Karbala
-
Kwanini Idadi ya Mazuwari Karbala Inaongezeka?:
Ukarimu wa Iraq kwa Mazuwwari na Ukandamizaji wa Saudia kwa Mahujaji: Tofauti ya Idadi ya Mahujaji na Mazuwari
Uhuru wa Kiimani -Nchini Iraq, kila Muumini ana uhuru wa kutekeleza ibada zake kulingana na Dhehebu lake bila bughudha. Hali ni tofauti na Saudi Arabia ambapo Mahujaji wengine huadhibiwa wakituhumiwa kufanya vitendo vya “shirk” kwa mujibu wa mtizamo wao.
-
Takriban Milioni 16 Washiriki Ziara ya “Jamandegan Arubaini” Iran
Ibara ya "Jamandegan Arubaini” inahusu wale walioshindwa kwenda ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (as) katika Ardhi ya Karbala, lakini wanasherehekea tukio hilo kwa kufanya ibada na mikutano ya Maadhimisho ya Arubaini ya Imam (as) tokea mahali pale walipo.
-
Shukrani za Balozi wa Iran kwa Marjaa, Serikali na Wananchi wa Iraq kwa Kufanikisha Maadhimisho ya Arubaini
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Iraq, Bw. Muhammad Kazim Al-Sadiq, ametuma tamko maalum la shukrani kwa Marjaa wa kidini, serikali, wananchi, hasa makabila, vijana na vyombo vya ulinzi na usalama vya Iraq kwa kufanikisha maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).
-
Watu Zaidi ya Milioni 21 Wamehudhuria katika Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Mwaka huu wa 1447 Hijria / 2025
Kulingana na taarifa ya Haram Tukufu ya Abasi, idadi ya mahujaji waliohudhuria maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) mwaka huu imefikia milioni 21,103,524.
-
Huduma za Afya Bure kutoka Kituo cha Afya cha Razavi Mkoa wa Gilan katika Kituo cha "Waliobaki" wa Arubaini Rasiht
Katibu wa Kituo Maalumu cha Huduma za Afya cha Razavi Mkoa wa Gilan ametangaza juu ya utoaji wa huduma za bure za kitabibu na afya na kikundi cha kijitolea cha “Huduma na Upinzani wa Razavi” wakati wa hafla ya waliobaki wa Arubaini ya Imam Husain (a.s) katika Uwanja wa Manispaa ya Rasht.
-
Zaidi ya Mazuwwari wa Kigeni Milioni 4 Washiriki Ziara ya Arubaini Karbala
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa zaidi ya mahujaji wa kigeni milioni 4 wameshiriki katika Ziara ya Arubaini mwaka huu.
-
Maukib ya Wanafunzi wa Bara la Afrika Katika Nguzo ya 379, Njia ya Najaf hadi Karbala”
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kwa moyo mkunjufu, linatoa pongezi na shukrani kwa juhudi zenu nzuri kwa kuandaa Maukib hii.
-
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" Lafanyika Katika Njia ya Arubaini
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" linaloongozwa na Mtayarishaji na Mkurugenzi Meisam Yusufi, litatekelezwa kama sehemu ya Maonyesho ya Tano ya Tamasha la Kimataifa la Tamthilia za Umma katika Njia ya Arubaini, linalojulikana kama "Riwaya za Wasafiri".
-
Kuwekwa kwa Vikosi Maalum vya Hashd al-Shaabi Kwenye Njia ya Najaf Hadi Karbala
Maafisa wa Hashd al-Shaabi nchini Iraq wameanza kupelekwa rasmi katika njia ya kutoka Najaf kuelekea Karbala kwa ajili ya kulinda usalama wa maelfu ya waumini wanaotembea kwa miguu kwenda kumzuru Imamu Hussein (a.s). Hatua hii ni sehemu ya mpango wa kusimamia matembezi ya mamilioni ya waumini, unaolenga kuimarisha amani, utulivu, na usalama wa mahujaji wa Arbaeen.
-
Imam Sajjad (a.s): Mlinzi wa Ujumbe wa Karbala kwa Dua, Subira na Ukweli – Sheikh Athman Akbar
Sheikh Athman Akbar alihimiza jamii ya Kiislamu kuiga nyayo za Imam Sajjad (a.s) kwa kuitumia dua kama silaha ya kiroho, kuimarisha subira katika majaribu, na kusimamia ukweli mbele ya dhulma ili kuendeleza ujumbe wa Karbala katika zama zote.
-
Hatima ya Watesi wa Ahlul-Bayt (a.s) | Waliomuua Imam Hussein (a.s) na Historia ya Kisasi na Kuangamizwa kwao
Wauaji wa Imam Hussein (as) walipata mmoja mmoja Hukumu za Kidunia kwa kumwaga Damu Takatifu ya Mjukuu wa Mtume Muhammad (saww) katika Ardhi ya Karbala
-
Njia ya Karbala: Safari ya Kiroho Isiyoisha - Kila Hatua ni Mstari wa Mapenzi kwa Hussein (a.s)
Safari ya Arubaini katika Ardhi ya Karbala, inatengeneza Ukaribu wa Kiroho na Hussein (a.s) Katika Kila Hatua unayoipiga ukielekea kumzuru Aba Abdillah Al-Hussein (as).
-
Kiongozi wa Shirika la Awqaf la Iran: Arubaini ya Mwaka Huu Itakuwa na Sura ya Kupinga Uzayuni - Iran ni A'shura ya Dunia ya Leo
Arubaini ya mwaka huu si tu tukio la ibada bali ni ujumbe wa mapambano ya kimaanawi na kisiasa. Iran inachukua nafasi ya kiashura ya dunia, ambapo uongozi, mshikamano, na upinzani dhidi ya dhulma vinaonyeshwa kwa njia halisi.
-
Sheikh Dkt. Reihan Yasin: "Nafasi ya Vijana Katika Mapinduzi ya Imam Hussein(as) Katika Ardhi ya Karbala"
Vijana Waumini wa Kiislamu walicheza nafasi muhimu, yenye ufanisi mkubwa na athari chanya katika Vita vya Karbala. Karbala ilikuwa imejaa vijana, na mmoja wao alikuwa ni "Qasim bin Hassan". Alikuwa kijana na shujaa, na pia alikuwa anayo maanadalizi ya kutosha, kwa sababu alikuwa na moyo safi na wenye utimamu.
-
Palestina lazima ibaki / Watawala wetu wamepotoka kutoka kwenye Misingi ya Umma wa Kiislamu
Mwenyekiti wa Majlisi ya Umoja wa Waislamu wa Pakistan akisisitiza umuhimu wa kuendelea kuiunga mkono Palestina amesema kuwa, watawala na wanasiasa wa sasa wa nchi hiyo wamejitenga na thamani halisi za Umma wa Kiislamu.