Kimataifa
-
Maulid Adhimu ya Mtume (s.a.w.w) Temeke Mwisho - Dar-es-salaam kuvutia wageni wa kitaifa na Kimataifa - Maandalizi yakamilika kwa Kiwango cha Juu
Dr. Alhad Mussa Salum ametoa wito kwa Waumini kuhudhuria kwa wingi, akisisitiza umuhimu wa kumuadhimisha Mtume Muhammad (s.a.w.w) kwa upendo na amani.
-
“Shirika la Kimataifa la Haki za Binadamu: FIFA na UEFA waifungie Israel”
Shirika la Amnesty International limewaomba Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA) na Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), kwa kuzingatia uhalifu wa miaka miwili wa Israel katika Ukanda wa Gaza, wachukue hatua haraka dhidi ya Israel.
-
Kufanyika kwa warsha maalumu yenye mada “Vigezo, Mifano na Mchakato wa Nadharia za Kimataifa” huko Qom
Kitengo cha Utafiti cha Jame’atuz-Zahra (s) kwa kushirikiana na Shirika la Utamaduni na Mawasiliano ya Kiislamu, kinatarajia kuandaa warsha maalumu ya kitaalamu na ya kiutendaji yenye mada “Vigezo, Mifano na Mchakato wa Nadharia za Kimataifa” katika muktadha wa Tuzo ya Kimataifa ya Shahidi Sadr.
-
Italia na Hispania Zimetuma Manowari za Kivita kwa ajili ya Kulinda Msafara wa Meli za Sumuud
Kufuatia mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya msafara wa kimataifa wa Sumuud (Jina la Msafara), ambao unalenga kupeleka misaada ya kibinadamu kwa Gaza na ulikuwa ukisafiri katika maji ya kimataifa, Italia na Uhispania zimetuma meli zao za kivita ili kuhakikisha usalama wa msafara huo. Hatua hii imechukuliwa baada ya kulaaniwa kwa kiwango kikubwa kwa mashambulizi hayo dhidi ya meli zisizo za kijeshi, ambayo yamechukuliwa kuwa ni uvunjaji wa sheria za kimataifa.
-
Ben Gvir: Kama Ningekuwa Waziri Mkuu, Ningemkamata Mahmoud Abbas Mara Moja
viongozi wa Israel wanadai kwamba hatua za kidiplomasia za Palestina katika taasisi za kimataifa kama Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa (ICC), Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ) na Umoja wa Mataifa, ni aina ya “ugaidi wa kimataifa.”
-
Uteuzi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(a.s) kwa amri ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Khamenei; Amemteua Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ramezani kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(as) kwa muhula mwingine tena.
-
Rais wa Dar al-Iftaa ya Iraq asema:
“Ndio kwa Umoja wa Waislamu, ‘Hapana’ kwa Ubeberu wa Dunia”
Sheikh al-Sumayda‘i katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja alisema: "Lazima tuseme 'Ndio' kwa umoja wa Waislamu na, kwa kukataa ubeberu wa kimataifa, tuseme 'Hapana' kwa Magharibi na mabeberu."
-
Chama cha Kimataifa cha Utafiti wa Mauaji ya Kimbari: Israel Imetekeleza Mauaji ya Kimbari Gaza
Rais wa chama kikubwa zaidi duniani cha wataalamu wa masuala ya mauaji ya kimbari (IAGS) ametangaza kuwa taasisi hiyo imepitisha azimio linalothibitisha kuwa vitendo vya Israel katika Ukanda wa Gaza vinaendana na vigezo vya kisheria vya mauaji ya kimbari.