Kumbukumbu
-
Naibu wa Ofisi ya Tablighi ya Hawza ya Qom amesema kuwa:
“Utetezi Mtakatifu (Kujihami Kutakatifu - Sacred Defence) ni chuo cha malezi na hazina ya kitamaduni”
Hujjatul-Islam Rousta Azad amesema: Kongamano la “Muballighina Mujahid” likiambatana na kumbukumbu ya kuwatunukia mfano bora wa jihadi na tabligh, litafanyika siku ya Jumatano, tarehe 9 Mehr, kuanzia saa 3 asubuhi, kwa kuhudhuriwa na kundi muhimu la makamanda na mashahidi hai wa Vita vya Utetezi Mtakatifu, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Ghadir, Ofisi ya Tablighi ya Kiislamu.
-
Mkutano wa Wanafunzi wanaoongea Lugha ya Kiurdu Wanaokaa Mjini Qom - Iran; katika Kumbukumbu ya Mwaka wa Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah
Hujjatul-Islam Fakhrian aliandika mada yake kwa kuanzia na nukuu ya Kiungu (alirejea aya za Quran) na kutangaza kuwa: azma ya Mwenyezi Mungu ni kuwapa walio dhaifu nafasi ya kuwa waanzilishi na warithi wa dunia; azma hiyo inatimia kwa njia moja tu — kupitia mapambano na kujitolea. Kwa hivyo, alisisitiza, hakuna njia nyingine ya kuangusha mfumo wa udikteta wa kigeni isipokuwa kupitia mapambano.
-
Sheikh Naeim Qassem: „Kwa mapigano ya aina ya Karbala, tutakabiliana na kuondolewa kwa silaha za harakati ya upinzani.“
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, katika hotuba ya kumbukumbu ya mashahidi Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashim Safiuddin, amesisitiza kuwa Hizbullah imesalia thabiti katika ahadi yake na itapinga vikali jaribio lolote la kuondoa silaha zake.
-
Majlisi ya Kumbukumbu ya Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah Kufanyika Beirut
Katika hafla hiyo: Mzungumzaji mkuu atakuwa Sheikh Muhammad Sadiq.
-
Mawakibu (1,800) za waombolezaji yalifurika katika Haram Tukufu ya Imam Ali (a.s) kwa Mnasaba wa kumbukumbu ya kufariki kwa Mtukufu Mtume Muhammad (s)
Haram Tukufu ya Imam Ali (a.s) Yapokea Makundi 1800 ya Waombolezaji Kutoka Ndani na Nje ya Iraq kwa Kumbukumbu ya Kifo cha Mtume Muhammad (s.a.w.w).
-
Madrasa ya Wasichana ya Hazrat Zainab (sa) Kigamboni - Yaadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Majlisi Maalum ya Maombolezo
Kikao hicho kilipambwa kwa kisomo cha Qur’an Tukufu na mashairi ya maombolezo (marsiya), ambapo walimu na wanafunzi walishiriki kwa unyenyekevu na hisia za heshima kwa mashahidi wa Karbala.
-
Falsafa ya Maombolezo na Kumbukumbu ya A'shura | Kulinda Haki na Uhuru wa Watu ni Muhimu zaidi kuliko Maisha binafsi
Haki ya mtu binafsi na umma: Imam Hussein alijua kwamba alikuwa akielekea kifo, lakini alikusudia kuonyesha ulimwengu kuwa kulinda haki na uhuru wa watu ni muhimu kuliko maisha binafsi. Maombolezo ya Ashura yanatufundisha kuwa watu wanapaswa kuwa tayari kujitolea, si tu kwa ajili ya nafsi zao, bali kwa ajili ya ustawi wa jamii.