Jeshi
-
Jeshi la Sepah la Iran: Maadui Wameshindwa, Taifa Liko Imara
Jeshi la Mapambano la Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetaja kushindwa kwa maadui wa Iran katika miongo 47 iliyopita kama ishara ya nguvu, mshikamano wa taifa, na uangalifu wa wananchi. Taarifa hiyo pia inakumbusha changamoto za vikwazo na kipindi cha utegemezi, huku ikihimiza wananchi kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kitaifa ya 22 Bahman.
-
Hashd al-Shaabi yaharibu Handaki na Maficho ya ISIS Mashariki mwa Salahuddin
Hashd Al-Shaabi ya Iraq imefanikiwa kugundua na kuharibu handaki na maficho ya ISIS Mashariki mwa Salahuddin kwa kushirikiana na jeshi la Iraq, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuzuia kurejea kwa makundi ya kigaidi katika eneo hilo.
-
Rais Samia Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Zanzibar
Mazungumzo hayo yamezingatia masuala mbalimbali ya usalama, ulinzi wa taifa, na maendeleo ya majeshi, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya majeshi na wananchi katika kuhakikisha amani na utulivu wa taifa.
-
Viongozi wa Serikali na Jeshi la Polisi Jijini Mwanza Watunukiwa Tuzo za Amani Kupitia Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026
Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026 imetoa tuzo za heshima kwa viongozi wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Jeshi la Polisi, kama ishara ya kutambua mchango wao katika kudumisha amani, mshikamano na utulivu wa kijamii. Tuzo hizo zilitolewa katika hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi za serikali, vyombo vya ulinzi na jamii kwa ujumla kuelekea maandalizi ya tukio hilo muhimu la Maridhiano Day 2026.
-
Mkuu wa Jeshi la Iran Amir Hatami Akikagua Ngome za Kijeshi za Mipakani pamoja na Brigedi za Jeshi la Ardhini
Ziara hii inakuja wakati Iran inasisitiza kuimarisha usalama wa mipaka yake na kuonyesha utayari wa jeshi katika kukabiliana na changamoto za kijeshi bila kukosa tahadhari ya kisiasa, hasa kutokana na mvutano uliopo katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Venezuela yaamuru Jeshi la Wanamaji kuandamana na meli za mafuta katikati ya mzingiro wa baharini wa Marekani
Rais wa Venezuela Nicolás Maduro ameagiza jeshi la wanamaji kuandamana na meli zinazobeba mafuta ghafi ya Venezuela kuelekea masoko ya Asia, ikiwa ni hatua ya moja kwa moja ya kujibu kile ambacho Caracas inakiita mzingiro wa baharini uliowekwa na Marekani chini ya Rais Donald Trump.
-
Je, Senario ya Maafa ya Al-Fasher Inarejelewa Tena Katika Mji wa Babanusa, Sudan?
Shirika la Umoja wa Mataifa limeonya kuwa hali ya kibinadamu katika mji wa Babanusa, uliopo katika jimbo la West Kordofan nchini Sudan, iko katika hatari kubwa ya kushuhudia janga kama lililotokea katika mji wa Al-Fasher, Kaskazini mwa Darfur, endapo hali ya sasa itaendelea kuzorota.
-
Mwakilishi wa Waliyyul-Faqih katika Jeshi la Kikomando la Sepah:
"Vitisho vimegeuzwa kuwa fursa ya kuimarisha mamlaka ya mfumo”
Mwakilishi wa Kaimu wa Kiongozi wa Mapokeo katika Jeshi la Kikomando alisema kuwa Mungu hubadilisha vitisho kuwa fursa ya kuimarisha mamlaka ya mfumo. Aliongeza kuwa: “Dushmani katika vita vya siku 12, licha ya kuwa na rasilimali nyingi, ilipigwa na hatimaye ilishindwa na kuomba kurudi nyuma; lakini katika vita vya kiakili bado haijatangaza mapumziko ya silaha.”
-
Jeshi la Lebanon liliwaruhusu waandishi wa habari kuingia katika vituo vya Hizbullah;
JKituo cha kihistoria cha Muqawama ambacho ukweli wake umejulikana baada ya kusitishwa kwa mapigano
Bonde la Zabqin, kutokana na muundo wake maalum wa kijiografia na umbali wa takribani kilomita 10 kutoka mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu, linachukuliwa kuwa mojawapo ya ngome kuu za Muqawama (Upinzani). Ni ngome ambayo vizazi mbalimbali vya wapiganaji wa Kipalestina na Wenyeji wa Lebanon wamekuwa wakikuwapo humo kwa miaka mingi.
