Bunge
-
Bunge la Iran: Lebanon Lazima Iwe Sehemu ya Makubaliano ya Mwisho ya Kusitisha Mapigano
Kamati ya Usalama wa Taifa ya Bunge la Iran imesema Lebanon ni sehemu muhimu ya makubaliano yoyote ya mwisho ya kusitisha mapigano, huku wabunge wa Iran wakisisitiza kuendelea kuiunga mkono Lebanon na harakati za muqawama pamoja na kutaka kukomeshwa kwa vitendo vya uhasama katika eneo hilo.
-
Ghalibaf: Hatuamini Ahadi za Adui, Kipimo ni Matokeo ya Vitendo
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema kuwa Iran haitategemea ahadi za maadui katika medani ya diplomasia, akisisitiza kuwa mafanikio hupimwa kwa matokeo halisi na kwamba umoja wa wananchi umechangia kwa kiasi kikubwa kuimarisha nafasi ya taifa hilo katika kukabiliana na mashinikizo ya nje.
-
Wafuasi wa Iran Wakusanyika Mbele ya Bunge la Norway Jijini Oslo - Norway
Kundi la waungaji mkono wa Iran limefanya mkusanyiko mbele ya Bunge la Norway katika mji wa Oslo, likionesha mshikamano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza misimamo yake kuhusu masuala ya kimataifa yanayoihusu nchi hiyo.
-
Ayatollah Mojtaba Khamenei Aonya Dhidi ya Njama za Kusababisha Mgawanyiko wa Kijamii Iran
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja wa wananchi, akionya kuwa adui anatumia mbinu za kueneza mifarakano ya kijamii baada ya kushindwa kufikia malengo yake kupitia mashinikizo ya kijeshi, kiuchumi na kisiasa.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran: Bunge la Kiislamu Ni Nguzo Kuu ya Utashi wa Wananchi na Sheria
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Majlisi ya Shura ya Kiislamu ni kiini cha wananchi na nguzo muhimu ya sheria na utungaji wa sheria, akieleza kuwa taasisi hiyo ina jukumu la msingi katika kutekeleza matakwa ya wananchi ndani ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Radiamali Ilhan Omar Kuhusu Tukio la Ukatili Dhidi ya Mwanamke Muislamu Wakati wa Hotuba ya Trump
Mbunge Muislamu wa Marekani Ilhan Omar alilaani kukamatwa kwa mmoja wa wageni aliyehudhuria hotuba ya Donald Trump katika Bunge la Marekani, baada ya kushika ishara ya maandamano au kupinga. Omar alisisitiza kuwa hatua hiyo ilikuwa kinyume na haki za kiraia na uhuru wa maoni, na kuhamasisha kulinda nafasi za kila mtu kushiriki kwa amani katika mijadala ya kisiasa bila hofu ya mateso au ukatili.
-
Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC, Bunge Latangaza Majeshi ya Ulaya kuwa Makundi ya Kigaidi
Wabunge wa Iran wamevaa sare za IRGC na kutangaza azimio la kuyachukulia majeshi ya Ulaya kama makundi ya kigaidi, ikiwa ni jibu la hatua ya Ulaya kulitaja Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi la Iran kuwa kundi la kigaidi.
-
Washington Yakanusha Kutuma Maafisa wa Kijeshi nchini Venezuela
Mike Johnson, Spika wa Bunge la Marekani, amekana Kutumwa kwa Maafisa wa Kijeshi Kwenda Venezuela. Mike Johnson, spika wa Bunge la Marekani, ameweka wazi kuwa Marekani haijasambaza au kutuma majeshi yake nchini Venezuela.
-
Mkwamo katika Bunge la Iraq; mizani ya kisiasa yameelemea kwa Waislamu wa Kishia na Wakurdi
Wakati ambapo Waislamu wa Kisunni wameshindwa kufikia mwafaka juu ya mgombea mmoja, hatima ya urais wa Bunge la Iraq imefungamana zaidi kuliko wakati mwingine wowote na maamuzi pamoja na hesabu za kisiasa za Waislamu wa Kishia na vyama vya Kikurdi.
