Kamanda
-
Naibu Kamanda wa Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Iran: Hatutakuwa waanzilishi wa mashambulizi kamwe
Naibu Kamanda wa Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa jeshi halitakuwa kamwe mwanzilishi wa mashambulizi, akieleza kuwa lengo la kuimarisha jeshi sio vita, bali ni kuzuia vita na kujenga uwezo wa kuzuia (deterrence).
-
Kamanda wa Jeshi la Ardhi la IRGC:
Umoja wa Shia na Sunni ni rasilimali ya kimkakati ya Taifa la Iran
Kamanda wa Jeshi la Ardhi la IRGC katika sherehe ya kuapishwa na kualikwa kwa kamanda mpya wa Kituo cha Medinah Munawwarah, akiwa ameisisitiza umuhimu wa kudumisha mshikamano wa kitaifa, alitaja umoja wa Shia na Sunni kama rasilimali ya kimkakati ya taifa la Iran.
-
Sheikh Naim Qassem: Kujisalimisha si chaguo; Hezbollah ina haki ya kulipiza kisasi kwa shambulio la Dahiyeh
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameonya kwamba kundi la mapambano lina haki ya kulipiza kisasi kutokana na kuuawa kwa kamanda mwandamizi Haitham Al-Tabtabai, na akasisitiza kuwa kujisalimisha si chaguo kabisa.
-
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Muqawama wa Lebanon yamefanyika katika eneo la Dhahiya;
"Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Uongozi wa Hizbullah: Kwa kuuawa kwa maagenti wetu, azma yetu inazidi kuwa imara kuliko hapo kabla”
Sheikh Ali Damuush amesema: “Kulegeza msimamo au kukubali mashinikizo na maagizo ya Marekani na Israel hakutaleta matokeo yoyote. Sisi hatutasalimu amri; hata ikiwa maadui wataweka juhudi zao zote kutuangamiza, kamwe hatutaacha njia ya muqawama (mapambano) wala kujitoa katika kuilinda nchi yetu.”
-
Hizbullah Yatangaza Kuuawa Shahidi kwa Kamanda Wake Mwandamizi, Abu Ali Tabatabai
Hizbullah ya Lebanon imetangaza kwamba mmoja wa makamanda wake mashuhuri, Haitham Tabatabai (Abu Ali), ameuliwa shahidi katika shambulio la anga lililofanywa leo na Israel.
-
Jeshi la Israel Ladai Kumuua Kigaidi Kamanda Mwandamizi wa Hezbollah katika Mji wa Beirut
Kwa mujibu wa kituo cha habari cha Aljazeera, jeshi la Israel limedai kuwa limemuua mmoja wa makamanda wakuu wa Hezbollah katika mji wa Beirut.
-
Utekelezaji wa programu 2,000 kwa wakati mmoja sambamba na Wiki ya Basiji katika jiji la Rasht
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (Sepah) katika eneo la kati la Rasht alisema kuwa zaidi ya programu maalumu 2,000 za Wiki ya Basiji zimepangwa kutekelezwa katika vituo vya usalama vya Basiji pamoja na maeneo ya akina kaka na dada. Alisema kuwa Basiji ni nguvu madhubuti ya nchi kwa nyanja zote.
-
Umoja wa Ulaya wakaribia kumuadhibu “Abdulrahim Dagalo” Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka Sudan
Umoja wa Ulaya unakusudia kumuwekea vikwazo Abdulrahim Dagalo, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka (RSF) nchini Sudan, kwa tuhuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran:
“Vikosi vya ulinzi vya Iran vimewashinda majeshi ya NATO katika vita vya siku 12”
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran amesema: “Katika vita vya kujihami vya siku 12, tulisimama dhidi ya Marekani, utawala wa Kizayuni na jumla ya majeshi ya NATO. Kwa hakika, tuliwashinda wote wa NATO, jambo ambalo halijawahi kutokea.”
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC): Tukivamiwa, tutawasha moto wa Jahannam dhidi ya wavamizi
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Meja Jenerali Mohammad Pakpour, katika mazungumzo na Qasim al-A’araji, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq, amesema kuwa: “Katika vita vya siku 12, tulishambulia kwa nguvu na usahihi mkubwa na tuliharibu malengo yote yaliyolengwa.”
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Kamanda Bahman Kargar kufuatia kifo cha Kamanda Alireza Afshar
Mkuu wa Taasisi ya Kuhifadhi na Kueneza Thamani za Ulinzi Mtakatifu na Mapambano ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Kamanda wa IRGC, Brigedia Sardar Alireza Afshar.
-
Kuimarishwa kwa hatua za kiusalama katika mji mkuu wa Iraq kwa ajili ya kukabiliana na uhalifu
Kamanda wa operesheni za Baghdad ametangaza kuanza kwa mpango mpya wa kukabiliana na wizi wa magari na mauaji katika mji mkuu wa Iraq.
-
Kukamatwa kwa Mawakala 87 wa Utawala wa Kizayuni katika Mkoa wa Lorestan, Magharibi mwa Iran
Watu hao 87 waliotiwa mbaroni wanatuhumiwa kwa kueneza hofu miongoni mwa raia, kufanya vitendo vya uharibifu, kuwasiliana na mashirika ya kijasusi ya kigeni, na kumiliki vilipuzi.
-
Kamanda wa Jeshi la Iran (IRGC) Aonya: "Tutarejelea mapigano (vita) kwa kuanzia katika nukta ile tulipoishia - Hatutamuacha Adui Mchokozi!"
Jenerali Pakpour alisisitiza kuwa majeshi ya Iran yako katika hali ya juu ya utayari na mshikamano kamili kurudia mashambulizi dhidi ya adui, akibainisha kuwa: “Waisraeli wameuona moto wa kuzimu waliokuwa wameahidiwa kwa macho yao wenyewe katika siku za mwisho za vita.”
-
Brigedia Jenerali Sayyid Majid Mousavi Ateuliwa Kuongoza Kikosi cha Anga cha IRGC
Katika amri rasmi ya uteuzi, Ayatullah Khamenei amesisitiza umuhimu wa: Kuimarisha uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani
-
Kuuawa kwa "Mohammad Ali Jamoul", Kamanda wa Kikosi cha Makombora cha Hezbullah katika Shambulio la Ndege Isiyo na Rubani la Utawala wa Kizayuni
Mohammad Ali Jamoul, Kamanda wa kikosi cha Makombora cha Harakati ya Hizbullah, ameuawa Kigaidi kufuatia shambulio la ndege isiyo na rubani (drone) lililofanywa na utawala haram wa Kizayuni (Israel). Shambulio hili linaonekana kuwa sehemu ya mfululizo wa mashambulizi ya Israel dhidi ya viongozi na miundombinu ya Hizbullah.