwa anatimiza Haki…
-
Kuwatukana wakubwa wa kidini; Asili, motisha na haiba, shakhsia ya upuuzi ya wadhalilishaji
Kuwatukana viongozi wakubwa wa kidini, daima imekuwa moja ya masuala nyeti na changamoto katika…