Kwa mujibu wa shirika la habari la Abna, Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya yamesema: “Kwa kujibu uchokozi wa jeshi la Marekani katika maeneo ya kusini mwa nchi kwa kisingizio cha uwongo cha kuanguka kwa helikopta yao, baadhi ya kambi za Marekani katika eneo hilo zililengwa na shambulio kubwa la jeshi shujaa la Jamhuri ya Kiislamu na Pasdaran (IRGC).
Jeshi la Marekani lijue kwamba ikiwa litarudia uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, mashambulio makali na makubwa zaidi yatafanywa dhidi ya malengo yaliyoainishwa katika eneo hilo.”
Your Comment