Shahidi
-
Shahidi Sajad Zabihi: Alijitoa Muhanga Kulinda Usalama wa Wananchi wa Maeneo yenye uhitaji (Vijijini)
Wananchi na viongozi mbalimbali wamemuenzi Shahidi Zabihi kama shujaa wa taifa aliyesimama kulinda heshima, usalama na ustawi wa jamii. Tukio hilo limeacha huzuni kubwa, lakini pia limeongeza ari ya kulinda amani na mshikamano wa kitaifa.
-
Muundo Mpya wa Ukuta wa Uwanja wa Palestina Tehran Wabeba Ujumbe Mkali wa Kiebrania katika Kumbukumbu ya Shahid Soleimani | Mnazidi kukaribia kutoweka
Katika kumbukumbu ya shahidi Jenerali Qasem Soleimani, jadariya jipya katika Uwanja wa Palestina, Tehran, limeibuliwa likiwa na ujumbe wa Kiebrania unaobeba onyo la kiishara kuhusu kukaribia mwisho wa zama za ubeberu na uvamizi, likisisitiza kuendelea kwa njia ya mapambano na msimamo wa upinzani.
-
Vitisho vya Trump dhidi ya Iran Vinatokana na Kukata Tamaa: IRGC
IRGC imesema vitisho vya Rais wa Marekani Donald Trump dhidi ya Iran vinatokana na kukata tamaa baada ya kushindwa kuishinikiza Iran, ikisisitiza utii wake kwa Kiongozi wa Mapinduzi Ayatollah Ali Khamenei na kuendelea kulinda taifa la Iran na kuimarisha njia ya Shahidi Qassem Soleimani katika Mhimili wa Upinzani.
-
Imam Ali (a.s) na Siri za Ukuruba Wake kwa Mtume Mm Muhammad (s.a.w.w)
Imam Ali (a.s) si tu sahaba wa karibu wa Mtume (s.a.w), bali ni zao la malezi ya moja kwa moja ya Mtume, shahidi wa mwanzo wa wahyi, na mhimili wa maadili ya Kiislamu. Upendo na ufuasi wake unabaki kuwa kipimo muhimu cha uaminifu wa kweli kwa Uislamu na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w).
-
Sayyid Abdul_Qadir Alusi: Shahidi Soleimani na Shahidi Al-Muhandis walikuwa ngome imara ya Umma dhidi ya mradi wa kuuangamiza Uislamu
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Ribat Muhammadi nchini Iraq, akizungumzia nafasi ya mashahidi wa muqawama, alisisitiza kuwa Shahidi Luteni Jenerali Haj Qasem Soleimani na Shahidi shujaa Abu Mahdi Al-Muhandis walisimama katika wakati muafaka na kwenye hatua nyeti ya historia ili kuzuia miradi iliyolenga kuuangamiza Umma wa Muhammad (s.a.w.w).
-
-
Marafiki wa Ukweli Wako Wengi Zaidi Upande wa Pili | Kifo cha Kishahidi kwao hakileti upweke kwao Bali ni Daraja la kukutana na Msafara wa Waumini
"Katika ugeni hakuna hofu ya upweke; marafiki wapendwa wako wengi zaidi upande ule mwingine.” Kwa maana kwamba: Shahidi anapovuka kutoka dunia hii, haogopi kutengwa, kwa sababu anatambua wazi kuwa upande wa pili kuna kundi kubwa la wacha-Mungu, wakweli, watu wema, na mashahidi waliomtangulia, walio tayari kumpokea katika safu yao.
-
Kufariki au Kuuawa Shahidi: Ripoti ya Mdahalo / Uhakiki wa Kitaaluma wa Masuala ya Itikadi kwa Kuzuia Uvunjaji na Upotoshaji
Mdahalo kuhusu riwaya za shahada ya Bibi Fatima (a.s) ulifanyika kati ya Hamed Kashani na Abdulrahim Soleimani; Soleimani aliona baadhi ya riwaya hazina uthibitisho, lakini Kashani, akirejelea vyanzo vya kuaminika, alithibitisha kuwa shambulio na madhara yaliyotokea kwa Bibi Fatima (a.s) yalikuwa halisi, na akatoa onyo kuwa kukanusha matukio hayo kunaweza kuwa fursa kwa mitazamo ya kupinga Shi’a kutumika kwa uharibifu.
-
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Muqawama wa Lebanon yamefanyika katika eneo la Dhahiya;
"Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Uongozi wa Hizbullah: Kwa kuuawa kwa maagenti wetu, azma yetu inazidi kuwa imara kuliko hapo kabla”
Sheikh Ali Damuush amesema: “Kulegeza msimamo au kukubali mashinikizo na maagizo ya Marekani na Israel hakutaleta matokeo yoyote. Sisi hatutasalimu amri; hata ikiwa maadui wataweka juhudi zao zote kutuangamiza, kamwe hatutaacha njia ya muqawama (mapambano) wala kujitoa katika kuilinda nchi yetu.”
-
Katibu Mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon: “Muhammad Afif alikuwa sura yenye ushawishi mkubwa katika vyombo vya habari vya Muqawama”
Sheikh Naeem Qassem, Katibu Mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon, katika hotuba yake ya kumbukumbu ya mwaka wa kuuawa shahidi kwa Muhammad Afif al-Nabulsi na wenzake, alikumbusha nafasi muhimu ya marehemu katika uwanja wa vyombo vya habari na harakati za Muqawama. Alimtaja kama mfano wa kalamu yenye kujitolea, fikra angavu na uwajibikaji katika kutetea haki na mapambano ya wananchi wa ukanda huo.
-
Shahidi aliyekuwa akiishi kwa Mashahidi | Simulizi la Mama wa Shahidi kuhusu wakati wa mlipuko na Shahada
moja kwa mzaha nilimwambia mwanangu “Mwanangu! Kwa nini unanibana sana kuhusu kusali kwa wakati?” Alitabasamu na kusema: «Mama! Ninaogopa tufariki bila kusali kwa wakati na tusipate nafasi ya kurekebisha...»
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Ayatullah Dori Najafabadi kwa Watu wa Yemen: "Ushujaa wa Mashahidi Utaimarisha Umoja Dhidi ya Adui wa Kizayuni"
Ninawapa pole familia za mashahidi hawa wapendwa na wananchi wote wa Yemen. Tunawakumbuka mashahidi wote wa Uislamu: kuanzia mashahidi wa tukio la Fakh, mashahidi wa Palestina, Lebanon, na mashahidi wetu wa Iran kama vile Shahidi Qassem Soleimani na wengine.
-
Utabiri wa Mazuwwari 8 Milioni Katika Siku za Mwisho za Mwezi wa Safar
Naibu wa Kitengo cha Utamaduni, Jamii na Hija wa Mkoa wa Khorasan Razavi, Hojjatoleslam Ali Asgari, amesema kuwa idadi ya mazuwwari katika siku za mwisho za mwezi Safar imeongezeka kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na mwaka uliopita. Kwa kuzingatia likizo zinazokaribia, inatarajiwa kuwa idadi ya mazuwwari itafikia takriban milioni 8.