Lengo kuu la Matembezi haya: Kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa amani na utulivu. Kauli Mbiu: “Uchaguzi wa AMANI Ndio Msingi wa UTULIVU Wetu.”
Majani ya gwava huenda yasiwe na ladha nzuri kama matunda yake yalivyo, lakini bila shaka yana faida za kiafya na za kitiba. Kupitia tovuti hii ya ABNA, tutajadili faida za kiafya za majani ya Tunda la Gwava (Mapera).
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza leo Jumapili kuwa, kutokana na vita na kuzidi kwa mzingiro unaoendelea wa jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Wapalestina 1,500 wamepoteza uwezo wao wa kuona.