













Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Jamiat Al-Mustafa, Dar -es- Salaam - Tanzania, Chini ya Usimamizi na Uongozi wa Hojjat Al-Islam wal - Muslimin, Dr. Ali Taqavi, inaendesha Kozi muhimu ya Kompyuta kwa Vitendo ya ICDL kwa Wanafunzi (Mabanati) wa Hawzat Sayyidat Zainab (s.a). Kozi hii inayoboresha ujuzi wa ICDL ni moja ya harakati muhimu za Kielimu na Maarifa kwa Mabanati wa Kiislamu wanaosoma katika Hawzat hii.
Your Comment