Jumamosi iliyopita tarehe 7 Oktoba wapiganaji wa Muqawamawa Palestina walianzisha operesheni kubwa na ya kipekee inayoitwa Kimbunga cha al-Aqsa kutokea Gaza (kusini mwa Palestina) dhidi ya maeneo ya utawala wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA; Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani Christian Wagner Ijumaa ya jana hakuunga mkono mpango wa UNICEF wa kusitisha mapigano ili kuundaa njia salama ya kufikishwa misaada ya kibinadamu huko Gaza. Wagner amedai kuwa utawala wa Kizayuni una haki ya kujilinda.
342/