Athari
-
Sheikh Naeim Qassem: „Kwa mapigano ya aina ya Karbala, tutakabiliana na kuondolewa kwa silaha za harakati ya upinzani.“
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, katika hotuba ya kumbukumbu ya mashahidi Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashim Safiuddin, amesisitiza kuwa Hizbullah imesalia thabiti katika ahadi yake na itapinga vikali jaribio lolote la kuondoa silaha zake.
-
Kwa nini Ndoa ya Mitala isiyo Rasmi ("Ndoa Nyeupe" au White Marriage) ni tishio kwa Familia na Jamii?
Makala hii inachambua kwa mtazamo wa kina sababu za upinzani wa Uislamu dhidi ya ndoa nyeupe na inafafanua athari na madhara ya kijamii yanayosababishwa na aina hii ya ndoa.
-
Waziri Mkuu wa Iraq amewataka raia kushiriki katika uchaguzi ujao
Waziri Mkuu wa Iraq, akiwaonya kuhusu athari za kususia uchaguzi wa bunge, alisisitiza kuwa kutoshiriki kwa wananchi kutatoa nafasi kwa mafisadi na maadui wa maslahi ya taifa.
-
Ayatollah Ramezani: Ueneaji wa Uislamu, zaidi ya kitu chochote, ulikuwa ni kwa sababu ya tabia njema ya Mtume (s.a.w.w)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) akieleza kuwa tabia njema ya Mtume (s.a.w.w) ilikuwa ndiyo sababu kuu ya ushawishi wake, aliongeza: "Popote palipo na maadili ya Mtume, hakika yataacha athari yake.
-
Kiongozi Mwandamizi wa Hezbollah Lebanon: "Kufa ni bora kuliko kukabidhi silaha za upinzani"
Uamuzi wa Serikali unaweza kugeuza tatizo kutoka mapambano kati ya Lebanon na Israel na kuwa mzozo wa ndani.
-
Mamlaka za Israeli zimethibitisha kukamatwa kwa raia wawili wa Israeli kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya Iran
Watu wawili waishio katika mji wa Haifa wamekamatwa kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya Iran.