Kumbukumbu
-
Muundo Mpya wa Ukuta wa Uwanja wa Palestina Tehran Wabeba Ujumbe Mkali wa Kiebrania katika Kumbukumbu ya Shahid Soleimani | Mnazidi kukaribia kutoweka
Katika kumbukumbu ya shahidi Jenerali Qasem Soleimani, jadariya jipya katika Uwanja wa Palestina, Tehran, limeibuliwa likiwa na ujumbe wa Kiebrania unaobeba onyo la kiishara kuhusu kukaribia mwisho wa zama za ubeberu na uvamizi, likisisitiza kuendelea kwa njia ya mapambano na msimamo wa upinzani.
-
Mkutano Mkuu wa Nne wa Masadat, ukiwa na lengo la kuheshimu nyuso mashuhuri za Iran na dunia na uzinduzi wa Kitabu Kamili cha Gaza, utafanyika
Nadhami Ardakani ametaja kaulimbiu ya “Mkutano Mkuu wa Nne wa Masadat” kuwa: "Masadat ni Wabeba Bendera wa Mapambano dhidi ya Utawala wa Kizayuni na Watunzi wa Historia ya Baadaye", na akasema: Baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, bendera ya kupambana na Uzayuni ilipeperushwa kwa mara ya kwanza na Imam Khomeini (r.a), kisha ikakabidhiwa kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ambaye mwenyewe ni katika Masadat, na baadaye ikaendelezwa na watu kama Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, Sayyid Badruddin Houthi na Ayatollah Sistani.
-
Maadhimisho ya kumbukumbu ya mashujaa wa mkoa wa Gilan wanaoishi mjini Qom yanatarajiwa kufanyika tarehe 2 Desemba
Mratibu wa Kamati ya Maadhimisho ya Mashahidi wa Gilan wanaoishi Qom amesema kuwa: Maadhimisho ya nne ya mashahidi wa Gilan wanaoishi mjini Qom yatafanyika jioni ya tarehe 11 Azar, sambamba na kukumbuka siku ya kuuawa kishahidi Mirza Kuchak Khan Gilani, katika Husainiya ya Bwana wa Mashahidi (a.s) jijini Qom.
-
Picha kuhusu mradi wa fani ya ushonaji kwa ajili ya Palestina katika Msikiti wa Afrika Kusini
Baadhi ya wanaharakati na wafuasi wa Palestina nchini Afrika Kusini wanashona vipande vya kitambaa vyenye rangi za bendera ya Palestina, kuunda kazi ya ishara ya kumbukumbu kwa watoto waliopoteza maisha katika vita vya Ghaza. Kazi hii itafunguliwa rasmi mnamo tarehe 29 Novemba, Siku ya Kimataifa ya Umoja na Palestina.
-
Kumbukumbu ya Mirza Kuchak Jangali Yapasa Kuwa Zaidi ya Sherehe ya Kihistoria
Gavana wa Gilan: “Maadhimisho ya kihistoria hayapaswi kubaki kuwa hafla za alama pekee; kumbukumbu ya Mirza Kuchak ni fursa ya kutathmini kama bado tupo katika njia ya malengo yake ya uhuru na haki.”
-
Kwa kuadhimisha sherehe ya kifahari ya "Laylat al-Kabirah":
"Wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s) nchini Misri wameadhimisha kumbukumbu ya kuwasili kwa kichwa cha Imamu Hussein (a.s) mjini Cairo"
Sherehe ya kifahari ya "Laylat al-Kabirah" ilifanyika nchini Misri kwa kushirikiana na idadi kubwa ya wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s), kuadhimisha kumbukumbu ya kuwasili kwa kichwa cha Imam Hussein (a.s).
