Kwa mujibu wa Al Jazeera, shambulio la ndege isiyo na rubani (drone) ya SDF kwenye kituo cha polisi huko Deir Hafer lilisababisha majeraha kwa wanajeshi watatu na raia sita. Wizara ya Ulinzi ya Abu Mohammad al-Jolani ilisisitiza kuwa jeshi litajibu mashambulizi hayo kwa nguvu zote. Ingawa makubaliano ya Machi 10 yalilenga kupunguza mvutano na kuunganisha tawala, tofauti za utekelezaji na uhusiano wa SDF na mataifa ya nje zimekwamisha mchakato huo.
Wizara ya Ulinzi ya utawala wa Jolani imetangaza shambulio lililofanywa na Vikosi vya Kidemokrasia vya Syria (SDF) dhidi ya kituo cha ukaguzi mashariki mwa Aleppo.
Your Comment