Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa meli mbili zimegongana baada ya kujaribu kuvuka Mlango wa Hormuz kwa njia isiyo salama.
Katika taarifa yake, Jeshi la Wanamaji la IRGC limesema kuwa meli nyingine mbili pia zilizuiwa kuendelea na safari yao ya kuvuka Mlango wa Hormuz.
Maoni yako