mapinduzi
-
Imam Sajjad (a.s): Mlinzi wa Ujumbe wa Karbala kwa Dua, Subira na Ukweli – Sheikh Athman Akbar
Sheikh Athman Akbar alihimiza jamii ya Kiislamu kuiga nyayo za Imam Sajjad (a.s) kwa kuitumia dua kama silaha ya kiroho, kuimarisha subira katika majaribu, na kusimamia ukweli mbele ya dhulma ili kuendeleza ujumbe wa Karbala katika zama zote.
-
Lariyani: “Mazungumzo Sio Kipaumbele Sasa – Adui Lazima Kueleza Kwanza Sababu ya Vita”
Mazungumzo ni (Taktiki) mbinu tu ya Kisiasa inayotumika kufikia lengo Maalum. “Muachieni Kiongozi wa Mapinduzi aamue ni wakati gani na wapi ni sahihi kutumia mbinu hii.”
-
Mumbai - India: "Tuna Bahati ya Kuzaliwa Katika Wakati Wako"
Kauli hii katika kumsifu na kumsapoti Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, inatukumbusha kauli maarufu na mashuhuri ya Imam Khomeini (RA) aliposema: "Vita dhidi yetu ni baraka kwetu".
-
Madrasat Hazrat Zainab (SA) - Kigamboni | Imam Hussein (A.S) ni Mlango wa Rehema Pana ya Mwenyezi Mungu
Imam Hussein (A.S) alikuwa ni mfano wa rehema ya Mwenyezi Mungu duniani. Mapambano na msimamo wake ni darasa kwa Umma. Kwa hiyo: 1_Waislamu waitikie wito wa Imam Hussein (A.S). 2_Waonyeshe huruma kwa wengine. 3_Watubu na wafanye toba kwa kupitia Ahlulbayt ili kupata msamaha wa Mwenyezi Mungu.
-
Taarifa ya Kikosi cha Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusiana na Uadui wa Israel: "Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu imeongezeka"
"Mashambulizi ya Iran kwa Utawala haram wa Kizayuni (Israel) yameongeza Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu na Kufuta Hadithi feki za Siku zote kwamba: Israel ina Jeshi lisiloshindwa".
-
Hezbollah: Tuna imani na uwezo wa Iran wa kufanya Amerika na Israel kuonja kushindwa
Uchokozi huu ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na za kibinadamu, Mikataba ya Geneva, na Mkataba wa Umoja wa Mataifa, ambao unakataza kulenga vituo vya nyuklia na matumizi ya nguvu dhidi ya nchi huru.
-
Leo tuko katika vita kamili -vya jumla- kati ya Imani na Ukafiri |Wito wa uhamasishaji wa Vyombo vya Habari na Ubainishaji Mzuri ili Kutetea Mapinduzi
Leo hii, ndio maana tunaona kila mtu ulimwenguni akifurahi kwamba Israeli inapigwa na Makombora ya Iran. Pia tunaona umoja wa kitaifa ndani ya nchi, ambapo kila mtu analaani hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yetu, isipokuwa watu wachache wabaya na waliolaaniwa ambao hata majina yao hayaruhusiwi kutamkwa na kutajwa.
-
Mkuu wa Shirika la ujasusi la IRGC na Naibu wake Waliuawa Shahidi
Walinzi wa Mapinduzi walitoa taarifa na kutangaza kuuawa Shahidi Mkuu wa upelelezi Mohammad Kazemi na naibu wake.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni Lazima Usubiri Adhabu Kali – Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Iran Hautauacha Salama
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Kiislamu Hautauacha Utawala wa Kizayuni - Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu
-
Ayatollah Khamenei: Umoja wa Mataifa ya Kiislamu Ndiyo Njia Pekee ya Kudumisha Usalama wa Umma
Msimamo wa Pakistan kuhusu suala la Palestina umekuwa wa kupongezwa sana. Wakati daima kumekuwa na vishawishi kwa nchi za Kiislamu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, Pakistan haijawahi kushawishika na vishawishi hivyo.
-
Katika mkutano na maelfu ya wafanyakazi kutoka kote nchini:
Kiongozi wa Mapinduzi ametoa uungaji mkono kamili kwa jamii ya wafanyakazi / Fikira zisikengeushwe kutoka kwenye suala la Palestina
Ayatollah Khamenei pia alisisitiza kuwa, pamoja na kuendelea kwa jinai na mauaji ya kikatili dhidi ya watu wa Gaza na Palestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni kwa msaada wa Marekani na Uingereza, mataifa yanapaswa kusimama dhidi ya utawala wa Kizayuni na wafuasi wake, na wasiruhusu masuala yanayohusu Palestina kusahaulika.