Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Kitaifa alisema kwamba usalama wa Iran unategemea usalama wa majirani zake na kuongeza:
“Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa na utaasainiwa katika safari hii.”
Kwa ziara rasmi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan Kusini nchini Israel, uhusiano wa muda mrefu lakini wa kimya wa mataifa haya mawili umeingia katika hatua mpya.
Katika kikao hicho Ayatollah Khamenei akiashiria baadhi ya maendeleo ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuisaidia Saudi Arabia katika maeneo hayo.