-
Habari Kuhusu Makubaliano ya “Mfumo wa Uratibu wa Vyama vya Kishia Iraq” Juu ya Mgombea wa Uwaziri Mkuu
Vyanzo vya kisiasa vya Iraq vimeripoti kuwepo kwa makubaliano ya awali miongoni mwa vyama vinavyounda muungano wa “Mfumo wa Uratibu wa Vyama vya Kishia Iraq” kuhusu uteuzi wa mgombea wa kuongoza serikali ijayo ya nchi hiyo.
-
Mahakama ya Juu ya Iraq yavunja Bunge / Hadi kuundwa kwa Baraza jipya la Mawaziri, Serikali itakuwa tu ya “kusimamia mambo ya kila siku”
Mahakama Kuu ya Shirikisho ya Iraq imetangaza rasmi kumalizika kwa muhula wa tano wa Bunge la nchi hiyo, na kuitaja serikali ya sasa kuwa ni “serikali ya kusimamia mambo ya kila siku”, yenye mamlaka tu katika kushughulikia masuala ya kawaida na yasiyoweza kuahirishwa.
-
Spika wa Bunge la Iran: "Iran Haitaikubali Utawala wa Kigeni"
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ameweka wazi kuwa taifa la Iran halitawahi kukubali kutawaliwa na mataifa ya kigeni na litalinda uhuru wake kwa gharama yoyote.
-
Mwanazuoni wa Kireno atoa ukosoaji mkali kuhusu sheria ya kupiga marufuku burqa
Kupitishwa kwa sheria ya kupiga marufuku burqa nchini Ureno - iliyotetewa kwa kisingizio cha “kulinda usalama na haki za wanawake” - kumezua upinzani kutoka kwa wanaharakati kadhaa. Miongoni mwa wakosoaji hao ni Paulo Mendes Pinto, mtafiti wa masuala ya dini nchini humo, ambaye katika mahojiano na chombo cha habari cha ndani ametoa maoni ya kuvutia kuhusu suala hilo.
-
Al-Rubaie: Hashd al-Shaabi ni Mwakilishi wa Makabila na Madhehebu yote ya Iraq
Mjumbe wa zamani wa Kamati ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesema kuwa Hashd al-Shaabi (Jeshi la Wananchi wa Iraq) ni mstari mwekundu kwao, kwani ni mali ya watu wote wa Iraq na linawakilisha makabila na madhehebu yote nchini humo.
-
Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu Pakistan:
“Kuhusika katika mikataba inayohusisha damu ya Wapalestina ni khiana kwa ummah wa Kiislamu.”
Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu Pakistan alitoa taarifa akisema: “Hakuna aina yoyote ya biashara au makubaliano yanayohusisha damu ya Wapalestina yanayokubalika.”
-
Waziri Mkuu wa Iraq amewataka raia kushiriki katika uchaguzi ujao
Waziri Mkuu wa Iraq, akiwaonya kuhusu athari za kususia uchaguzi wa bunge, alisisitiza kuwa kutoshiriki kwa wananchi kutatoa nafasi kwa mafisadi na maadui wa maslahi ya taifa.
-
Tanzania Yaomboleza Kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Job Yustino Ndugai
Katika salamu za rambirambi, pole zimetolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ujumla.
-
Wazayuni wanajutia vita na Iran | Nguvu ya Iran ya Kijeshi sio rahisi kuikabili
Sasa Israel imebakia kujutia na kujilaumu kuingia vitani na Iran na kukiri kuwa Nguvu ya Iran sio rahisi kuikabili. Hii ni baada ya kupata Mashambulizi makali zaidi ya Makombora ya Iran yenye uharibifu mkubwa na milipuko ya kutosha katika kila kona ya Utawala Ghasibu wa Israel.
-
Kiongozi Mkuu: Msimamo Usioyumba wa Taifa la Iran Ni Ishara ya Uwezo na Dhamira ya Kitaifa – Wabunge Wahimizwa Kulinda Hadhi ya Bunge la Kiislamu
Katika mkutano na Spika na wabunge wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Iran Haijawahi Kuyumba Mbele ya Mashinikizo ya Kimataifa".