mapinduzi
-
Mahakama Kuu Yaweza Kuongeza Ufanisi wa Mfumo wa Kiislamu Kupitia Utekelezaji wa Haki
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), akiwa mbele ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Mahakama ya Mkoa wa Gilan, amesema kuwa utekelezaji sahihi wa haki na usawa katika taasisi zote za serikali unaweza kuongeza ufanisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kuthibitisha madai yake ya msingi kuhusu haki katika utawala.
-
Utekelezaji wa programu 2,000 kwa wakati mmoja sambamba na Wiki ya Basiji katika jiji la Rasht
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (Sepah) katika eneo la kati la Rasht alisema kuwa zaidi ya programu maalumu 2,000 za Wiki ya Basiji zimepangwa kutekelezwa katika vituo vya usalama vya Basiji pamoja na maeneo ya akina kaka na dada. Alisema kuwa Basiji ni nguvu madhubuti ya nchi kwa nyanja zote.
-
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu la Iran (IRGC):
Hadithi ya vita vya siku 12 iwe kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu (IRGC) limeweka mkazo: Moja ya matukio makuu na yenye mafundisho muhimu katika historia ya kisasa, ambayo inaweza kuwa kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi wenye ujuzi na uwezo wa nchi, ni Ulinzi Mtakatifu wa siku 12 dhidi ya vita vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani, utawala wa Kizayuni, na wafuasi wao wa Magharibi na wa kikanda.
-
Tone kutoka Nahjul-Balagha 27 | Kuheshimu Hadhi ya Imamu ni Nini?
Matokeo ya utiifu ni nini?. Amirul-Mu’minin Ali bin Abi Talib (AS) katika khutba ya 156 anasema: «إِنْ أَطَعْتُمُونِی فَإِنِّی حَامِلُکُمْ إِنْ شَاءَ اللَّهُ عَلَی سَبِیلِ الْجَنَّةِ» Yaani: “Mkinitii mimi – mimi kama Imamu– bila shaka nitawaongoza katika njia ya Peponi"
-
Afisa wa Uhusiano wa Umma wa Kikosi cha Anga cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC):
“Utamaduni wa Kujitolea na Uadilifu ndiyo Mzizi wa Nguvu ya Kikosi cha Anga cha IRGC"
Makombora Sheikh Naderi alisema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya uongozi wa juu, kipindi hiki kimepewa jina la *“Wiki ya Ujasiri wa Makombora”* kwa lengo la kuenzi mashahidi na kuonyesha mafanikio ya kikosi hicho kwa wananchi.
-
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran:
“Vikosi vya ulinzi vya Iran vimewashinda majeshi ya NATO katika vita vya siku 12”
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran amesema: “Katika vita vya kujihami vya siku 12, tulisimama dhidi ya Marekani, utawala wa Kizayuni na jumla ya majeshi ya NATO. Kwa hakika, tuliwashinda wote wa NATO, jambo ambalo halijawahi kutokea.”
-
Mchambuzi wa Marekani akizungumza na ABNA:
Msingi wa kuanzishwa kwa Mapinduzi ya Kiislamu ni kupambana na Uimperializimu; udanganyifu wa nyuklia ni chombo cha Washington katika kudhibiti Iran
Caleb Mapin: Iran inapaswa kuwa makini dhidi ya wale wanaofuatilia maslahi ya nguvu hizo na lengo lao ni kuharibu mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Imam Khamenei: Uhasama kati ya Iran na Marekani ni wa asili, ni mgongano wa maslahi kati ya mitindo miwili
Hivi karibuni kabla ya tarehe 4 Novemba, inayojulikana kama “Siku ya Wanafunzi na Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ukorofi wa Kidunia”, Imam Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, alikutana na wanafunzi wa rika zote, wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, pamoja na familia za mashahidi wa Vita vya Siku 12 Vilivyowekezwa"
-
Shamkhani: Sisi sote tuko kwenye meli moja / Inasikitisha ikiwa meli itapata doa au udhaifu
Mwakilishi wa Kamanda Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi katika Baraza Kuu la Ulinzi, akisisitiza umuhimu wa kudumisha umoja na mshikamano wa ndani, alisema: "Sisi sote tuko kwenye meli moja ambayo mashahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu waliizindua, na inasikitisha ikiwa, kwa bahati mbaya, tofauti zetu zitasababisha doa au pengo katika meli hii."
