Main Title

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:55:46
1453276

Rais wa Iran aendelea na ziara ya siku mbili nchini Pakistan kuboresha usalama na mahusiano ya kibiashara

Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anaendelea na ziara yake ya siku mbili nchini Pakistan kwa lengo la kuimarisha usalama na uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizi jirani.

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:55:22
1453275

Juhudi kubwa za Iran za kupunguza umaskini na kuongeza ustawi katika jamii

Takwimu mpya zilizochapishwa na Benki ya Dunia zinaonyesha kuwa, umaskini mutlaki umepungua kwa kiasi kikubwa nchini Iran katika miaka ya hivi karibuni.

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:54:37
1453274

"Biden atakuwa msaliti kama atasaini msaada mpya kwa utawala wa Kizayuni"

Jumuiya ya Waislamu wa Marekani imetangaza kuwa, rais wa nchi hhiyo Joe Biden atakuwa msaliti kama atasaini msaada mpya wa kijeshi kwa utawala wa Kizayuni unaoua kwa umati watoto wadogo huko Ghaza na atakuwa amevuruga kabisa uhusiano wake na Waislamu.

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:54:02
1453272

Msaada wa kijeshi wenye thamani ya dola bilioni 26 wa Marekani kwa Israel sambamba na vita vya Gaza

Baada ya mabishano na mvutano kati ya Wademokrat na Warepublican na Hitilafu za pande hizo mbili juu ya msaada wa kigeni, Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha kifurushi cha msaada wa dola bilioni 60 kwa Ukraine na kifurushi kiingine cha dola bilioni 26 kama msaada wa kijeshi kwa Israel kwa kura 366 dhidi ya 58.

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:53:28
1453271

HAMAS: Msaada mpya wa Marekani kwa Israel ni kwa ajili ya kuendeleza mauaji ya umati

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeilaani Marekani kwa kupasisha msaada mwingine kwa utawala wa Kizayuni na kusema kuwa msaada huo ni kwa ajili ya kuendeleza mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:52:57
1453270

Hizbullah yatungua ndege ya kivita isiyo na rubani ya Israel ya Hermes 450 kusini mwa Lebanon

Harakati ya Mapamabano ya Kiislamu (Muqawama) ya Hizbullah ya Lebanon imesema wapiganaji wake wameiangusha ndege ya kisasa isiyo na rubani ya kivita na kijasusi ya utawala haramu wa Israel kusini mwa Lebanon baada ya kukiuka anga ya nchi hiyo.

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:52:28
1453269

Kataaib Hizbullah ya Iraq yaanzisha tena mashambulio dhidi ya askari wa Marekani

Vikosi vya Muqawama wa Iraq vimetangaza kuwa, vimeanza tena kutekeleza operesheni za mashambulio dhidi ya vikosi vya majeshi ya Marekani.

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:51:58
1453268

Kamanda Mwandamizi: Israel imeshindwa na Muqawama Ghaza, viongozi watamatishe vita

Yitzhak Barik, Jenerali mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa jeshi la utawala huo haramu limeshindwa na Muqawama wa Palestina katika vita vya Ukanda wa Ghaza na kutaka viongozi wa utawala huo watangaze utamatishaji wa vita hivyo.

source :
Jumatatu

22 Aprili 2024

15:51:24
1453267

Vita vya Israeli dhidi ya Ghaza: Mkuu wa jeshi la Intelijensia ajiuzulu kubeba lawama aa shambulio la Hamas

Meja Jenerali Aharon Haliva, mkuu wa kitengo cha ujasusi cha kijeshi wa Israel, ametangaza kujiuzulu kwa sababu ya kushindwa kuzuia shambulio la kihistoria la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS la tarehe 7 Oktoba 2023.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:05:01
1453030

Iran yaitoza Marekani faini ya dola bilioni moja kwa kuunga mkono jinai za utawala wa Kipahlavi

Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitoza Marekani faini ya dola bilioni moja kwa kuunga mkono jinai za utawala wa Kipahlavi uliokuwa madarakani Iran kabla ya Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:04:40
1453029

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wafanya mazungumzo kwa njia ya simu

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini wamezungumza kwa njia ya simu na kujadili matukio ya hivi punde zaidi katika uhusiano wa pande mbili na hali ya eneo la Asia Magharibi, hususan baada ya jibu halali la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mashambulizi ya hivi karibuni ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni kwenye ubalozi wa Iran huko Damascus, Syria.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:04:16
1453028

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman: Vita Ukanda wa Gaza visitishwe haraka iwezekanavyo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mwenzake wa Oman wamesisitiza juu ya haja ya kutekelezwa juhudi za kimataifa ili kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni, kufikiwa mapatano ya usitishaji vita na kutumwa haraka misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Gaza.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:03:49
1453027

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika matukio ya hivi karibuni

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Vikosi vya kijeshi vimeonyesa taswira nzuri ya uwezo na mamlaka yao, na pia taswira yenye kupongezwa ya taifa la Iran, sambamba na kuthibitisha kuibuka kwa uwezo wa irada wa taifa la Iran katika uga wa kimataifa.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:03:15
1453026

Mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza na uwezekano wa Qatar kuangalia upya sera zake za kigeni za usuluhishi

Muhammad bin Abdulrahman Al Thani Waziri Mkuu wa Qatar amesema kuwa nchi hiyo inatathmini upya nafasi yake kama msuluhishi kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:02:42
1453025

Watu 1,000 kushiriki katika Ufikishaji Misaada ya Kibinadamu Gaza

Maandalizi yanaendelea na Muungano wa Kimataifa wa Msafara wa Meli wa Uhuru, unaoundwa na mashirika yasiyo ya kiserikali kutoka nchi kadhaa, ili kupeleka misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza unaokabiliwa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:02:19
1453024

Kaburi la halaiki lenye miili 50 lagunduliwa katika eneo la Hospitali ya Nasser, Ghaza

Kitengo cha Huduma za Dharura katika Ukanda wa Ghaza kimefukua miili ya Wapalestina 50 kutoka kwenye kaburi la halaiki lililogunduliwa katika eneo la Hospitali ya Nasser iliyoko mjini Khan Younis, wiki mbili baada ya jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuondoka katika eneo hilo.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:01:47
1453023

Haniyeh: Marekani inailinda kisiasa Israel mkabala wa mauaji ya kimbari ya utawala huo

Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas ameikosoa Marekani kwa kuzuia kutambuliwa taifa la Palestina katika Umoja wa Mataifa, akiishutumu Washington kuwa inaipatia Israel ulinzi wa kisiasa kwa mauaji ya kimbari dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:01:21
1453022

Abdul Malik al Houthi: Saudia imeondoa aya za Qur'ani katika vitabu vya kiada ili kuwaridhisha Wazayuni

Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amewatuhumu viongozi wa Saudi Arabia kuwa wameondoa baadhi ya mafundisho ya Qur'ani katika progamu za kufundishia mashuleni ili kuwaridhisha Wazayuni.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:00:56
1453021

Kukandamizwa nchini Marekani wanafunzi wanaounga mkono Palestina

Polisi ya New York imewakamata zaidi ya wanafunzi 100 wanaounga mkono Palestina katika Chuo Kikuu cha Columbia ikiwa ni hatua ya wazi ya kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni.

source :
Jumapili

21 Aprili 2024

18:00:13
1453020

Mwanamke mjamzito, watoto 10 ni miongoni mwa Wapalestina waliouawa hivi karibuni na Israel

Jeshi katili la Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Rafah, na kuwauwa takriban watu 16, akiwemo mama mjamzito, katika mji huo wenye msongamano mkubwa wa watu kusini mwa Gaza.