Hizbullah
-
Hofu kali yatanda kwa raia wa Israel baada ya jeshi la Israel kushambulia Hizbullah
mmoja kati ya makamanda wa jeshi hilo alisema kuwa:” tunayakini kuwa Hizbollah lazima watalipa kisasi.” Lakini mpaka sasa hakifahamiki kisasi hicho kitakuwaje na kitakuwa lini na kitatokea pande gani.
-
Marekani na Israel zalaani uamuzi wa mahakama ya kimataifa kuichunguza Israel
Israel ilikomesha uchokozi wake kwa nchi ya Lebanon baada ya kupata kipigo kikali kutoka kwa wanajeshi wa Hizbollah, ambacho hakijawahi kutokea katika historia ya Israel, kipigo hicho kilipelekea majeshi ya Israel kunyoosha mikono na kuomba sulhu katika vita vya siku 33 vya mwaka 2006.
-
Picha za makomando wa Hizbollah wakiendelea kudumisha ulinzi pamoja na barafu kushadidi
Hizi ni picha za makomando wa Hizbollah wakiwa katika kudumisha ulinzi katika maeneo matukufu ya Haram ya Hazarat Zainab na Hazarat Ruqayyah na maeneo mengine matukufu ya Mashia huko Syria, makomando hawa pamoja na kushadidi barafu na baridi kali lakini hawafumbii macho suala la ulinzi na kukabiliana na magaidi wa Daesh.
-
Netanyahu aomba Hamas irejeshwe kwenye orodha ya magaidi
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ameutaka Umoja wa Ulaya kulirejesha haraka kundi la Hamas katika orodha ya makundi ya kigaidi.
-
Jeshi la Syria laua magaidi 41
Jeshi la Syria limewaua magaidi 41 na kujeruhi wengine wengi katika katika mji wa Rayful adlab.
-
Sayyid Hasan Nasrullah:Tutapambana na magaidi kwa nguvu zote
Mwenyekiti wa Hizbullah amesema kuwa Jeshi lake litapambana na magaidi kwa nguvu zote.