-
Kamanda Mkuu wa Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi:
“Vikosi vya Ulinzi vya Iran vimewapiga maadui zao Kofi lisilosahaulika”
Jenerali Mousavi alisema kuwa kipindi cha masomo ya kijeshi kwa wanafunzi hao kilitokea katika wakati wa kipekee - wakati ambao muqawama ulithibitisha ushindi wa imani juu ya dhulma na ubabe wa kimataifa.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:“Wazayuni hawakutarajia nguvu ya makombora ya Iran / Marekani haina haki kujihusisha na teknolojia ya Iran"
Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amebainisha kwamba: Marekani haina haki kujihusisha na suala la teknolojia ya nyuklia ya Iran - na akahoji kuhusiana na Trump akisema: Wewe ni nani hasa?”.
-
Ayatullah Malakooti:
"ABNA Ina Wajibu wa Kutambulisha Madhehebu ya Ahlul-Bayt (A.S) Ulimwenguni / Baba Marehemu alikuwa wa Awali Kusaini kuondolewa kwa Shah"
Akizungumza na Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (ABNA) Jumapili, 20 Mehr 1404 (2025), Ayatullah Malakooti alisisitiza umuhimu wa kueleza Ushia kwa usahihi mbele ya upotoshaji. Alieleza kuwa kabla ya Mapinduzi ya Kiislamu, dunia haikuufahamu Ushia kama ilivyostahili; taarifa nyingi zilizokuwepo zilitokana na maandiko ya Ahlus-Sunnah yaliyo na taarifa zisizokamilika au kwa makusudi kutoeleza Ushia kwa usahihi, na hivyo Ushia / Mashia walichukuliwa kama kundi dogo au la upande mmoja.
-
Maoni ya Velayati Kuhusu Kusitisha Mapigano (Vita) Huko Ghaza
Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameandika akirejea kusitishwa kwa mapigano huko Ghaza kwamba: “Kuanza kwa kusitishwa mapigano huko Ghaza kunaweza kuwa nyuma ya pazia la kumalizika kwa kusitishwa mapigano mahali pengine.”
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa mnasaba wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu:
"Ushahidi (shahada) ni thawabu ya jitihada za jihadi; iwe katika utetezi wa miaka 8, au katika mapambano ya kishujaa ya siku 12"
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kwa mnasaba wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu, aliitaja shahada kuwa ni thawabu ya juhudi za jihadi, na alisisitiza juu ya umuhimu wa kujitolea huku katika kukuza mataifa. Vilevile, alieleza yakini yake juu ya ushindi wa haki na umuhimu wa kushikamana na majukumu ya kidini.
-
Hekalu la Chini ya Ardhi’ limechapishwa kwa Kiarabu
Katika Muktadha wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu (Sacred Defence), tafsiri ya Kiarabu ya kitabu “Hekalu ya Chini ya Ardhi” kilichoandikwa na Ma‘sumeh Mirabutalebi, ambacho kimepambwa na (maoni ya kupongeza) ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu (Ayatollah Khamenei), kimechapishwa na Dar Tamkin nchini Iraq.
-
Ujumbe wa rambirambi wa Ayatollah Faqihi kwa mnasaba wa kufariki kwa Ayatollah Mousavi Yazdi
Ayatollah Mohsen Faqihi ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mkuu wa Ofisi ya Masuala ya Mali (Wujuhat) ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi.
-
Uteuzi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(a.s) kwa amri ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Khamenei; Amemteua Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ramezani kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(as) kwa muhula mwingine tena.
-
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Lalaani Mauaji ya Kinyama ya Wazayuni Dhidi ya Yemen-Laahidi Jibu Kali kutoka kwa Muqawama wa Kiislam
"Kinyume na matarajio ya Wazayuni na waungaji mkono wao, jinai hizi hazitaweza kudhoofisha irada ya mapambano ya wananchi wa Yemen, bali damu ya mashahidi hawa watukufu itachochea zaidi hasira na mwamko wa upinzani dhidi ya ukoloni na utawala wa Kizayuni kote katika eneo".
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ataka Utekelezaji wa Makubaliano ya Kistratejia kati ya Iran na China
Ayatollah Khamenei amesisitiza nafasi ya kihistoria na ya kimkakati ya Iran na China katika bara la Asia na duniani, na akasema kuwa: "Iran na China, zikiwa na historia ya ustaarabu wa kale katika pande mbili za Asia, zina uwezo wa kuleta mabadiliko katika medani ya kimataifa na kikanda. Kuweka katika vitendo vipengele vyote vya makubaliano ya kistratejia, kutarahisisha njia hii."
