Utamaduni
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Tasnia ya Madahi inapaswa kuwa kitovu cha fasihi ya Muqawama na ufafanuzi wa mafundisho ya dini na mapinduzi
Katika hotuba yake iliyochukua takriban saa tatu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei aliwapongeza Wairani kwa kuadhimisha kuzaliwa kwa Bibi Fatimah (a.s) na kusema kuwa “mwananchi wa Iran, kwa kupitia msimamo wa kitaifa wa kimapinduzi, ameshindwa kabisa njama za adui kutaka kubadilisha utambulisho wa kidini, kihistoria na kiutamaduni wa taifa hili.”
-
Kenya - Nairobi | Mazungumzo ya Kiutamaduni: Ubalozi wa Iran na APBET SAK Waimarisha Mafungamano ya Kielimu
APBET (Alternative Provision of Basic Education and Training) ni shule za gharama nafuu nchini Kenya zinazolenga watoto wanaoishi katika maeneo yaliyotengwa kama vile mitaa ya mabanda, makazi duni, na maeneo kame au yenye ukame (ASALs).
-
Rais wa Kituo cha Huduma za Vyuo vya Dini Atoa Wito wa Kuwezesha Uwepo wa Wanafunzi na Mazuwwari wa Kiiran Katika Maeneo Matukufu ya Iraq
Katika kikao rasmi kilichofanyika kati ya Hujjatul-Islam wal-Muslimin Dkt. Mir Muhammadi, Rais wa Kituo cha Huduma za Vyuo vya Dini (Hawza), na Dkt. Al-Sadiq, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Iraq, pande zote mbili zilikubaliana juu ya umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kitamaduni na kidini pamoja na kufanikisha uwepo wa wanafunzi wa dini na mahujaji wa Kiirani katika maeneo matukufu ya Iraq (Atabat Aaliyat).
-
Rais wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu: Vita vya Siku 12 Vilikuwa Vita vya Kwanza vya Akili Bandia (AI)
Rais wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Mahdi Imanipour, amesema kwamba dunia sasa imeingia katika zama za Akili Bandia (AI) na kwamba uwanja wa mapambano ya kimataifa umebadilika kikamilifu. Amesema pia kuwa vita vya siku 12 vilivyohusisha Iran na utawala wa Kizayuni (Israeli) vilikuwa “vita vya kwanza vya akili bandia”.
-
Chuo cha Dini cha Qom kinapaswa kutumia hazina ya Ki-Mungu kwa ajili ya kuunda “Utamaduni mpya wa Kiungu”
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa masomo, alitaja utamaduni wa kifaalufu wa Magharibi kama sababu kuu ya ukoloni mkubwa wa nchi za dunia, hasa katika Afrika, na kusisitiza kuwa matokeo mabaya ya utawala huu ni ukomavu wa kitamaduni, ambapo utamaduni wa kiungu unalengwa kwa kutumia zana kama vyombo vya habari.
-
Baraza la Utamaduni la Ubalozi wa Iran Nairobi Latuma Salamu za Rambirambi kwa Kumbukumbu ya Kifo cha Mtume Muhammad (s) na Shahada ya Imam Hassan a.s
Siku hii pia inakumbusha shahada ya Imam Hassan (a.s), Imam wa pili katika Ahlul-Bayt (a.s), aliyefahamika kwa msimamo wake wa amani na kujitolea kwake kwa ajili ya haki. Kifo chake ni alama ya mapambano ya kudumu kwa ajili ya uadilifu na uongofu.
-
Binti Yangu, Hifadhi Heshima Yako, Lakini Kuwa Mshiriki Hai Katika Jamii!
Malezi ya mabinti ili wawe wa kijamii huku wakidumisha heshima na usafi wa tabia, yanahitaji kuzingatia vipengele mbalimbali vya malezi, maadili na maisha ya kijamii.
-
Maukib ya Wanafunzi wa Bara la Afrika Katika Nguzo ya 379, Njia ya Najaf hadi Karbala”
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kwa moyo mkunjufu, linatoa pongezi na shukrani kwa juhudi zenu nzuri kwa kuandaa Maukib hii.
-
Naibu Waziri wa Elimu na Utamaduni atembelea Shirika la Habari la ABNA / Entemani: Tofauti za ABNA ndizo Nguvu yake
Naibu Waziri wa Elimu na Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu wa Iran, alipokuwa akitembelea Shirika la Habari la ABNA, alieleza kwamba vyombo hivi vya habari vina sifa za kipekee na vina athari kubwa katika jamii.
-
"Wadau wa sekta ya utamaduni wa Afghanistan watilia mkazo juu ya ukarabati wa "Gonbad-e-Begum" / 'Kubba ya Malkia' katika Mkoa wa Ghazni"
"Baadhi ya wadau wa sekta ya utamaduni wa Afghanistan wametilia mkazo umuhimu wa ukarabati na urejeshwaji wa jengo la kihistoria la 'Kubba ya Malkia' katika Mkoa wa Ghazni."