-
Brazil: Tunapinga shambulizi la Marekani dhidi ya Iran; Trump ni maharamia
Rais wa Brazil, akipinga shambulizi la uchokozi la Marekani dhidi ya Iran, alisema kwamba Trump anafanya uharamia katika mlangobahari wa Hormuz.
-
Akiba ya kimkakati ya mafuta ya Marekani imefikia kiwango cha chini kabisa tangu 1983
Takwimu za Wizara ya Nishati ya Marekani zinaonyesha kwamba akiba ya kimkakati ya mafuta ya nchi hiyo wiki iliyopita imefikia kiwango cha chini kabisa katika miaka 43 iliyopita.
-
AP imeripoti kuongezeka kwa hasara za Marekani katika vita dhidi ya Iran
Licha ya udhibiti mkali katika tangazo rasmi la hasara za jeshi la Marekani katika vita dhidi ya Iran, shirika la habari la "Associated Press" liliripoti kwamba idadi rasmi ya waliouawa katika jeshi la Marekani katika vita dhidi ya Iran imeongezeka.
-
Ansarullah: Yemen haitakubali kupunguza hata chembe katika haki zake na uhuru wake
Mwanachama mwandamizi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen alisema kwamba uhuru na haki za kitaifa ni kanuni isiyojadiliwa ya serikali ya Yemen, na Wanyemeni hawatakubali kupunguza hata chembe katika kuzingatia kanuni hizi.
-
Kupungua kwa uungwaji mkono wa utawala wa Kizayuni miongoni mwa vijana Wayahudi wa Amerika
Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonyesha kupungua kwa dhahiri na wazi kwa uungwaji mkono wa utawala wa Kizayuni miongoni mwa vijana Wayahudi wa Amerika.
-
Msaada wa Harakati ya Nujaba ya Iraq kwa Wanyemeni katika kukabiliana na uvamizi wa Saudia
Naibu wa kijeshi wa harakati ya Nujaba ya Iraq alisifu misimamo ya kishujaa ya Ansarullah ya Yemen na akatangaza kwamba harakati hii itaisaidia Ansarullah ya Yemen katika kupambana na maadui wa Mungu na ubinadamu.
-
Maandamano ya mamilioni nchini Yemen kulaani shambulizi la wavamizi wa Saudia
Mikoa mbalimbali ya Yemen ilishuhudia makutano makubwa ya mamilioni kulaani shambulizi la wavamizi wa Saudia, na washiriki wa maandamano haya wakishukuru Iran, walisisitiza utayari wao wa kupigana.
-
Oman: Vitisho hatari zaidi havitoki Tehran bali kutoka Tel Aviv
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman, akiukosoa uchochezi wa vita katika eneo hilo, alirejelea tisho hatari zaidi kwa usalama wa Ghuba ya Uajemi.
-
Msemaji wa Jeshi: Vikosi vya Silaha havitakubali kupunguza hata chembe kwenye mlangobahari wa Hormuz
Msemaji wa Jeshi alisema: Wananchi wa Iran wawe na uhakika kwamba vikosi vya silaha, hasa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, vitasimama hadi pumzi ya mwisho na havitakubali kupunguza hata chembe katika haki za taifa la Iran kwenye mlangobahari wa Hormuz.
-
Iran yadai kuidungua droni ya Marekani aina ya MQ-1 katika Mlango wa Hormuz
Iran imedai kuwa imeidungua droni ya kijeshi ya Marekani aina ya MQ-1 iliyokuwa ikiruka katika eneo la Mlango wa Hormuz, huku mamlaka za Marekani zikiwa hazijatoa uthibitisho wa madai hayo.
-
Iran yaokoa mabaharia 23 baada ya meli mbili kugongana katika Ghuba ya Uajemi
Mamlaka ya Bandari na Usafiri wa Baharini ya mkoa wa Hormozgan nchini Iran imefanikiwa kuwaokoa mabaharia 23 baada ya meli mbili za mizigo kugongana katika maji ya pwani ya Bandar Abbas.
-
IRGC yadai kushambulia vituo vya kimkakati vya Marekani nchini Jordan kwa makombora ya balestiki
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limedai kuwa katika awamu ya tatu ya wimbi la pili la Operesheni "Nasr-2" lililenga vituo vya kimkakati na maeneo ya wanajeshi wa Marekani katika kambi ya anga nchini Jordan kwa kutumia makombora ya balestiki.
-
IRGC Yatoa Taarifa ya Kuharibu Rada za Jeshi la Wanamaji la Marekani nchini Bahrain katika Operesheni "Nasr 2 | Ushindi 2"
limedai kuharibu rada za ulinzi wa anga, mfumo wa onyo la mapema na kituo cha udhibiti wa boti zisizo na rubani za Kikosi cha Tano cha Wanamaji wa Marekani nchini Bahrain.
-
Kituo cha Imam Sajjad (as) Kigoma kinaendelea kuelimisha vijana na kueneza mafundisho ya Ahlul-Bayt (as)
Chini ya usimamizi wa Mkurugenzi Mkuu, Sheikh Hussein Moshi Abdallah, Kituo cha Imam Sajjad (as) kilichopo Kasuko, mkoani Kigoma, kinaendelea kutoa elimu ya dini kwa vijana na kuinua bendera ya Ahlul-Bayt (as) nchini Tanzania.
-
IRGC yatangaza awamu ya pili ya Operesheni "Nasr 2"; yadokeza kushambulia vituo vya mawasiliano na makazi ya wanajeshi wa Marekani Bahrain
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limedai kuwa katika awamu ya pili ya Operesheni "Nasr 2" lililenga maghala ya silaha, kituo cha mawasiliano ya satelaiti na jengo la makazi ya wanajeshi wa Marekani katika Kambi ya Al-Juffair nchini Bahrain.