-
Shirika la kutetea haki za binadamu la US lazilaumu nchi za Magharibi kwa 'kufanya mauaji ya kimbari' huko Gaza
Kundi la kutetea haki za binadamu lenye makao yake makuu nchini Marekani limeikosoa Marekani, Israel, Canada na nchi nyingine za Magharibi kwa kuhusika na "mauaji ya kimbari" ya watu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Uingereza yailalamikia Israel kwa kuwakamata, kuwadhalilisha na kuwatimua wabunge wake
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameulaumu utawala wa Kizayuni Israel kwa kuwazuia kuingia, kuwakamata na kisha kuwatimua wabunge wawili wa chama tawala cha nchi hiyo cha Leba katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.
-
Muswada wa kunyakua misikiti India wapata idhini ya rais
Rais wa India, Droupadi Murmu, ameidhinisha Muswada wa Marekebisho ya Waqf—sheria tata inayotoa mwanya kwa serikali ya Narendra Modi kunyakua misikiti nchini humo.
-
Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza
Kundi mashuhuri la mawakili wa haki za binadamu wa Uingereza linatazamiwa kuwasilisha malalamiko ya jinai za kivita dhidi ya Waingereza kumi waliokuwa sehemu ya wanajeshi wa Israel waliofanya mashambulizi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Kusimama imara muqawama wa Yemen kumeleta mabadiliko yapi Asia Magharibi?
Vikosi vya ulinzi vya Yemen vinaendelea kutekeleza oparesheni katika Bahari Nyekundu na katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel); na hatua za muqawama wa Yemen zimekuwa na taathira kwa matukio ya kanda hiyo ya Magharibi mwa Asia.
-
Hamas yapongeza wafanyakazi Microsoft kwa kufichua ushiriki wa kampuni hiyo katika mauaji ya kimbari Gaza
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeelezea kufurahishwa na misimamo ya baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Microsoft wakati wa sherehe ya miaka 50 ya kampuni hiyo ya teknolojia wakipinga ushiriki wa Microsoft katika vita vya mauaji ya halaiki vya jeshi la Israeli katika Ukanda wa Gaza.
-
Watoto laki 6 wa Kipalestina Gaza katika hatari ya kupata ulemavu
Wizara ya Afya katika Ukanda wa Gaza imesema hatua ya Israel ya kuzuia kampeni ya chanjo ya ugonjwa wa kupooza wa polio inawaweka malaki ya watoto wa Kipalestina katika hatari ya kupata ulemavu wa kudumu.
-
Araghchi: Hakujakuwa na mazungumzo yoyote kati ya Iran na Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza tena kuwa Iran iko tayari kufanya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani, lakini amebainisha kuwa hadi sasa hakuna duru yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja iliyowahi kufanyika kati ya mataifa hayo mawili.
-
Wanaharakati Iran watangaza kuwa tayari kupambana na Marekani
Wanaharakati zaidi ya 300 wa jumuiya za kiraia nchini Iran wamepinga vikali vitisho vya Marekani vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya nchi yao, wakiapa kukabaliana na uvamizi wowote wa kigeni.
-
Meja Jenerali Bagheri: Majibu ya Iran kwa barua ya Marekani yametolewa kwa msingi wa mantiki na nguvu
Mkuu wa Majeshi ya Iran Meja Jenerali Mohammad Baqeri amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran si mpenda vita, lakinii itakabiliana vikali kitendo chochote cha uonevu na uchokozi.
-
Ukosoaji wa Iran kwa namna Magharibi inavyolitumia kisiasa suala la haki za binadamu
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa hatua ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa dhidi yake na kueleza kwamba kulitumia kisiasa suala la haki za binadamu ni sababu muhimu ya kupoteza imani kwaa taasisi hiyo na imesisitiza kuwa, nchi zinazouunga mkono utawala wa Kizayuni katika mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Ghaza hazina ustahiki wa kutoa madai ya kutetea haki za binadamu.
-
Ulaya inapoteza itibari ya kimaadili kwa kuitetea Israel
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Iran amesema bara Ulaya linapoteza itibari ya kimaadili kwa kuutetea utawala wa Kizayuni wa Israel na kwa msingi huo itajipata katika upande mbaya wa historia.