-
Ripoti ya ABNA kutoka katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, huko Qom;
"Nasrallah hakuwa mtu, bali alikuwa ni shule ya fikra / Silaha ya mapambano itaendelea kubaki" + Picha na Video
Hujjatul-Islam Naser Rafii, katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, alisema: "Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa mbebaji bendera ya mapambano na kielelezo cha shule ya fikra, na njia yake itaendelea."
-
Naibu wa Ofisi ya Tablighi ya Hawza ya Qom amesema kuwa:
“Utetezi Mtakatifu (Kujihami Kutakatifu - Sacred Defence) ni chuo cha malezi na hazina ya kitamaduni”
Hujjatul-Islam Rousta Azad amesema: Kongamano la “Muballighina Mujahid” likiambatana na kumbukumbu ya kuwatunukia mfano bora wa jihadi na tabligh, litafanyika siku ya Jumatano, tarehe 9 Mehr, kuanzia saa 3 asubuhi, kwa kuhudhuriwa na kundi muhimu la makamanda na mashahidi hai wa Vita vya Utetezi Mtakatifu, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Ghadir, Ofisi ya Tablighi ya Kiislamu.
-
Mkutano wa Wanafunzi wanaoongea Lugha ya Kiurdu Wanaokaa Mjini Qom - Iran; katika Kumbukumbu ya Mwaka wa Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah
Hujjatul-Islam Fakhrian aliandika mada yake kwa kuanzia na nukuu ya Kiungu (alirejea aya za Quran) na kutangaza kuwa: azma ya Mwenyezi Mungu ni kuwapa walio dhaifu nafasi ya kuwa waanzilishi na warithi wa dunia; azma hiyo inatimia kwa njia moja tu — kupitia mapambano na kujitolea. Kwa hivyo, alisisitiza, hakuna njia nyingine ya kuangusha mfumo wa udikteta wa kigeni isipokuwa kupitia mapambano.
-
Sheikh Naeim Qassem: „Kwa mapigano ya aina ya Karbala, tutakabiliana na kuondolewa kwa silaha za harakati ya upinzani.“
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, katika hotuba ya kumbukumbu ya mashahidi Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashim Safiuddin, amesisitiza kuwa Hizbullah imesalia thabiti katika ahadi yake na itapinga vikali jaribio lolote la kuondoa silaha zake.
-
Majlisi ya Kumbukumbu ya Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah Kufanyika Beirut
Katika hafla hiyo: Mzungumzaji mkuu atakuwa Sheikh Muhammad Sadiq.
-
Mawakibu (1,800) za waombolezaji yalifurika katika Haram Tukufu ya Imam Ali (a.s) kwa Mnasaba wa kumbukumbu ya kufariki kwa Mtukufu Mtume Muhammad (s)
Haram Tukufu ya Imam Ali (a.s) Yapokea Makundi 1800 ya Waombolezaji Kutoka Ndani na Nje ya Iraq kwa Kumbukumbu ya Kifo cha Mtume Muhammad (s.a.w.w).
-
Madrasa ya Wasichana ya Hazrat Zainab (sa) Kigamboni - Yaadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Majlisi Maalum ya Maombolezo
Kikao hicho kilipambwa kwa kisomo cha Qur’an Tukufu na mashairi ya maombolezo (marsiya), ambapo walimu na wanafunzi walishiriki kwa unyenyekevu na hisia za heshima kwa mashahidi wa Karbala.
-
Falsafa ya Maombolezo na Kumbukumbu ya A'shura | Kulinda Haki na Uhuru wa Watu ni Muhimu zaidi kuliko Maisha binafsi
Haki ya mtu binafsi na umma: Imam Hussein alijua kwamba alikuwa akielekea kifo, lakini alikusudia kuonyesha ulimwengu kuwa kulinda haki na uhuru wa watu ni muhimu kuliko maisha binafsi. Maombolezo ya Ashura yanatufundisha kuwa watu wanapaswa kuwa tayari kujitolea, si tu kwa ajili ya nafsi zao, bali kwa ajili ya ustawi wa jamii.