Bunge
-
Al-Rubaie: Hashd al-Shaabi ni Mwakilishi wa Makabila na Madhehebu yote ya Iraq
Mjumbe wa zamani wa Kamati ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesema kuwa Hashd al-Shaabi (Jeshi la Wananchi wa Iraq) ni mstari mwekundu kwao, kwani ni mali ya watu wote wa Iraq na linawakilisha makabila na madhehebu yote nchini humo.
-
Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu Pakistan:
“Kuhusika katika mikataba inayohusisha damu ya Wapalestina ni khiana kwa ummah wa Kiislamu.”
Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu Pakistan alitoa taarifa akisema: “Hakuna aina yoyote ya biashara au makubaliano yanayohusisha damu ya Wapalestina yanayokubalika.”
-
Waziri Mkuu wa Iraq amewataka raia kushiriki katika uchaguzi ujao
Waziri Mkuu wa Iraq, akiwaonya kuhusu athari za kususia uchaguzi wa bunge, alisisitiza kuwa kutoshiriki kwa wananchi kutatoa nafasi kwa mafisadi na maadui wa maslahi ya taifa.
-
Tanzania Yaomboleza Kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Job Yustino Ndugai
Katika salamu za rambirambi, pole zimetolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ujumla.
-
Wazayuni wanajutia vita na Iran | Nguvu ya Iran ya Kijeshi sio rahisi kuikabili
Sasa Israel imebakia kujutia na kujilaumu kuingia vitani na Iran na kukiri kuwa Nguvu ya Iran sio rahisi kuikabili. Hii ni baada ya kupata Mashambulizi makali zaidi ya Makombora ya Iran yenye uharibifu mkubwa na milipuko ya kutosha katika kila kona ya Utawala Ghasibu wa Israel.
-
Kiongozi Mkuu: Msimamo Usioyumba wa Taifa la Iran Ni Ishara ya Uwezo na Dhamira ya Kitaifa – Wabunge Wahimizwa Kulinda Hadhi ya Bunge la Kiislamu
Katika mkutano na Spika na wabunge wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Iran Haijawahi Kuyumba Mbele ya Mashinikizo ya Kimataifa".
-
Rais wa Baraza la Wawakilishi la Iran Awasilisha Zawadi ya Familia ya Shahidi Soleimani kwa Rais Maduro wakati wa Ziara Caracas
Rais wa Bunge | Baraza la wawakilishi la Iran akutana na Rais Maduro Caracas, na kumkabidhi sanamu ya Jenerali Shahidi Qasem Soleimani, iliyotumwa na familia ya Shahidi Soleimani kama zawadi.