Maadui
-
Sepah: Njama za Adui Kuangusha Mfumo wa Uongozi wa Kiislamu Zashindwa kwa Busara ya Kiongozi Mkuu wa Iran na Uangalifu wa Wananchi
Jenerali Naeini amesema tangu 13 Juni 2025 adui alilenga kuuangusha mfumo wa Kiislamu wa Iran kwa kusababisha machafuko ya kijamii, lakini kwa busara ya Kiongozi Mkuu Sayyid Ali Khamenei (h.a.) na uangalifu wa wananchi, njama hizo zilivunjika. Pia katika ghasia za 8 Januari 2026 na operesheni ya “Ahadi ya Kweli”, juhudi za adui zilikabiliwa na kushindwa kabisa.
-
Jeshi la Sepah la Iran: Maadui Wameshindwa, Taifa Liko Imara
Jeshi la Mapambano la Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetaja kushindwa kwa maadui wa Iran katika miongo 47 iliyopita kama ishara ya nguvu, mshikamano wa taifa, na uangalifu wa wananchi. Taarifa hiyo pia inakumbusha changamoto za vikwazo na kipindi cha utegemezi, huku ikihimiza wananchi kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kitaifa ya 22 Bahman.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Mnamo tarehe 22 Bahman, kwa kuonesha dhamira na msimamo wenu thabiti, muwavunje moyo maadui
Kiongozi wa Mapinduzi amesema kuwa ushiriki wa wananchi katika maandamano ya tarehe 22 Bahman na kuonyesha utii kwa Jamhuri ya Kiislamu ni silaha muhimu ya kuwarudisha nyuma maadui wanaolenga Iran na maslahi ya taifa. Amefafanua kuwa nguvu ya taifa haitokani zaidi na makombora au ndege za kivita, bali inatokana na umoja, fikra, azma na msimamo thabiti wa wananchi.
-
Mwana wa Waziri Mkuu wa Zamani wa Israel Aonyeshwa Kimakosa kama Aliyeuawa Iran
Vyombo vya habari vya maadui vimehusika katika kampeni ya upotoshaji dhidi ya Iran kwa kutumia picha za watu wasiokuwa na uhusiano na matukio ya ndani ya nchi hiyo. Hivi karibuni, hata picha ya mwana wa aliyekuwa waziri mkuu wa Kizayuni, Naftali Bennett, iliwasilishwa kimakosa kama mmoja wa waandamanaji waliodaiwa kuuawa, lengo likiwa ni kupotosha umma wa dunia na kuchochea hisia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Dhulfiqar: Kombora la Kivita la Iran Linaloashiria Makali ya Imam Ali (AS)
Israel tayari inatambua maana ya Dhulfiqar na imekwisha kuonja makali yake, huku Iran ikiwa imeapa kupigana na Israel vita vya mwisho endapo kutakuwa na shambulizi lolote toka kwa adui.
-
Kamanda Mkuu wa Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi:
“Vikosi vya Ulinzi vya Iran vimewapiga maadui zao Kofi lisilosahaulika”
Jenerali Mousavi alisema kuwa kipindi cha masomo ya kijeshi kwa wanafunzi hao kilitokea katika wakati wa kipekee - wakati ambao muqawama ulithibitisha ushindi wa imani juu ya dhulma na ubabe wa kimataifa.
-
Waziri Mkuu wa Iraq amewataka raia kushiriki katika uchaguzi ujao
Waziri Mkuu wa Iraq, akiwaonya kuhusu athari za kususia uchaguzi wa bunge, alisisitiza kuwa kutoshiriki kwa wananchi kutatoa nafasi kwa mafisadi na maadui wa maslahi ya taifa.
-
Sheikh Zakzaky aonya kuhusu kampeni dhidi ya nchi za Kiislamu, atoa wito wa mshikamano
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sayyid Ibraheem Zakzaky, alitoa hotuba ya kufunga Wiki ya Umoja mjini Abuja siku ya Jumatano.
-
Mkuu wa Mahusiano ya Kigeni wa Hizbullah ya Lebanon: Umoja wa Kiislamu ni dhamana ya ushindi wa Umma dhidi ya utawala wa Kizayuni
Mkuu wa Mahusiano ya Kigeni na Mjumbe wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja wa Kiislamu na kufuata mafundisho ya Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w) kuhusu huruma na uongofu, akieleza juu ya juhudi endelevu za maadui katika kuharibu sura ya Uislamu.
-
Kutoka kwenye Kampeni ya "Ziara kwa Njia ya Mbali" hadi Kuachiwa kwa Wafungwa: Maandalizi ya Wiki ya Umoja Mkoani Gilan
Sheikh Hujjatul Islam wal-Muslimin Mujtaba Ashjari, Mwenyekiti wa Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu mkoa wa Gilan, amesema kuwa wiki ya Umoja itashuhudia mfululizo wa shughuli za kiroho, kijamii na kusaidia wahitaji, ikiwa ni pamoja na kampeni za ibada, misafara ya furaha, utoaji wa misaada kwa familia zisizojiweza, na kusaidia wanafunzi masikini.
