karbalaa
-
Kiongozi wa Shirika la Awqaf la Iran: Arubaini ya Mwaka Huu Itakuwa na Sura ya Kupinga Uzayuni - Iran ni A'shura ya Dunia ya Leo
Arubaini ya mwaka huu si tu tukio la ibada bali ni ujumbe wa mapambano ya kimaanawi na kisiasa. Iran inachukua nafasi ya kiashura ya dunia, ambapo uongozi, mshikamano, na upinzani dhidi ya dhulma vinaonyeshwa kwa njia halisi.
-
Siku ya 11 baada ya A'shura | Karbala imetenganisha Kati ya Dini ya Kuabudu Matwaghuti (Bani Umaiyya) na Dini ya Kumuabudu Mwenyezi Mungu
Dini ya Kumuabudu Mwenyezi Mungu (swt) baada ya vita vya Karbala iliwakilishwa na damu ya Imam Hussein (a.s) na Mashahidi wa Karbaka ambayo ilikuwa kielelezo hai cha dini ya haki ya Mwenyezi Mungu.
-
A'shura-Tanzania | Kuelimika Juu ya Tukio la A'shura na Tukio lolote la Historia ya Kiislam ni kusimamia Ukweli Halisi na Haki ilivyo Katika Historia
Tunasoma Matukio ya Historia ya Kiislamu ili Kuelimika na baada ya Kuelimika Tunasimama katika Msingi wa Haki na kusema ukweli Halisi wa Kihistoria ulivyo andikwa katika Vyanzo Sahihi vya Shia na Sunni.
-
Bondia Muhammad Ali: "Ikiwa unataka kuuelewa Uislamu, basi kwanza jifunze uelewe tukio la Karbala"
Muhammad Ali - Bondia maarufu wa wakati wote alitoa kauli hiyo mwaka 1993 katika Mwezi kama huu wa Muharram ambapo naye alishiriki katika Maombolezo ya Shahada ya Imam Hussein (as).
-
Falsafa ya Maombolezo na Kumbukumbu ya A'shura | Kulinda Haki na Uhuru wa Watu ni Muhimu zaidi kuliko Maisha binafsi
Haki ya mtu binafsi na umma: Imam Hussein alijua kwamba alikuwa akielekea kifo, lakini alikusudia kuonyesha ulimwengu kuwa kulinda haki na uhuru wa watu ni muhimu kuliko maisha binafsi. Maombolezo ya Ashura yanatufundisha kuwa watu wanapaswa kuwa tayari kujitolea, si tu kwa ajili ya nafsi zao, bali kwa ajili ya ustawi wa jamii.
-
Madrasat Hazrat Zainab (SA) - Kigamboni | Imam Hussein (A.S) ni Mlango wa Rehema Pana ya Mwenyezi Mungu
Imam Hussein (A.S) alikuwa ni mfano wa rehema ya Mwenyezi Mungu duniani. Mapambano na msimamo wake ni darasa kwa Umma. Kwa hiyo: 1_Waislamu waitikie wito wa Imam Hussein (A.S). 2_Waonyeshe huruma kwa wengine. 3_Watubu na wafanye toba kwa kupitia Ahlulbayt ili kupata msamaha wa Mwenyezi Mungu.
-
Imam Baqir (a.s): Kutoka Machozi hadi Fikra
"Ninapokusoma jina lako, nakushukuru kwa ukubwa wa maarifa yako, na pia nakumbuka machozi yako ya utotoni huko Karbala...". Maisha ya Imam Muhammad Baqir (a.s) yamejazwa na mafundisho ya kina na nyakati za tafakari ambazo hazileti tu machozi kwa mioyo bali pia huamsha fikra na akili. Katika kipindi kigumu cha historia, alitumia hekima na maarifa kuleta mwanga mpya katika mafahimu za Dini.