Main Title
22 Aprili 2024
Rais wa Iran aendelea na ziara ya siku mbili nchini Pakistan kuboresha usalama na mahusiano ya kibiashara
Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anaendelea na ziara yake ya siku mbili nchini Pakistan kwa lengo la kuimarisha usalama na uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizi jirani.
22 Aprili 2024
Juhudi kubwa za Iran za kupunguza umaskini na kuongeza ustawi katika jamii
Takwimu mpya zilizochapishwa na Benki ya Dunia zinaonyesha kuwa, umaskini mutlaki umepungua kwa kiasi kikubwa nchini Iran katika miaka ya hivi karibuni.
22 Aprili 2024
"Biden atakuwa msaliti kama atasaini msaada mpya kwa utawala wa Kizayuni"
Jumuiya ya Waislamu wa Marekani imetangaza kuwa, rais wa nchi hhiyo Joe Biden atakuwa msaliti kama atasaini msaada mpya wa kijeshi kwa utawala wa Kizayuni unaoua kwa umati watoto wadogo huko Ghaza na atakuwa amevuruga kabisa uhusiano wake na Waislamu.
22 Aprili 2024
Msaada wa kijeshi wenye thamani ya dola bilioni 26 wa Marekani kwa Israel sambamba na vita vya Gaza
Baada ya mabishano na mvutano kati ya Wademokrat na Warepublican na Hitilafu za pande hizo mbili juu ya msaada wa kigeni, Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha kifurushi cha msaada wa dola bilioni 60 kwa Ukraine na kifurushi kiingine cha dola bilioni 26 kama msaada wa kijeshi kwa Israel kwa kura 366 dhidi ya 58.
22 Aprili 2024
HAMAS: Msaada mpya wa Marekani kwa Israel ni kwa ajili ya kuendeleza mauaji ya umati
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeilaani Marekani kwa kupasisha msaada mwingine kwa utawala wa Kizayuni na kusema kuwa msaada huo ni kwa ajili ya kuendeleza mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.
22 Aprili 2024
Hizbullah yatungua ndege ya kivita isiyo na rubani ya Israel ya Hermes 450 kusini mwa Lebanon
Harakati ya Mapamabano ya Kiislamu (Muqawama) ya Hizbullah ya Lebanon imesema wapiganaji wake wameiangusha ndege ya kisasa isiyo na rubani ya kivita na kijasusi ya utawala haramu wa Israel kusini mwa Lebanon baada ya kukiuka anga ya nchi hiyo.
22 Aprili 2024
Kataaib Hizbullah ya Iraq yaanzisha tena mashambulio dhidi ya askari wa Marekani
Vikosi vya Muqawama wa Iraq vimetangaza kuwa, vimeanza tena kutekeleza operesheni za mashambulio dhidi ya vikosi vya majeshi ya Marekani.
22 Aprili 2024
Kamanda Mwandamizi: Israel imeshindwa na Muqawama Ghaza, viongozi watamatishe vita
Yitzhak Barik, Jenerali mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa jeshi la utawala huo haramu limeshindwa na Muqawama wa Palestina katika vita vya Ukanda wa Ghaza na kutaka viongozi wa utawala huo watangaze utamatishaji wa vita hivyo.
22 Aprili 2024
Vita vya Israeli dhidi ya Ghaza: Mkuu wa jeshi la Intelijensia ajiuzulu kubeba lawama aa shambulio la Hamas
Meja Jenerali Aharon Haliva, mkuu wa kitengo cha ujasusi cha kijeshi wa Israel, ametangaza kujiuzulu kwa sababu ya kushindwa kuzuia shambulio la kihistoria la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS la tarehe 7 Oktoba 2023.
21 Aprili 2024
Iran yaitoza Marekani faini ya dola bilioni moja kwa kuunga mkono jinai za utawala wa Kipahlavi
Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitoza Marekani faini ya dola bilioni moja kwa kuunga mkono jinai za utawala wa Kipahlavi uliokuwa madarakani Iran kabla ya Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979.
21 Aprili 2024
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wafanya mazungumzo kwa njia ya simu
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini wamezungumza kwa njia ya simu na kujadili matukio ya hivi punde zaidi katika uhusiano wa pande mbili na hali ya eneo la Asia Magharibi, hususan baada ya jibu halali la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mashambulizi ya hivi karibuni ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni kwenye ubalozi wa Iran huko Damascus, Syria.
21 Aprili 2024
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman: Vita Ukanda wa Gaza visitishwe haraka iwezekanavyo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mwenzake wa Oman wamesisitiza juu ya haja ya kutekelezwa juhudi za kimataifa ili kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni, kufikiwa mapatano ya usitishaji vita na kutumwa haraka misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Gaza.
21 Aprili 2024
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika matukio ya hivi karibuni
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Vikosi vya kijeshi vimeonyesa taswira nzuri ya uwezo na mamlaka yao, na pia taswira yenye kupongezwa ya taifa la Iran, sambamba na kuthibitisha kuibuka kwa uwezo wa irada wa taifa la Iran katika uga wa kimataifa.
21 Aprili 2024
Mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza na uwezekano wa Qatar kuangalia upya sera zake za kigeni za usuluhishi
Muhammad bin Abdulrahman Al Thani Waziri Mkuu wa Qatar amesema kuwa nchi hiyo inatathmini upya nafasi yake kama msuluhishi kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
21 Aprili 2024
Watu 1,000 kushiriki katika Ufikishaji Misaada ya Kibinadamu Gaza
Maandalizi yanaendelea na Muungano wa Kimataifa wa Msafara wa Meli wa Uhuru, unaoundwa na mashirika yasiyo ya kiserikali kutoka nchi kadhaa, ili kupeleka misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza unaokabiliwa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel.
21 Aprili 2024
Kaburi la halaiki lenye miili 50 lagunduliwa katika eneo la Hospitali ya Nasser, Ghaza
Kitengo cha Huduma za Dharura katika Ukanda wa Ghaza kimefukua miili ya Wapalestina 50 kutoka kwenye kaburi la halaiki lililogunduliwa katika eneo la Hospitali ya Nasser iliyoko mjini Khan Younis, wiki mbili baada ya jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuondoka katika eneo hilo.
21 Aprili 2024
Haniyeh: Marekani inailinda kisiasa Israel mkabala wa mauaji ya kimbari ya utawala huo
Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas ameikosoa Marekani kwa kuzuia kutambuliwa taifa la Palestina katika Umoja wa Mataifa, akiishutumu Washington kuwa inaipatia Israel ulinzi wa kisiasa kwa mauaji ya kimbari dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.
21 Aprili 2024
Abdul Malik al Houthi: Saudia imeondoa aya za Qur'ani katika vitabu vya kiada ili kuwaridhisha Wazayuni
Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amewatuhumu viongozi wa Saudi Arabia kuwa wameondoa baadhi ya mafundisho ya Qur'ani katika progamu za kufundishia mashuleni ili kuwaridhisha Wazayuni.
21 Aprili 2024
Kukandamizwa nchini Marekani wanafunzi wanaounga mkono Palestina
Polisi ya New York imewakamata zaidi ya wanafunzi 100 wanaounga mkono Palestina katika Chuo Kikuu cha Columbia ikiwa ni hatua ya wazi ya kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni.
21 Aprili 2024
Mwanamke mjamzito, watoto 10 ni miongoni mwa Wapalestina waliouawa hivi karibuni na Israel
Jeshi katili la Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Rafah, na kuwauwa takriban watu 16, akiwemo mama mjamzito, katika mji huo wenye msongamano mkubwa wa watu kusini mwa Gaza.