-
Mgogoro usio wa kawaida katika Jeshi la Israel / Kupungua kwa kasi kwa hamasa ya wanajeshi kuendelea na utumishi
Jeshi la utawala wa Kizayuni linakabiliwa na mgogoro usio wa kawaida wa upungufu wa askari na kushuka kwa kiwango kikubwa cha hamasa ya wanajeshi kuendelea na utumishi.
-
Mapinduzi Guinea-Bissau: Rais Umaro Sissoco Embaló Apinduliwa na kukamatwa, Jeshi Lachukua Madaraka
Baada ya sintofahamu hiyo, Brigedia Jenerali Denis N’Canha, Mkuu wa Brigedi ya Kijeshi mjini Bissau, alitokea katika televisheni ya taifa na kutangaza rasmi kwamba jeshi limechukua madaraka ya nchi.
-
Jeshi la Israel Ladai Kumuua Kigaidi Kamanda Mwandamizi wa Hezbollah katika Mji wa Beirut
Kwa mujibu wa kituo cha habari cha Aljazeera, jeshi la Israel limedai kuwa limemuua mmoja wa makamanda wakuu wa Hezbollah katika mji wa Beirut.
-
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu la Iran (IRGC):
Hadithi ya vita vya siku 12 iwe kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu (IRGC) limeweka mkazo: Moja ya matukio makuu na yenye mafundisho muhimu katika historia ya kisasa, ambayo inaweza kuwa kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi wenye ujuzi na uwezo wa nchi, ni Ulinzi Mtakatifu wa siku 12 dhidi ya vita vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani, utawala wa Kizayuni, na wafuasi wao wa Magharibi na wa kikanda.
-
Burkina Faso: Daktari Aliyemkosoa Rais Traoré Atumwa Vitani kupambana na Magaidi Baada ya kupata Mafunzo ya Kijeshi - Kisa Kinachozua Mjadala Mpana
Rais Ibrahim Traoré, akizungumza katika mahojiano ya televisheni ya kitaifa, alithibitisha tukio hilo na kusema kwa maneno makali: “Kama kuna daktari, mwalimu, au mfanyabiashara anayehisi anajua zaidi kuhusu vita kuliko wanajeshi wetu, basi ni bora naye achangie kwa vitendo - aende vitani.”
-
Mtandao wa Ujasusi wa Marekani na Israel Wavunjwa katika Mikoa Kadhaa ya Iran
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mtandao huu wa waagizwaji wa uovu ulipangwa kutekeleza shughuli za kuhujumu usalama wa taifa katika nusu ya pili ya msimu wa vuli mwaka 1447H / (2025).
-
Waziri Mkuu wa Lebanon: Israel lazima iondoke kwenye ardhi yetu
Wito wa kuimarisha jeshi la Lebanon: Waziri Mkuu Salam aliendelea kusisitiza kuwa: “Utekelezaji wa sera ya serikali ya kuhakikisha silaha zinakuwa mikononi mwa dola pekee — iwe kusini au kaskazini mwa Mto Litani — unategemea kuharakishwa kwa misaada ya kijeshi kwa jeshi la Lebanon na vikosi vya usalama wa ndani.”
-
Al-Qassam: Makubaliano ya Gaza ni Matunda ya Ustahimilivu - Tupo tayari Kutekeleza Masharti ya Makubaliano Iwapo Mvamizi Israel Atayatii
“Israel ingeweza kuwarejesha mateka wake wengi wakiwa hai miezi mingi iliyopita, lakini ilichagua kupoteza muda na kuendelea na sera ya upumbavu ya kutumia nguvu za kijeshi, jambo lililosababisha vifo vya makumi ya mateka hao mikononi mwa jeshi lake lenyewe.”
-
Vikosi vya TTP Vyahusishwa Katika Shambulio la Taliban Kwenye Pakistan
Baadhi ya taarifa zinasema kuwa katika shambulio la usiku lililofanywa na Taliban dhidi ya vituo vya mipaka ya Pakistan, wanajeshi wa Taliban wa Pakistan (TTP) walishirikiana na vikosi vya Afghan.
-
Katika Hotuba Kabla ya Ajenda:
Vita vya Ndani vya Sudan Vingia Katika Awamu Muhimu ya Kimaamuzi / Al-Fashir Iweka Alama ya Mabadiliko Katika Hesabu za Kijeshi
Mgogoro kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya “Rapid Support” umeanza tena katika mji wa Al-Fashir, kaskazini mwa Jimbo la Darfur Magharibi.
