Katika hafla hii, wazungumzaji mashuhuri wa Jumuiya ya Wanawake ya Zimbabwe, Bi. Taybeh Balakazi, Tersha Mosenzi, Tende Zahra Louise na Bi. Dk. Rebecca Masterton kutoka Uingereza, waliwasilisha maoni yao kwa njia ya mtandaoni.





Sambamba na Siku ya Kuzaliwa kwa Hazrat Zahra (s.a), mkutano wa kina mama wa uwezeshaji wa Wanawake kwa kumuiga Sayyidat Fatima Zahra (s.a) ulifanyika nchini Zimbabwe.
Katika hafla hii, wazungumzaji mashuhuri wa Jumuiya ya Wanawake ya Zimbabwe, Bi. Taybeh Balakazi, Tersha Mosenzi, Tende Zahra Louise na Bi. Dk. Rebecca Masterton kutoka Uingereza, waliwasilisha maoni yao kwa njia ya mtandaoni.