-
Mpango wa Kubadilisha Paradigm ya Mapinduzi ya Kiislamu; Mbinu ya Ubeberu wa Dunia kwa Ajili ya Kutawala Taifa la Iran
Kikao cha kitaalamu chenye mada ya “Ukosoaji na Uchambuzi wa Mpango wa Kubadilisha Paradigm katika Mapinduzi ya Kiislamu; maana na sababu zake kwa mujibu wa fikra za Imam Khomeini (r.a) na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu” kimefanyika kwa juhudi za Idara Kuu ya Utafiti wa Kiislamu ya Shirika la Utangazaji la Taifa.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu:
“Haiwezekani kuupiga magoti Umma wa Iran na Mfumo wa Kiislamu kupitia vita"
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ridha (a.s), amesema: "Umma wa Iran na Mfumo wa Kiislamu hauwezi kupigwa magoti kwa vita na kulazimishwa kusalimu amri"
-
Kiongozi wa Mapinduzi Aomboleza Kifo cha Hujjatul-Islam Naeim Abadi
Mheshimiwa Ayatollah Khamenei ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni mpiganiaji, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Gholamali Naeim Abadi.
-
Dkt. Larijani: Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa hazina kubwa kwa ulimwengu wa Kiislamu
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika ziara yake kwenye eneo la Dahieh Kusini mwa Beirut na kutembelea kaburi la Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, alimueleza kuwa ni hazina kubwa kwa ulimwengu wa Kiislamu na kusisitiza juu ya kuendeleza njia ya muqawama (upinzani wa haki).
-
Imam Sajjad (a.s): Mlinzi wa Ujumbe wa Karbala kwa Dua, Subira na Ukweli – Sheikh Athman Akbar
Sheikh Athman Akbar alihimiza jamii ya Kiislamu kuiga nyayo za Imam Sajjad (a.s) kwa kuitumia dua kama silaha ya kiroho, kuimarisha subira katika majaribu, na kusimamia ukweli mbele ya dhulma ili kuendeleza ujumbe wa Karbala katika zama zote.
-
Lariyani: “Mazungumzo Sio Kipaumbele Sasa – Adui Lazima Kueleza Kwanza Sababu ya Vita”
Mazungumzo ni (Taktiki) mbinu tu ya Kisiasa inayotumika kufikia lengo Maalum. “Muachieni Kiongozi wa Mapinduzi aamue ni wakati gani na wapi ni sahihi kutumia mbinu hii.”
-
Mumbai - India: "Tuna Bahati ya Kuzaliwa Katika Wakati Wako"
Kauli hii katika kumsifu na kumsapoti Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, inatukumbusha kauli maarufu na mashuhuri ya Imam Khomeini (RA) aliposema: "Vita dhidi yetu ni baraka kwetu".
-
Madrasat Hazrat Zainab (SA) - Kigamboni | Imam Hussein (A.S) ni Mlango wa Rehema Pana ya Mwenyezi Mungu
Imam Hussein (A.S) alikuwa ni mfano wa rehema ya Mwenyezi Mungu duniani. Mapambano na msimamo wake ni darasa kwa Umma. Kwa hiyo: 1_Waislamu waitikie wito wa Imam Hussein (A.S). 2_Waonyeshe huruma kwa wengine. 3_Watubu na wafanye toba kwa kupitia Ahlulbayt ili kupata msamaha wa Mwenyezi Mungu.
-
Taarifa ya Kikosi cha Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusiana na Uadui wa Israel: "Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu imeongezeka"
"Mashambulizi ya Iran kwa Utawala haram wa Kizayuni (Israel) yameongeza Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu na Kufuta Hadithi feki za Siku zote kwamba: Israel ina Jeshi lisiloshindwa".
-
Hezbollah: Tuna imani na uwezo wa Iran wa kufanya Amerika na Israel kuonja kushindwa
Uchokozi huu ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na za kibinadamu, Mikataba ya Geneva, na Mkataba wa Umoja wa Mataifa, ambao unakataza kulenga vituo vya nyuklia na matumizi ya nguvu dhidi ya nchi huru.
-
Leo tuko katika vita kamili -vya jumla- kati ya Imani na Ukafiri |Wito wa uhamasishaji wa Vyombo vya Habari na Ubainishaji Mzuri ili Kutetea Mapinduzi
Leo hii, ndio maana tunaona kila mtu ulimwenguni akifurahi kwamba Israeli inapigwa na Makombora ya Iran. Pia tunaona umoja wa kitaifa ndani ya nchi, ambapo kila mtu analaani hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yetu, isipokuwa watu wachache wabaya na waliolaaniwa ambao hata majina yao hayaruhusiwi kutamkwa na kutajwa.