-
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli amesema kwamba “Kuunganisha Sanaa na Ushairi na Tauhidi ni ngao dhidi ya vitisho vya kigeni"
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli alisisitiza umuhimu wa kuunganisha sanaa na ushairi na Tauhidi (umoja wa kumpwekesha Mwenyezi Mungu), akisema kuwa iwapo mafundisho ya tauhidi yatahuishwa kwa sura yake halisi, basi jamii ya Kiislamu haitapotea wala kukumbwa na vitisho kutoka kwa maadui.
-
Mazuwwari wa Afghanistan: Warithi wa Karbala, Sio Vipande vya Mchezo wa Chesi
Ukosoaji wa Matusi ya Gazeti la Ettelaat-e-Rooz dhidi ya Waislamu wa Kishia wa Afghanistan
Katikati ya wimbi la maandiko yenye upendeleo ambayo, kwa kisingizio cha utafiti, yanadhalilisha imani na uelewa wa Waislamu wa Kishia wa Afghanistan, ni lazima kukumbusha ukweli: ukweli wa uhusiano wa kihistoria na wa kina kati ya mataifa mawili ya Iran na Afghanistan, ambao katika nyanja za mapambano, ulinzi na mshikamano, daima wamesimama bega kwa bega — na lengo la pamoja la maadui wao limekuwa kuvunja mshikamano huu.
-
Abdulmalik al-Houthi: Mpango wa Kuvinyang’anya Silaha Vikundi vya Muqawama ni wa Kipuuzi na Unahudumia Maadui
“Lau Umma wa Kiislamu ungetilia mkazo tangu mwanzo juu ya ujenzi wa jeshi la Kipalestina lenye nguvu, hali ya leo isingekuwa kama ilivyo.”
-
Lariyani: “Mazungumzo Sio Kipaumbele Sasa – Adui Lazima Kueleza Kwanza Sababu ya Vita”
Mazungumzo ni (Taktiki) mbinu tu ya Kisiasa inayotumika kufikia lengo Maalum. “Muachieni Kiongozi wa Mapinduzi aamue ni wakati gani na wapi ni sahihi kutumia mbinu hii.”
-
Kamanda wa Jeshi la Iran (IRGC) Aonya: "Tutarejelea mapigano (vita) kwa kuanzia katika nukta ile tulipoishia - Hatutamuacha Adui Mchokozi!"
Jenerali Pakpour alisisitiza kuwa majeshi ya Iran yako katika hali ya juu ya utayari na mshikamano kamili kurudia mashambulizi dhidi ya adui, akibainisha kuwa: “Waisraeli wameuona moto wa kuzimu waliokuwa wameahidiwa kwa macho yao wenyewe katika siku za mwisho za vita.”
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(AS):
Ghadir inachukuliwa kuwa ni harakati ya kuunganisha Uislamu | Kama Kusingekuwa na Ghadir, Uislamu Halisi ungeamizwa na Bani Umaiyya na Bani Abbas
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS): Kabla ya Mapinduzi, walikisema haiwezekani kuwepo kwa Mapinduzi ya Kiislamu, na wanachuoni hawakufikiri kwamba mabadiliko makubwa yangetokea nchini Iran, bali Mapinduzi ya Kiislamu yalikuwepo na yalishinda, na hayo yalikuwa ni Mapinduzi yaliyoongozwa na Kiongozi Muadhamu, na kila kitu kuhusu Mapinduzi hayo kilikuwa ni ufunuo kwa dini, kwamba hayo si chochote ila ni muujiza na kazi ya Mwenyezi Mungu.
-
Katika mazungumzo na daktari kutoka Yemen:
Imamu Khomeini alilitambua adui mkuu wa Umma wa Kiislamu; vita vya vyombo vya habari dhidi ya Iran vimeanzishwa
Daktari mwanamke kutoka Yemen alisema: Maadui walijitahidi kuionesha Iran kuwa adui wa Umma wa Kiislamu na mbadala wa adui wa kweli, ilhali maadui wakubwa na wa kihasama zaidi wa Umma wa Kiislamu ni Mayahudi wanaopinga Uislamu.
-
Shahadat Imam Jawad (as) | Mashairi ya Maombolezo ya Kifo cha Kishahidi cha Imam Muhammad Taqi (as)
Imam Jawad (as) - Alipewa sumu kali inayounguza moyo, kutoka kwa Umm Fadhl (mke wake, aliyemwekea sumu kwa amri ya mfalme)