Ardhi
-
Gavana wa Texas Atangaza Ikhwanul Muslimin na Taasisi Kubwa ya Kiislamu Marekani kuwa Mashirika ya Kigaidi
Katika taarifa aliyotoa, Abbott pia ametangaza kizuizi cha umiliki wa ardhi ndani ya Texas kwa Baraza la CAIR. Haya yanajiri huku serikali ya shirikisho ya Marekani ikiwa haijawahi kuiweka Ikhwanul Muslimin au CAIR katika orodha ya mashirika ya kigaidi.
-
Waziri Mkuu wa Lebanon: Israel lazima iondoke kwenye ardhi yetu
Wito wa kuimarisha jeshi la Lebanon: Waziri Mkuu Salam aliendelea kusisitiza kuwa: “Utekelezaji wa sera ya serikali ya kuhakikisha silaha zinakuwa mikononi mwa dola pekee — iwe kusini au kaskazini mwa Mto Litani — unategemea kuharakishwa kwa misaada ya kijeshi kwa jeshi la Lebanon na vikosi vya usalama wa ndani.”
-
Shambulio dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Shia wa India
Shambulio hili lilitokea wakati wa kiongozi akiongoza maandamano ya kupinga ujenzi haramu kwenye ardhi ya wakfu ya Karbala Abbas-Bagh, na katika uwepo wa maafisa wa Polisi.
-
Ripoti ya UNICEF, Sambamba na Siku ya Mtoto Duniani:
Gaza; Ardhi ya Mauaji Yasiyo ya Kawaida dhidi ya Watoto - Kila Dakika 17, Mtoto Huuwawa au Kupoteza Uwezo Fulani wa Mwili
Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa, “kila dakika 17 kwa wastani, mtoto mmoja au huuawa au kupoteza uwezo fulani wa mwili,” na kueleza takwimu hizi kuwa “hazikubaliki” na “zinazoshtua.”
-
Kuendelea kwa Upanuzi wa Kijeshi wa Uturuki Ndani ya Ardhi ya Iraq
Vikosi vya uhandisi vya jeshi la Uturuki vimeanza kusimika minara ya mawasiliano ya kijeshi katika mlima wa Qandil uliopo mpakani mwa Iraq.
-
UNIFIL: Israel iache mara moja uvamizi dhidi ya Lebanon
UNIFIL imeitaka jeshi la Israel kusitisha mara moja mashambulizi ya anga dhidi ya Lebanon na kuondoka kabisa kutoka katika ardhi ya Lebanon.
-
Ufichuzi wa uvamizi mkubwa zaidi wa Jeshi la Israel ndani ya ardhi ya Syria tangu kuanguka kwa Serikali ya Bashar al-Assad
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, wanajeshi wa Israel wamedhibiti ukanda wa kilomita 10 kuanzia eneo la Golan hadi Hamat Ghadeer, na kuanzisha kambi mpya 8 za kijeshi katika eneo hilo.
-
Kupitia Upya Historia ya Iran: Kuanzia Zaratustra Hadi Walinzi wa Maqamu Matakatifu
Ebrahim Bahadori: Kuanzishwa kwa Uwezo wa Watazamaji 7,000 kwa Maonyesho ya Uwanjani ni Mabadiliko ya Kiutamaduni kwa Mkoa wa Khorasan Kaskazini: Ebrahim Bahadori ametaja kuwa kuanzishwa kwa nafasi ya watu 7,000 kushiriki katika maonyesho ya wazi ya jukwaani katika mkoa wa Khorasan Kaskazini ni hatua kubwa ya mabadiliko ya kiutamaduni. Amesema pia kuwa: Kongamano la Pili la Kitaifa la Mashahidi 3,000 wa Mkoa, ambalo limeandaliwa kwa ufanisi kwa kuandaa maonyesho ya kienyeji ya uwanjani yaliyoitwa "Ardhi ya Jua (Sarzamin-e Khurshid)", limefungua njia mpya za ukuaji wa kitamaduni katika mkoa huo.
-
Jeshi la Israel lawageukia Wayahudi wa Kigeni ili kutatua uhaba wa wanajeshi
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, jeshi la Israel linapanga kuwalenga zaidi Wayahudi vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 25 kutoka Marekani na Ufaransa, kuwahimiza wahamie katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kujiandikisha jeshini kwa kipindi cha miaka kadhaa.