Dua
-
"Maarifa ya Nahjul Balagha (3) / Dua za Imam Ali (a.s)"
Hata ingawa seti ya dua zinazosimuliwa kutoka kwa Imam Ali (a.s) inafikia takriban dua 700, lakini kwa kuzingatia msisitizo wa Sayyid Razi katika kuchagua baadhi ya maneno ya Imam Ali (a.s) katika kitabu cha Nahjul Balagha, kuna takriban dua 50 zinazohusishwa na Amir al-Mu'minin (a.s) ambazo zinahusisha mada mbalimbali.
-
Matendo Mema katika Dua na Swala za Sunna (Sehemu ya 1)
Huu ni mkusanyiko uliokusanya baadhi ya matendo ya kufanya usiku na mchana, swala za Sunnah zilizopokewa, ponyo, kinga, dhikir, dua za ajabu, athari za baadhi ya Aya na ufupisho wa kuwafanyia adabu waliokufa, nimezikusanya ili niziambatanishe kwenye Mafatihul Jinani kisha kitabu kikamilike kwa njia zote na iwe na manufaa kwayo yaliyotimia.
-
Mufti wa Tanzania atangaza Dua ya Kuiombea Nchini na Wazee waliotangulia mbele ya Haki | Rais Samia Hassan na Rais Mwingi Kushiriki
Dua ya Kuiombea Taifa la Tanzania na kuwarehemu Wazee wetu waliotangulia mbele ya Haki itaongozwa na Mheshimiwa Mufti wa Tanzania.
-
Tangazo la Dua ya Khitma:
Dua ya Khitma ya Kumrehemu Marhuma Ukhti Fatima Ali Mwiru
Dua hii na visomo mbalimbali vitaanza rasmi baada ya Swala ya Eid -ul- Fitr.
-
Ufafanuzi wa Dua ya kabla ya Alfajiri 3 | Maimamu (a.s) ni "Neno Kamili" la Mwenyezi Mungu
Dua ya kabla ya alfajiri ikiwa kama dua maarufu zaidi ya kabla ya asubuhi kuingia katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani imepokelewa kutoka kwa Imam Baqir (AS). Uhusiano kati ya dhana ya juu ya Dua hii na nafasi ya Uimamu ni moja ya mada muhimu katika maelezo ya Dua hii.
-
Ibada za kufanya Usiku wa 23 wa Lailatul-Qadri
Inapendekezwa kusoma Dua ya (......يا مُدَبِّرَ الاُمُورِ ) hali ya kuwa umerukuu, umesujudu, umesimama, umekaa na irudierudie kila sehemu, na isome hata kila siku na iombe Dua hii kwa wingi katika Usiku wa mwisho wa Ramadhani Tukufu.
-
Ujumbe wa Waziri wa Miongozo katika hafla ya Nowruz na Nyusiku za Lailat -ul- Qadr
Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu, kwa mnasaba wa kuwasili kwa Nowruz ya mwaka mpya wa 1404 unaosadifiana na Mikesha ya Nyusiku Tukufu za Lailatul Qadr, katika ujumbe wake, alizingatia fahari ya Iran kuwa ni faraja kwa maisha ya kila mmoja wa Wananchi.