Afya
-
-
Huduma za Afya Bure kutoka Kituo cha Afya cha Razavi Mkoa wa Gilan katika Kituo cha "Waliobaki" wa Arubaini Rasiht
Katibu wa Kituo Maalumu cha Huduma za Afya cha Razavi Mkoa wa Gilan ametangaza juu ya utoaji wa huduma za bure za kitabibu na afya na kikundi cha kijitolea cha “Huduma na Upinzani wa Razavi” wakati wa hafla ya waliobaki wa Arubaini ya Imam Husain (a.s) katika Uwanja wa Manispaa ya Rasht.
-
Madrasa Hazrat Zainab (sa) | Dini na Afya: Dkt. Beshteri Azungumzia Umuhimu wa Lishe Sahihi kwa Muislamu
Dkt. Beshteri alieleza kuhusu adabu za kula chakula kulingana na mafundisho ya Imam Ja’far Sadiq (a.s), akitaja riwaya mbalimbali zinazoelekeza namna bora ya kula kwa mujibu wa maadili ya Kiislamu.
-
Zaidi ya Watu 10,000 Wanufaika na Huduma za Afya za Khoja Shia Ithnasheri Jamaat – Mwenyekiti Dewji Afichua Mafanikio
Khoja Shia Ithnasheri Jamaat Nchini Tanzania imeendeleza Utaratibu wake wa kutoa Huduma za Afya kwa Maelfu. Dewji ametoa Takwimu Kamili juu ya hilo.
-
Bi. Fatma Fredrick Kikkides:
Mratibu JMAT Taifa | Taarifa Muhimu kwa Waheshimiwa Viongozi wa JMAT na Washiriki wa Matembezi ya Hiari ya Amani ya (MHA)
Lengo kuu la Matembezi haya: Kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa amani na utulivu. Kauli Mbiu: “Uchaguzi wa AMANI Ndio Msingi wa UTULIVU Wetu.”
-
Faida za Kustaajabisha za Kiafya za Majani ya Gwava (Mapera) Katika Maisha ya Kila Siku
Majani ya gwava huenda yasiwe na ladha nzuri kama matunda yake yalivyo, lakini bila shaka yana faida za kiafya na za kitiba. Kupitia tovuti hii ya ABNA, tutajadili faida za kiafya za majani ya Tunda la Gwava (Mapera).
-
"Vita vya Gaza vimesababisha Wapalestina 1,500 kupoteza uwezo wa kuona"
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza leo Jumapili kuwa, kutokana na vita na kuzidi kwa mzingiro unaoendelea wa jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Wapalestina 1,500 wamepoteza uwezo wao wa kuona.