Kwa mujibu wa shirika la habari la Abna, Kamandi ya Jeshi la Wanamaji la IRGC imechapisha katika mtandao mmoja wa kijamii ujumbe ukisema: Kuingia na kutoka kwa Mlango wa Hormuz kumewekwa wazi na iko chini ya udhibiti wetu kamili.
Katika muendelezo wa ujumbe huu imesemwa: Njia mbadala si salama na ni hatari; tunaonya zisitumike kwani zitakuwa na matokeo mabaya na yasiyoweza kurekebishwa.
Maoni yako