matokeo
-
Theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia
Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa takriban theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia, huku athari za vita vya Gaza kwa zaidi ya miaka miwili sasa zikiendelea kuliweka jamii ya Israel chini ya shinikizo kubwa.
-
Shambulio dhidi ya Maadhimisho ya Hanukkah Sydney;
Matokeo ya Miaka Miwili ya Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wanawake na Watoto Gaza na Uwezekano wa Kujijeruhi kwa Wazayuni!
Gazeti la Sydney Morning Herald lilithibitisha kuwa katika tukio hili watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa, huku idadi kubwa ya washiriki wa sherehe hizo wakikimbilia maeneo tofauti na kujificha.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban: Mazungumzo na Pakistan Yameshindikana kwa Sababu ya Masharti Yasiyo na Mantiki ya Islamabad
Muttaqi alionya kuwa iwapo Pakistan itajaribu kuivamia Afghanistan, basi “dhima ya matokeo yote itakuwa juu ya mvamizi.”
-
Chuo cha Dini cha Qom kinapaswa kutumia hazina ya Ki-Mungu kwa ajili ya kuunda “Utamaduni mpya wa Kiungu”
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa masomo, alitaja utamaduni wa kifaalufu wa Magharibi kama sababu kuu ya ukoloni mkubwa wa nchi za dunia, hasa katika Afrika, na kusisitiza kuwa matokeo mabaya ya utawala huu ni ukomavu wa kitamaduni, ambapo utamaduni wa kiungu unalengwa kwa kutumia zana kama vyombo vya habari.