-
Malawi | Majlis ya Kuadhimisha Kifo cha Abdul-Muttalib (a.s) +Picha
Utambulisho wa Abdul-Muttalib (a.s): Alikuwa kiongozi mashuhuri wa Quraysh, mwenye hekima, heshima na hadhi kubwa katika jamii ya wakati wake. Alisimama kama nembo ya uadilifu na busara miongoni mwa Waarabu wa zama za kabla ya Uislamu.
-
Hawzat Imam Zainul Aabidin (as) - Burundi | Mitihani ya Mwisho wa Muhula wa Pili -2025 +Picha
Kwa ujumla, mitihani ya leo imeendeshwa kwa mafanikio makubwa. Waalimu wameeleza kuridhika kwao na juhudi za wanafunzi, huku wakitarajia matokeo mazuri yatakayoendana na bidii waliyoionyesha wakati wa maandalizi.
-
Kifo cha Mwanafunzi (Jabir Madua) wa Jamiatul Mustafa - Dar-es-salaam, Tanzania | Na Hadithi ya Mtume(saww) kuhusu Vifo vya Watafutaji wa Elimu +Picha
Mtume wa Darja Muhammad (rehema na amani zimshukie yeye na Ahlulbayt wake watoharifu) anasema kuhusiana na Mwanafunzi atakafariki akiwa katika Harakati za kuitafuta Elimu ya Dini: “Itakapomjia mauti Mwanafunzi wa Elimu akiwa katika hali hii, hufa akiwa shahidi.” Hadithi hii inaonyesha utukufu wa elimu na cheo kikubwa alichopewa anayejitolea kwa dhati katika kuijua dini na kuitumikia jamii kwa mwanga wa Qur’ani na mafundisho Safi ya Ahlul-Bayt (a.s).
-
Trump Adai: Azimio la Gaza Litasaidia Amani Ulimwenguni!
Rais wa Marekani alidai kuwa kupitishwa kwa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Gaza kutapelekea kuenea kwa amani ulimwenguni.
-
Trump: Sijafurahishwa na Mexico; Naweza Kulenga na Huko pia
Rais wa Marekani alisema kuwa hajaridhishwa na utendaji wa serikali ya Mexico na anaweza kulenga nchi hiyo pia ili kuzuia usafirishaji wa dawa za kulevya.
-
Russia Yasema Mazungumzo na Ukraine Hayajamalizika
Afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia alitangaza kuwa mchakato wa mazungumzo na Ukraine wa kusimamisha vita haujamalizika.
-
Mwakilishi wa Russia Aitaja Azimio la Marekani Kuhusu Gaza Kuwa 'La Udanganyifu'
Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa alitaja azimio la Marekani kuhusu Gaza kuwa la udanganyifu.
-
Orban Aitaja Kauli za Wazungu Kuhusu Vita na Urusi Kuwa ‘Kukiri Hatari’
Waziri Mkuu wa Hungary alisema kuwa maneno ya wanasiasa wa Ulaya kuhusu “maandalizi ya vita mnamo 2030” ni kukiri hatari.
-
“Msafara wa Uimara” (Samoud) Mpya Unakuja; Msafara wa Nchi Kavu Waelekea Gaza
Wanaharakati wanaounga mkono Palestina wanajiandaa kwa safari za ardhini na baharini kuelekea Ukanda wa Gaza ndani ya mfumo wa Msafara mwingine wa Uimara (Samoud).
-
Gavana (wa Utawala) wa Jolani: Operesheni ya Kijeshi huko Suwayda Haipo Kwenye Ajenda
Gavana wa utawala wa kujitangaza wa Muhammad al-Jolani ametangaza kuwa hana mpango wa operesheni ya kijeshi katika mkoa wa Suwayda unaokaliwa na Wadruzi.
-
Waziri wa Kizayuni: Tumemtayarishia Mahamud Abbas Chumba cha Selo
Licha ya kujisalimisha kwa Mamlaka ya Palestina kwa utawala wa Kizayuni, Itamar Ben-Gvir alitaka maafisa wakuu wa mamlaka hiyo waangamizwe.
-
Bunge la Jordan Lazifisha Jeshi Kujibu Vitisho vya Israel
Kutokana na kuongezeka kwa vitisho kutoka kwa utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi za ukanda, Bunge la Jordan lilikubali kulazimisha tena huduma ya kijeshi nchini humo.
-
Baghaei Atuma Salamu za Rambirambi kwa Familia za Wahanga wa Kihindi nchini Saudi Arabia
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alituma salamu za rambirambi kwa familia za mahujaji wa Kihindi waliofariki katika ajali ya basi karibu na Madina.