-
Kamanda Mkuu wa Sepah: Kila kosa la kihesabu katika Ghuba ya Uajemi litapokea jibu la haraka na kali
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limedumu katika kuendeleza njia yake yenye utukufu ya kuijenga ustaarabu kwa kuiga mafundisho ya taalim ya upinzani yenye msukumo, ndani ya muktadha wa doktrini ya ulinzi-ushambuliaji ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Limeweka utayari wake wa kijeshi, taarifa na uendeshaji katika kiwango cha juu, na kwa uwazi linawaonya adui za Mapinduzi, mfumo wa Kiislamu na Iran mpendwa na mwenye fahari; kosa lolote lao la kihesabu katika Ghuba ya Uajemi, Kisiwa cha Hormuz na visiwa vya Iran, litaadhibiwa (litadhibitiwa) kwa jibu thabiti, la haraka, lenye nguvu na linalowaleta majuto.
-
Jeshi la Majini la Israel lavamia Msafara wa Uhuru uliokuwa ukielekea Gaza
Msafara wa Kimataifa wa Ustahimilivu (al-Sumud) umetangaza kuwa Jeshi la Majini la utawala wa Kizayuni limeushambulia Msafara wa Uhuru uliokuwa ukielekea Gaza kwa lengo la kuvunja mzingiro unaoendelea dhidi ya eneo hilo.
-
Mashambulio ya anga ya Israeli kusini mwa Lebanon / Madai ya kuua kigaidi Wanachama 3 wa Hezbollah
Jeshi la Israeli limetangaza kuwa ndege zake za kivita zimefanya mlolongo wa mashambulio ya anga dhidi ya malengo katika kusini mwa Lebanon.
-
Jeshi la Iran Lathibitisha kuendelea kutoa Msaada wa Kimkakati kwa wana Harakati za Uhuru za kuyakomboa Mataifa yao dhidi ya Ukoloni na Ukandamizaji
Hatua hii ya Iran inaashiria msimamo wake thabiti katika kuhimiza uhuru na kuunga mkono harakati za kupinga ukandamizaji wa kigeni na ukoloni duniani kote.
-
Pakistan Yatambuliwa Rasmi kama Mlinzi wa al-Haramain al-Sharifain
Rais wa Shirikisho la Vyuo vya Kiislamu vya Shia nchini Pakistan, Ayatullah Hafidh Sayyid Riaz Hussain Najafi, amelipongeza makubaliano ya ulinzi kati ya Saudi Arabia na Pakistan akiyataja kuwa hatua chanya na yenye kuleta matumaini.
-
-
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Lalaani Mauaji ya Kinyama ya Wazayuni Dhidi ya Yemen-Laahidi Jibu Kali kutoka kwa Muqawama wa Kiislam
"Kinyume na matarajio ya Wazayuni na waungaji mkono wao, jinai hizi hazitaweza kudhoofisha irada ya mapambano ya wananchi wa Yemen, bali damu ya mashahidi hawa watukufu itachochea zaidi hasira na mwamko wa upinzani dhidi ya ukoloni na utawala wa Kizayuni kote katika eneo".
-
Jeshi la Lebanon limepokea silaha nzito kutoka kwenye kambi za Wakpalestina
Jeshi la Lebanon limeanza mchakato wa kupokea silaha kutoka kwenye Kambi za Wapalestina katika Mji wa Sur Kusini mwa nchi hiyo.
-
Idadi ya Mashahidi Gaza Yaongezeka Hadi 62,122
Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa baada ya kuuwawa kwa watu wengine 58 kutokana na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni, idadi ya jumla ya mashahidi imefikia 62,122.
-
Kuanza kwa Mchakato wa Kuondoka Kikamilifu kwa Vikosi vya Marekani kutoka Baghdad kuelekea Erbil Mwezi Septemba
Chanzo cha serikali ya Iraq kimetangaza kuwa vikosi vya Marekani vitaanza mchakato wa kuondoka kikamilifu mjini Baghdad kuanzia mwezi Septemba 2025 na kuhamia Erbil, mji mkuu wa eneo la Kurdistan nchini Iraq.
-
Jeshi la Iran:
"Majibu ya Iran yatakuwa makali zaidi iwapo adui atafanya kosa”
Jeshi Kuu la Iran lilibainisha kuwa katika tukio la kosa la kimahesabu kutoka kwa adui, kile kilichozuia operesheni kubwa wakati wa vita vya siku 12 vilivyopita hakitarudiwa tena.