Jeshi
-
Kuanza kwa Mchakato wa Kuondoka Kikamilifu kwa Vikosi vya Marekani kutoka Baghdad kuelekea Erbil Mwezi Septemba
Chanzo cha serikali ya Iraq kimetangaza kuwa vikosi vya Marekani vitaanza mchakato wa kuondoka kikamilifu mjini Baghdad kuanzia mwezi Septemba 2025 na kuhamia Erbil, mji mkuu wa eneo la Kurdistan nchini Iraq.
-
Jeshi la Iran:
"Majibu ya Iran yatakuwa makali zaidi iwapo adui atafanya kosa”
Jeshi Kuu la Iran lilibainisha kuwa katika tukio la kosa la kimahesabu kutoka kwa adui, kile kilichozuia operesheni kubwa wakati wa vita vya siku 12 vilivyopita hakitarudiwa tena.
-
Asilimia 60 ya Wana-Lebanon Wapinga Kuondolewa Silaha za Harakati ya Mapambano ya Hezbollah
Uchunguzi mpya wa maoni nchini Lebanon umeonyesha kuwa Wana-Lebanon wengi—bila kujali dini au dhehebu—wanapinga kuondolewa silaha za vikosi vya mapambano bila kuwepo mkakati mbadala wa ulinzi.
-
Jeshi la Italia Lakamata Meli ya Mizigo ya Silaha Inayodaiwa Kutoka Saudi Arabia Kwenda Israel
Kwa mujibu wa vyanzo vya usalama, silaha hizo zinadaiwa kuwa sehemu ya mpango mpana wa usafirishaji wa vifaa vya kijeshi kuelekea Israel, wakati huu ambapo mapigano na mashambulizi katika Ukanda wa Gaza yanaendelea.
-
Kiongozi Mwandamizi wa Hezbollah Lebanon: "Kufa ni bora kuliko kukabidhi silaha za upinzani"
Uamuzi wa Serikali unaweza kugeuza tatizo kutoka mapambano kati ya Lebanon na Israel na kuwa mzozo wa ndani.
-
Jeshi la Mapinduzi la Iran Laonya Marekani na Israel: Jibu Litakuwa Kali Mno Kuliko Mnavyodhani
Iran iko tayari kwa Operesheni Kubwa Dhidi ya Wachokozi kwa muda wowote ule.
-
Kamanda wa Jeshi la Iran (IRGC) Aonya: "Tutarejelea mapigano (vita) kwa kuanzia katika nukta ile tulipoishia - Hatutamuacha Adui Mchokozi!"
Jenerali Pakpour alisisitiza kuwa majeshi ya Iran yako katika hali ya juu ya utayari na mshikamano kamili kurudia mashambulizi dhidi ya adui, akibainisha kuwa: “Waisraeli wameuona moto wa kuzimu waliokuwa wameahidiwa kwa macho yao wenyewe katika siku za mwisho za vita.”
-
Sayyid Ali Khamenei: "Utawala wa Kizayuni haukufikiria kamwe kupokea mashambulizi kama haya kutoka kwa Jamhuri ya Kiislamu".
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu - Leo akihutubia Taifa la Iran, ametoa ufafanuzi mzuri mno wa matukio yalivyojiri, na kauli imara za kutia moyo kwa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambazo kwa hakika zimeonyesha mshikamano wa kitaifa, ujasiri, na kukataa kuachia madikteta au nguvu za kigeni na kibeberu kutawala na kuidhibiti Kijeshi Mashariki ya Kati. Pia, kauli za Kiongozi huyu imara na mwenye busara na hekima ya hali ya juu, zinaonyesha msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na mashambulizi ya nje, na kutotetereka katika suala zima la kuifyekelea mbali mikono ya adui yeyote yenye nia ovu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Taarifa ya Kikosi cha Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusiana na Uadui wa Israel: "Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu imeongezeka"
"Mashambulizi ya Iran kwa Utawala haram wa Kizayuni (Israel) yameongeza Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu na Kufuta Hadithi feki za Siku zote kwamba: Israel ina Jeshi lisiloshindwa".
