Afrika
-
Barrick Gold Yalipa Faranga za CFA Bilioni 275 kwa Mali Baada ya Mvutano wa Muda Mrefu
Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold imelipa Faranga za CFA bilioni 275 kwa Serikali ya Mali ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa zikidaiwa na mamlaka za nchi hiyo, hatua inayotajwa kuwa matokeo ya msimamo mkali wa Bamako katika kusimamia rasilimali zake za taifa.
-
Hafla ya Ugawaji Zawadi kwa Washindi wa Mashindano ya Uandishi wa Muhtasari "Summary Writing" Yafanyika Kigamboni - Dar-es-salaam
Katika hafla iliyofanyika katika shule ya wasichana ya Kigamboni, washindi wa mashindano ya kuandika muhtasari kuhusu “Shahada ya Ayatollah Sayyid Ali Khamenei (ra)” walikabidhiwa zawadi maalum katika mwendelezo wa masomo ya Qur’an chini ya usimamizi wa Bi. Fatma Ma‘suma, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha elimu, ubunifu na ushindani wenye tija kwa wanafunzi.
-
Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kujadili na kukabiliana na mradi wa Israel kuhusu Somalia
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, katika mkutano wa dharura uliofanyika leo Jumapili nchini Misri, imeitikia hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kulitambua eneo la Somaliland, na ikaeleza kuwa hatua hiyo ni tishio kwa usalama wa kikanda na ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Burkina Faso: Daktari Aliyemkosoa Rais Traoré Atumwa Vitani kupambana na Magaidi Baada ya kupata Mafunzo ya Kijeshi - Kisa Kinachozua Mjadala Mpana
Rais Ibrahim Traoré, akizungumza katika mahojiano ya televisheni ya kitaifa, alithibitisha tukio hilo na kusema kwa maneno makali: “Kama kuna daktari, mwalimu, au mfanyabiashara anayehisi anajua zaidi kuhusu vita kuliko wanajeshi wetu, basi ni bora naye achangie kwa vitendo - aende vitani.”
-
Sudan yarudi tena katika mapigano mazito ya kijeshi baada ya kusimama kwa miezi kadhaa
Mnamo mwaka 2021, al-Burhan na msaidizi wake Dagalo walifanya mapinduzi ya kijeshi na kumuondoa madarakani Rais Omar al-Bashir. Miaka miwili baadaye, wawili hao wakageukiana wenyewe kwa wenyewe
-
Libya yageuka kuwa kitovu cha uhalifu wa kimataifa wa mipakani
Ripoti hiyo imeeleza kuwa kutokuwepo kwa utulivu wa kisiasa na kiusalama nchini Libya kumesababisha nchi hiyo kuwa njia kuu ya kupitisha silaha na bidhaa haramu kutoka kusini mwa Afrika kuelekea Bahari ya Mediterania. Barabara ya kaskazini sasa imekuwa njia kuu ya uhalifu wa kimataifa inayounganisha ukanda wa Sahel na Ulaya.
-
Balozi wa Iran Nchini Kenya azungumzia: Kukuza Uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Kenya, Umoja wa Kiislamu na Mauaji ya Halaiki Ghaza
Mahojiano hayo yalitoa taswira ya msimamo wa Iran kuhusu masuala ya kimataifa na njia za kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiafrika.
-
Habari iliyoenea ya ufunguzi wa Ofisi ya ABNA nchini Ghana katika Vyombo vya Habari nchini Ghana
Sambamba na ufunguzi wa Ofisi ya kikanda ya Shirika la habari la ABNA nchini Ghana, vyombo vya habari vya nchi hiyo vilikaribisha uwepo wa chombo hiki cha habari cha kimataifa na kukitambulisha kama jukwaa la kusambaza simulizi za kitamaduni na kidini kutoka ulimwengu wa Kiislamu hadi Afrika Magharibi.