-
Wimbi la hasira za walimwengu liwakumbe Wazayuni na wenzao
Mjumbe wa Baraza la Wanavyuoni Wataalamu ambaye pia ni Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amegusia jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Ghaza na kusisitiza kwambaa, kuna udharura kwa wimbi la hasira za walimwengu liukumbe utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wake.
-
Habari Pichani + Harakati za kusaidia huduma ya Maji vijijini - Tanzania kupitia jina la "Ashura Human Charity Tanzania"
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Wanaharakati wanaofanya harakati za kusaidia huduma za maji vijijini nchini Tanzania kupitia jina la Ashuraa Human Charity Tanzania, wamekuwa sehemu ya ukombozi kwa jamii za vijijini. Wanaharakati hao siku zote wamekuwa wakijifaharisha na Mjukuu wa Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w) Imam Hussein (a.s) kutokana na huduma hizo.
-
Hatua mpya katika kuhalalisha uhusiano wa kawaida; Mkutano kati ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Imarati (UAE ) na utawala haram wa Kizayuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa UAE Abdullah Bin Zayed amejadili uhusiano wa pande mbili katika mkutano wake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kizayuni Gideon Sa'er huko Abu Dhabi. Katika kikao hicho amesisitiza juhudi za kidiplomasia za kufikia usitishaji vita huko Ghaza, lakini mkutano huu ulifanyika katika hali ambayo utawala wa Kizayuni unaendelea kuua na kufanya mauaji ya kimbari huko Ghaza.
-
Katuni | Hakuna njia ya kutokea na kukimbia huko Gaza
Watoto wa Kipalestina wanatamani sana Msaada kutoka kwa Mashirika ya Kimataifa.
-
Habari Pichani | Jeshi la wavamizi la Wazayuni limeshambulia hema la Waandishi wa Habari huko Gaza
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (as) - Abna - Mapema asubuhi ya leo (Jumatatu), mashambulio ya anga ya utawala wa Kizayuni dhidi ya hema la Waandishi wa Habari karibu na Nasser Medical Complex katika Mji wa Khan Yunis, Kusini mwa Ukanda wa Gaza, yamesababisha kuuawa Shahidi Mwandishi wa Habari wa Kipalestina na kujeruhi watu wasiopungua sita.
-
Video | Tizama bendera ya Wazayuni nchini Uholanzi ikichomwa moto
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - Idadi kadhaa ya wafuasi wa Palestina walichoma moto bendera ya utawala wa Kizayuni wakati wa maandamano yao katika Mji wa Rotterdam nchini Uholanzi.
-
Je, Makaburi ya Baqii yalizingirwa na kuharibiwa (kubomolewa) na kina nani? | Matukio yalivyotendwa katika uharibifu wa Baqii
Mnamo mwaka wa 1220 A.H., Mawahabi waliutwaa mji huo baada ya kuzingirwa kwa mwaka mmoja na nusu na kwa sababu ya njaa huko Madina. [25] Kulingana na vyanzo vilivyopo, baada ya kujisalimisha kwa Madina, Saud bin Abdul Aziz alitaifisha mali yote iliyokuwa kwenye hazina ya Madhabahu ya Mtume na pia akaamuru kuharibiwa kwa majengo na majumba yote ya Madina, pamoja na makaburi ya Baqi.[26]
-
Netanyahu amesafiri njia ndefu kutoka Budapest hadi Washington ili kukwepa kukamatwa
Vyombo vya habari vya Israel vimetangaza leo kwamba kutokana na hati ya kukamatwa iliyotolewa dhidi ya Waziri Mkuu wa utawala huu, ndege iliyombeba ilibidi ichukue njia ndefu zaidi kuelekea Washington.
-
Mwenyekiti wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
Kila siku huko Gaza ni Apocalypse (Zama za Mwisho / Mwsiho wa Dunia) / Ukimya wa watawala wa Kiarabu unatia uchungu zaidi kuliko uhalifu (jinai)
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amesema: "Tukio chungu zaidi si tukio la uhalifu unaofanyika dhidi ya Gaza, bali ni kile kimya kinachojiri katika Kasri za watawala wa Kiislamu na Kiarabu." Lugha zilizokuwa zikizungumza kutetea Uislamu sasa hivi zinalamba nyayo za madola ya kibeberu.