-
Wito kwa wananchi wa kushiriki kwa wingi kwenye mazishi ya Mashahidi wa Mamlaka ya ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Baraza la Uratibu wa Propaganda (Tablighi) za Kiislamu limetoa taarifa na kutangaza: Marasimu ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi wa ngazi za juu kuwa itafanyika siku ya Jumamosi tarehe 27 Julai 2025, saa 8:00 Asubuhi mbele ya Chuo Kikuu cha Tehran.
-
Kamanda wa Iran wa Vikosi vya Jeshi la Ardhini: Usalama kamili upo kwenye mipaka
Kudumisha utayari wa mapigano kwa ajili ya kuhifadhi na kutetea itikadi, watu, dini na nchi ni misheni ya kudumu ya vikosi vya kijeshi vya Iran, na vikosi vya jeshi la ardhini kamwe havipuuzi misheni hii takatifu hata kwa sekunde moja.
-
Iran | Ulinzi wa Anga: "Tumepambana na ndege za Kijeshi na Droni 130 hadi leo asubuhi
Katika Mapambano hayo, dhidi ya ndege za kivita na ndege zisizo na rubani (Droni) aina ya "Hermes", "Heron" na ndege za kujilipua aina ya "Harop", walifanikiwa kuziharibu na kuziangusha katika maeneo mbalimbali ya nchi.
-
Taarifa kutoka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuhusu Wimbi la 17 la Mashambulizi Mchanganyiko dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Vituo hivi vimekuwa kitovu cha uovu dhidi ya wadhulumiwa wa Gaza, Lebanon, Yemen, na pia katika vita vilivyowekwa kwa uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tangu Kimbunga cha Al-Aqsa kilipoanza.
-
Onyo la Jeshi la Iran kwa Walowezi wa Israel | Ondokeni katika Maeneo yote ya Israel haraka ili muokoe Nafsi zenu
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran linajiandaa na shambulizi kubwa ambalo wameliita kuwa litakuwa ni shambulizi la Kutoa adhabu kwa Adui Israel. Kutokana na hilo imewataka Walowezi wa Kizayuni kutoka ndani ya Israel haraka Sana ili waokoe Nafsi zao.
-
Imam Khomein Akumbukwa: Mamia Wahudhuria Maadhimisho ya Kifo Chake Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam
Imam Khomein (ra) anakumbukwa duniani kote kama mtetezi wa wanyonge, hususan kwa msimamo wake thabiti katika kuwatetea Waislamu wa Palestina na wananchi wa Palestina kwa ujumla.
-
Khartoum imeachiliwa huru; jeshi la Sudan limetangaza kuwa limekamilisha operesheni ya usafishaji (kuondoa vikosi vya adui)
Jeshi la Sudan limetangaza kuwa limekamilisha usafishaji wa Khartoum kutoka kwa Vikosi vya Radiamali ya Haraka na limeushutumu Umoja wa Falme za Kiarabu kwa kuingilia kati kijeshi katika mzozo huu.
-
Watu 5 Wauawa Katika Shambulio la Mizinga la Jeshi la India katika eneo la Kashmir
Watu 5 Wasio Wanajeshi, Wakiwemo Mtoto Mmoja, Wauawa Katika Shambulio la Mizinga la Jeshi la India Katika Eneo la Kashmir Linalodhibitiwa na Pakistan.
-
Mashambulizi ya makombora ya Muqawama wa Palestina katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Vyanzo vya habari vimeripoti shambulio la roketi kutoka Ukanda wa Gaza kwenye maeneo yanayokaliwa kimabavu ya Palestina.
-
Jeshi la Israel linapanga njama ya kuteka 50% ya Ukanda wa Gaza
Jeshi la Israel linapanga kudhibiti asilimia 50 ya Ukanda wa Gaza ikiwa kutakuwa hakuna maendeleo katika mazungumzo ya pande mbili.
-
Gwaride la Boti 3,000 za Kijeshi za Iran litafanyika kuwaunga Mkono Wananchi wa Palestina
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran limetangaza Gwaride la Boti za Kijeshi 3,000 na uhamasishaji wa Wananchi kwa ajili ya kuwaunga mkono Wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.